Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upo karibu na Ar-rahma au
nkija ntakutafuta
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ubongo unaliwa bwana. Siku moja home wifi yangu alipika hio kitu na nlikuwa sipo. Nliporudi nkakuta vitu mezani, na huo ubongo umekaa kama mayai yalikaangwa (crumble ) nikajua ni mayai, lohhh kula mwanangu haviliki. Kuuliza ndo naambiwa ubongo wa ng'ombe. Uroho uliniisha
Kweli kbsTena upikwe sehem za shamba shamba na kuni inakua tamu zaidi? Mrs Kharusy ushawahi kula vyakula vya shamba? Mfano mchuzi wa maji huwa mtamu sana kuliko mchuzi unaopikwa na watu wa town
Sijawahi kunywa supu yakeJinsi ya kupika supu ya pweza
Mahitaji![]()
- 1 Samaki pweza mkate na msafishe vizuri
- 50 gram kitunguu swaumu
- 100 gram kitunguu maji chop chop
- 100 gram kariti kata vipande vidogo
- 1 pilipili ya kijani fresh
- 1 kijiko kidogo cha chai unga wa korienda au girigilani
- Chumvi
- 5 gram pilipili manga
- 100 ml mafuta ya kupikia
- 50 ml juisi ya Limao
- 150 gram nyanya ya kopo
- 1.5 lita ya Maji
Jinsi ya kupika
- Weka mafuta katika sufuria kisha kaanga kitunguu maji na kitunguu swaumu.
- Baada ya hapo weka pweza kaanga kwa dakika 10 kisha weka viungo vyote vilivyobakia kaanga kidogo.
- Weka maji chemsha katika moto wa wastani kwa dakika 15 na baada ya hapo itakua imeiva na tayari kwa kuliwa.
vijana wa mujini wanasema inakuwa kama unafanya mapenzi na ngombeHahahaha Me too
Unakuwa na njaa na vyakula vya kudokoa hovyo hovyo vinakuwa havipo so unakula ukiwa na njaa.