Super Market za Tanzania ni ghali sana kuliko za Marekani. Mzungu huyu anasema ukweli

Super Market za Tanzania ni ghali sana kuliko za Marekani. Mzungu huyu anasema ukweli

Kuna kufikiri kimsawaziko (Rationale) kitu ambacho ni tatizo kwa watanzania.

Mzungu anajua kwa mfano bidhaa fulani Marekani inauzwa Dollar Moja, Sasa anaikuta Tanzania inauzwa kwa dollar sita.

Hapo mjadala wa kimsawaziko usiwe gharama ya usafiri maana mantiki itakataa gharama ya usafiri kuzidi Dollar Moja kwa bidhaa inayouzwa Dollar moja Marekani.

Jee tunapoweka Kodi si huwa tunaweka Kodi kubwa kwenye bidhaa tunazosema zisizo za lazima??

Tunasahau Kuna bidhaa tumeweka Kodi kubwa kwakuwa tunasema tunalinda viwanda vyetu vinavyozalisha bidhaa kama hizo?

Ghafla tumeshasahau kuwa hizo "Super Market" ziko yale maeneo ambayo bila ya Uhalisia Kodi zake za Kupanga ni kubwa sana bila ya sababu za Msingi?

Jee Kodi kubwa ya Kupanga haiwezi kupandisha bei ya bidhaa??

La mwisho ambalo halisemwi sana na hao "wazungu" wanaolalamika wanatakiwa waambiwe ni kuwa, wateja wakubwa wa kwenye hizo Supermarket ni wakwapuaji wa Hela za umma kwa ivo Hela kwao siyo tatizo.
Umemaliza.
 
Pana food world ilikua na kila kitu ila mahindi ya kuchoma walikua hawana watakupa ambayo wewe ndio ukachome au uchemshe sasa hivi ipo Food lover ina matunda karibu aina zote sema bei za kaburu sio kama za Bongo kwa sababu ya kodi aisee...kuingia bidhaa Tanzania unalipia TBS bado kodi wanaoleta pombe tbs tu wanalipa karibu 12m Tsh bado kodi...
 
Na ni kwasababu bidhaa nyingi za supermarket zimeexpire na hawawezi kuzidump kwa kuogopa hasara
Halafu bidhaa zote zinazo tengenezwa na zikauzwa kwenye hayo Maduka ya super Market hazifai kuliwa na binadamu zinaleta maradhi ya Kansa, Kisukari, Unene, wa kupitiliza Presha na maradhi mengine mbalimbali kiafya bidhaa zinazouzwa katika hayo Maduka ya super Market hazifai kuliwa kabisa.
 
Halafu bidhaa zote zinazo tengenezwa na zikauzwa kwenye hayo Maduka ya super Market hazifai kuliwa na binadamu zinaleta maradhi ya Kansa, Kisukari, Unene, wa kupitiliza Presha na maradhi mengine mbalimbali kiafya bidhaa zinazouzwa katika hayo Maduka ya super Market hazifai kuliwa kabisa.
Nchi zilizoendelea toka utoto wao mpaka wanazeeka ndio chakula chao na wao wengi umri wa kuishi ni mkubwa kuliko huku mnakoleta hizi story story...
 
Umeongea issue sahihi sana..kwa wa Tz wengi mindset ni kua supermarket ni sehemu ya watu wa status flani, ni kama prestige kununua vitu .

Kumbe kwa wenzetu huku ndio sehemu ambapo watu wa vipato vyote wana enjoy wigo mpana wa bidhaa na huduma.
Nafikiri ni nature ya nchi yetu tu ilivyo.

Na ukweli ni kwamba wengi wanaoingia wananunua mahitaji ya muda mrefu na kuvihifadhi.

Sisi wa Hali ya chini tutanunua kila siku mkuu.
 
Wa-Tanzania muamkeni sio kila kitu kinatoka nje munakipenda vina madhara sana kiafya kazi kwenu.
Kaka mkubwa kwa maisha ya dar tuombeane haya mafuta wanayopikia chips majanga .viazi kule njombe hiyo midawa huwezi amini.nyanya zinapulizwa majanga saivi matango hadi haya poli wanatia mbolea.viazi utamu vinatoka kigamboni ni full mamboea ya viwanda na kupuliza. Nlikitwa na mafuta kwenye damu mengi mashert ya vyakula nilijikuta bila kujipikia kila kitu sumu
 
Zipo Hotel za mbugani huko mayai walikua wanatoa SA wakidai kiini cha mayai ya kisasa kutoka kule ni njano haswa nilichoka hadi vitunguu walikua wanaletewa...
Halafu utakuta ni local tu wanayaita ya South
Hata Avocados zinanunuliwa Tz, packaging SA na walaji Ulaya
Sisi hatupati hela za kigeni kabisa
 
Halafu utakuta ni local tu wanayaita ya South
Hata Avocados zinanunuliwa Tz, packaging SA na walaji Ulaya
Sisi hatupati hela za kigeni kabisa
Shida ukitaka kutoa mzigo hapa mazee kupata vibali vyake utazunguka balaa kama vile Nchi haipati kitu kuleta hivyo hivyo kutak kufanya uwekezaji ndani hivyo hivyo yaani mazingira ya rushwa yapo mbele zaidi..
 
Back
Top Bottom