Sumu Kali kupita zote Duniani iliyotumika kumshambulia jasusi Wa Urusi alieasi Akiwa Uingereza

Sasa huyo jasusi aliwekewage hiyo sumu?
 
nadhani unajua kitu kinaitwa kisasi
kwa
mfano akiwachwa huyo mtoto na serikali ya uingereza iamue kumlisha maneno na kumjaza sumu ya chuki anaweza kuja kutumika kufanya kisasi kibaya mno hapo baadae.

pia hao jamaa wanaishi kwa principle moja tu, akuanzae mmalize.
 
OK hapo pa kisasi na kulishwa maneno nimewaelewa vyema.
Aisee
Ila huruma sana jamani.
Kosa la Dad linacost maisha ya familia.
Dah!!
Very sad sana
 
Alikiuka sheria ya "trust will get you killed" (anti trust)mpk mtu kapata nafasi ya kumuwekea hiyo sumu alimwamini kama jamaa wa krb....
 
Putin ni mtu mmoja hatari sana duniani ,ni dictator alie kubuhu na bdo ana unga mkono na kufadhili ma dictator kma kule Syria Nk
 
Amewekewa Vp hyo sumu wakati huyo jamaa alikuwa na ulinzi wa serikali ingekuwa bongo tungesema kajiwekea sumu kutafuta kik
Uki-google wanasema alitembelewa na bintiye kutoka kwako Russia so inawezekana alipitishiwa hiyo sumu kutoka kwa mwanae ambaye naye yupo ktk hali mbaya.
 
Waingereza wamefanya false flag operation. Kuna kitu wanataka baada ya hilo tukio, mda utasema

wamekazana kutafuta uhungwaji mkono...tuu..
kama wapo serious sana na waiondoe timu yao kwenye world cup.....
kama bi.theresa kasema hakuna mwana wa mfalme atakaeudhuria.....mashindano hayo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…