Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Kuna post moja facebook ya mark zuckerberg alikuwa ameweka picha yake kipindi cha christmas.
Then akatokea mkenya mmoja hivi mweusi yaani ile black kabisa kama walivyo wakenya, yule jamaa akaweka picha yake na akaandika merry christmas from kenya.

Sababu ile post ni ya zuckerberg mwenyewe means watu wote wanaona kilichofuata ni huruma sababu walitokea hao wa Asia wakaanza kumtukana yule jamaa mpaka basi kisa ni mweusi.
Wengine walikuwa wanamwita orangutan yale manyani makubwa hivi na matusi mengine kibao.
Mara lips zake zimefanyaje mara mweusi kama asphalt ile lami nyeusi kabisa, mara wengine wanamwita BBC ila matusi ya kumfananisha na nyani ndio yalikuwa mengi.

Cha ajabu nilichokiona ni comment zote zilikuwa zinamshambulia jamaa hakuna exceptional hata moja, yaani hawa waasia wanatabia na akili kama za wadudu zero sympathy zero emotional intelligence walikuwa wanamchukulia jamaa kama sokwe tu asiye na vigezo vya binadamu.
Jamaa nakumbuka alisema asante kwa matusi yenu na kutiatia huruma tu, kusema ukweli nilijisikia vibaya kuona mwafrika anafanyiwa vile.
Baadae wakenya wenzake wakamwambia afute ile picha lakini hakufanya hivyo.

Hawa mnawaita wana roho njema na kuwasifia lakini kwao mtu mweusi wanamwona nyani tu.
Katika watu wabaguzi kwa waafrika ni waasia, kwangu ni mbwa kama mbwa wengine tu.
Waafrika tunabaguliwa sababu ya tabia zetu wenyewe, tabia za Shobo na kujipendekeza. Mimi hakuna mtu anaweza kunibagua sababu sina shobo na wala sijipendekezi kwa mtu.
 
Aisee wadau MUNGU yupo..inawezekana yupo tofauti na dini zinavyomuelezea ila yupo..
Kipofu hata umuelekeze namna gani kuna mwanga.. Hawezi kuelewa.. Sababu teyari ni kipofu.. Giza limetanda machoni kwake..!
 
1. Habari za uwepo wa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na rehema zote aliyeuumba huu ulimwengu unaoruhusu mabaya zinajipinga zenyewe (zina internal contradiction).

2. Internal contradictions hizo, hazijatatuliwa kimantiki kwa maelfu ya miaka.

3. Habari yenye internal contradiction isiyoweza kutatuliwa kimantiki inaonekana kuwa ni habari isiyo na ukweli (mifano, mtu kuwa sehemu mbili kwa wakati mmoja, pembetatu ambayo hapohapo ni duara).

4. Habari ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na rehema zote aliyeuumba ulimwengu huu unaoruhusu mabaya ni hadithi za kutungwa na watu tu. Hazina ukweli.

5. Watu wengi wanaobishana kuhusu habari hizi hapa JF kwa kutetea uwepo wa Mungu huyu, wanabishana kwa kutetea mapokeo/ dini zao. Wengi wanatetea dini walizozaliwa ndani yake. Hawana uwezo mkubwa wa kuchambua mambo kimantiki (logical thinking), hawana uwezo mkubwa wa kufikiri kidhahania (abstract thinking), hawajasoma maandishi muhimu yanayojadili hoja kuu za kutetea au kupinga uwepo wa Mungu. Hawajui hata "problem of evil" ni nini.

Unamuuliza mtu imekuwaje Mungu mwenye upendo wote na ujuzi wote na uwezo wote akaumba ulimwengu ambao unaweza kuruhusu mabaya yawepo, mtu anakujibu Mungu hakuumba mabaya, watu ndio wamefanya mabaya. Clearly huyu hata swali hajalielewa, hivyo hawezi kulijibu.

6. Watu hawa wengi ni wabishi sana, wana maswali ya logical non sequitur, wanafanya sana fallacy ya "argument from authority" kwa kutumia vitabu vya dini vinavyosemwa vimetoka kwa Mungu, lakini vyenye makosa ya kimant8ki mengi sana.

7. Watu hawa, wengi sana wanabishana kwa kutetea "identity" yao, ambayo wameifunganisha na dini/ imqni ya suoernatural. Kwenye vitu vya kufikirika tu ambavyo haviwezi kuthibitishika.

8. Hata pale wanapoona mwanga kidogo, wana kile kinachoitwa "Sunken Cost Fallacy" kubwa sana. Hii inaendana na "cognitive dissonance" kubwa sana inayoleta attitude ya "my God/ religion/ traditiin, wrong or right"

9. Wengi wanatoa counter arguments zinazopinga point zao wenyewe bila kujua. Mtu anakwambia Mungu lazima yupo kwa sababu uumbaji huu wenye maajabu mengi na complexity kubwa hauwezi kutokea wenyewe bila Mungu kuuumba. Wakiwa hawajajua kwamba, ikiwa kila complexity itahitaji muumbaji, basi Mungu muumba vyote hawezi kuwepo, maana naye atakuwa complex atakayehitaji muumbaji.

10. Watu wengi hawajui hata Kiingereza cha kusoma nqnkuelewa hizi mada, lugha ambayo hoja hizi zimeandikwa sana. Na hivyo kujadiliana nao ni kujadiliana na mtu ambaye kanyimwa kabisa vitabu vyote vilivyoandikwa Kiingereza. Falsafa hizi hazijaandikwa Kiswahili. Wachqche wanaojua Kiingereza inaonekana hawajasoma falsafa ya dini kiqsi cha kuweza kuendeleza majadiliano ya kisomi yenye tija.

Matokeo yake, majadiliano yana devolve.

Kazi ya kumfundisha guluguja string theory inaendelea.
Kaka wewe ni G. O. A. T
 
Kiranga kuna kipindi nilikuignore baada ya kuwa unaukana uwepo wa Mungu tulioletewa kwenye dini za Kizungu na Kiarabu nikaingia chimbo nikajitahidi kuutafuta ukweli juu ya Mungu ambae nimekuwa nikihubiriwa tangu utoto nikaja kujua zile ni stori tu za kutufanya mazuzu ili watutawale vizuri.


Enyi Waamini wa Kikuraish na Kirumi mje mnithibitishie uwepo wa Mungu Muweza wa yote na mnijibu maswali haya machache kwa kuanzia.

Kwa nini aliuweka mti wa ujuzi wa mema na mabaya bustanini kama Biblia inavyosema

Kwa nini alikiumba kiumbe ambacho kilikuja kumuasi baadae ikiwa anatujua hata tangu tukiwa kwenye viuno vya baba zetu

Aliziumba Mbingu na Dunia kwa Kutamka, tunaambiwa yeye aishi Mbinguni, sasa wakati anaiumba Mbingu, yeye na Malaika zake walienda wapi ili akamilishe uumbaji wake!?

Aliumba usiku na Mchana kwa kutamka na ikawa, sasa iweje hii dunia kuna pahala ni mchana, kwingine ndio wanaamka na kwingine kunakuwa jioni kwingine ni usiku mkubwa?

tuanzie hapo kwanza, kaka Kiranga nadhani tutiririkie humo kwenye kitabu chao kwanza.
 
🤣🤣🤣 siamini kama kweli unamuuliza Kiranga hili swali

Chief, mantiki ya swali langu anaepaswa kuhoji maswali kama anayohoji kilanga ni yule anae amini.
Ukishasema Mungu hayupo mjadala unakuwa UMEFUNGWA. Uwezi jadili kisichokuwepo.
Umejipa muda wa kujiuliza ni kwanini Katumia muda mrefu kukwepa kunijibu? Na kwanini baada kunijibu na mi nikamjibu ikawa ndiyo mwisho wa kuvutana mimi na yeye?. Kilanga hana tofauti na watu wa karata 3.
 
MUNGU ANAPOSEMA ALIUMMBA MTU KWA MFANO WAKE ALIMAANISHA WAJAPANI THEN KWA MBARII WANAKUJA CAUCASIANS( NENO LANGU SI SHERIA).
MJAPAN ANAWEZA KUKUOMBA MSAHAMA KWA USUMBUFU KWA KUSIKIA MUITO WA SIMU YAKE.
NI WATU CIVILIZED SANA KULIKO RACE NYINGINE YOYOTE HALI HIYO INAFANYA PASPOT YAO KUWA YENYE NGUVU KULIKO PASPOT YA NCHI YOYOTE ILE DUNIANI.

View attachment 2183069
Japan ndo super race duniani. Kuanzia kwenye kufanya kazi, kupigana vita, ujasiri, ustaarabu. No race can fvck with the Japanese
 
1. Habari za uwepo wa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na rehema zote aliyeuumba huu ulimwengu unaoruhusu mabaya zinajipinga zenyewe (zina internal contradiction).

2. Internal contradictions hizo, hazijatatuliwa kimantiki kwa maelfu ya miaka.

3. Habari yenye internal contradiction isiyoweza kutatuliwa kimantiki inaonekana kuwa ni habari isiyo na ukweli (mifano, mtu kuwa sehemu mbili kwa wakati mmoja, pembetatu ambayo hapohapo ni duara).

4. Habari ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na rehema zote aliyeuumba ulimwengu huu unaoruhusu mabaya ni hadithi za kutungwa na watu tu. Hazina ukweli.

5. Watu wengi wanaobishana kuhusu habari hizi hapa JF kwa kutetea uwepo wa Mungu huyu, wanabishana kwa kutetea mapokeo/ dini zao. Wengi wanatetea dini walizozaliwa ndani yake. Hawana uwezo mkubwa wa kuchambua mambo kimantiki (logical thinking), hawana uwezo mkubwa wa kufikiri kidhahania (abstract thinking), hawajasoma maandishi muhimu yanayojadili hoja kuu za kutetea au kupinga uwepo wa Mungu. Hawajui hata "problem of evil" ni nini.

Unamuuliza mtu imekuwaje Mungu mwenye upendo wote na ujuzi wote na uwezo wote akaumba ulimwengu ambao unaweza kuruhusu mabaya yawepo, mtu anakujibu Mungu hakuumba mabaya, watu ndio wamefanya mabaya. Clearly huyu hata swali hajalielewa, hivyo hawezi kulijibu.

6. Watu hawa wengi ni wabishi sana, wana maswali ya logical non sequitur, wanafanya sana fallacy ya "argument from authority" kwa kutumia vitabu vya dini vinavyosemwa vimetoka kwa Mungu, lakini vyenye makosa ya kimant8ki mengi sana.

7. Watu hawa, wengi sana wanabishana kwa kutetea "identity" yao, ambayo wameifunganisha na dini/ imqni ya suoernatural. Kwenye vitu vya kufikirika tu ambavyo haviwezi kuthibitishika.

8. Hata pale wanapoona mwanga kidogo, wana kile kinachoitwa "Sunken Cost Fallacy" kubwa sana. Hii inaendana na "cognitive dissonance" kubwa sana inayoleta attitude ya "my God/ religion/ traditiin, wrong or right"

9. Wengi wanatoa counter arguments zinazopinga point zao wenyewe bila kujua. Mtu anakwambia Mungu lazima yupo kwa sababu uumbaji huu wenye maajabu mengi na complexity kubwa hauwezi kutokea wenyewe bila Mungu kuuumba. Wakiwa hawajajua kwamba, ikiwa kila complexity itahitaji muumbaji, basi Mungu muumba vyote hawezi kuwepo, maana naye atakuwa complex atakayehitaji muumbaji.

10. Watu wengi hawajui hata Kiingereza cha kusoma nqnkuelewa hizi mada, lugha ambayo hoja hizi zimeandikwa sana. Na hivyo kujadiliana nao ni kujadiliana na mtu ambaye kanyimwa kabisa vitabu vyote vilivyoandikwa Kiingereza. Falsafa hizi hazijaandikwa Kiswahili. Wachqche wanaojua Kiingereza inaonekana hawajasoma falsafa ya dini kiqsi cha kuweza kuendeleza majadiliano ya kisomi yenye tija.

Matokeo yake, majadiliano yana devolve.

Kazi ya kumfundisha guluguja string theory inaendelea.
We Dogo unatatizo, Una hoji ikiwa gari ilikuwa na matairi imara wakati USHASEMA ajari haipo.hayo yaache yahojiwe na wanao kubali uwepo wa ajari si wewe uliekataa kuwa hakuna ajari.
Uwezi pinga kuwa hakuna ajari then wewe huyo huyo unaanza kuuliza ikiwa gari lilikaguliwa kabla ya safari huo ni ujinga.
Hizo unazoziita controditions acha zihojiwe na wanao amini uwepo wa ajari na si wewe.
 
Chief, nijibu swali langu kwanza, unaamini kuwa Mungu yupo?.
Swali langu jepes na dogo nijibu tuendelee.
Kwa maswali yako ya kijinga hivi.. inaonyesha kabisa huna IQ ya kubishana na Kiranga. Yale ni maji marefu kwako..wewe umekaririshwa na kumezeshwa catechism kaa nayo hivyo hivyo usihoji. Mambo ya kuuliza maswali na kutafuta majibu waachie wenye akili kubwa.
 
Kiranga kuna kipindi nilikuignore baada ya kuwa unaukana uwepo wa Mungu tulioletewa kwenye dini za Kizungu na Kiarabu nikaingia chimbo nikajitahidi kuutafuta ukweli juu ya Mungu ambae nimekuwa nikihubiriwa tangu utoto nikaja kujua zile ni stori tu za kutufanya mazuzu ili watutawale vizuri.


Enyi Waamini wa Kikuraish na Kirumi mje mnithibitishie uwepo wa Mungu Muweza wa yote na mnijibu maswali haya machache kwa kuanzia.

Kwa nini aliuweka mti wa ujuzi wa mema na mabaya bustanini kama Biblia inavyosema

Kwa nini alikiumba kiumbe ambacho kilikuja kumuasi baadae ikiwa anatujua hata tangu tukiwa kwenye viuno vya baba zetu

Aliziumba Mbingu na Dunia kwa Kutamka, tunaambiwa yeye aishi Mbinguni, sasa wakati anaiumba Mbingu, yeye na Malaika zake walienda wapi ili akamilishe uumbaji wake!?

Aliumba usiku na Mchana kwa kutamka na ikawa, sasa iweje hii dunia kuna pahala ni mchana, kwingine ndio wanaamka na kwingine kunakuwa jioni kwingine ni usiku mkubwa?

tuanzie hapo kwanza, kaka Kiranga nadhani tutiririkie humo kwenye kitabu chao kwanza.
Wewe unaongelea mambo ya Dini.. Dini sio MUNGU.. Hayo ni maelezo ya MUNGU kupitia kitabu cha Dini fulani..
 
Ila Wajapani kabla ya vita vya pili vya dunia walikuwa washenzi na wadhalimu sana. Walibadilka baada ya kushindwa vita vibaya sana.
Mfalme wao aliamua wavunge tu..na mpaka mfalme wao amekufa mwaka majuzi bado wanammind kwanini Ali surrender. Walitaka waende wakafanye kamikaze huko Marekani
 
Kwa maswali yako ya kijinga hivi.. inaonyesha kabisa huna IQ ya kubishana na Kiranga. Yale ni maji marefu kwako..wewe umekaririshwa na kumezeshwa catechism kaa nayo hivyo hivyo usihoji. Mambo ya kuuliza maswali na kutafuta majibu waachie wenye akili kubwa.

Mimi sipo hapa kubishana na zaidi ujinga ni hali ya kutojua kitu. Hakuna mtu anaejua kila kitu hivyo nakubali hali ya kuwa mjinga ila wewe ni mpumbavu unakuja Jf kwa ajiri ya kubishana.
Jichunguze,unatatizo kubwa kichwani
 
Fuatilia tamthilia ya kikorea inaitwa Skycastle ndio utajionea mwenyewe.
Kuna series moja ya kichina - candle in the tomb
Kuna jamaa limwambia mwenzie (kama sijakosea) - there is no absolute right and wrong,just different point of view, the criteria of right and wrong lies in you not others!

Unakuta vinavtotusumbua sisi wao wanaona havina maana na sisi pia hivyo hivyo... kinachobadilisha ni saikolojia ya malezi & mazingira
 
Ila, ukisema kuna pembetatu ambayo pia ni duara katika Euclidean geometry, hapo tutajua kuna contradiction inayofanya pembetatu duara hiyo iwe ni kitu cha kufikirika tu na haiwezi kuwapo katika uhalisia.
Kiakili tu kutokuwepo kwa pembe tatu ambayo ni duara kwa wwkati mmpja hiyo inathibitisha kwamba kuna pembe tatu na kuna duara.

Sasa kutokuwepo kwa pembetatu duara haithibitishi kwamba pembetatu haipo na wala haithibitishi kwamba duara haipo.

Mfano wako unakosa maana kwa sababu unataka kuonesha kana kwamba kwa upande wa Mungu hakuna pembe tatu wala hakuna duara jambo ambalo sio sahihi.

Katika mfano wa pembetatu duara ni mfano ambao hauendi sambamba na Mungu.

Unachukua mifano ambayo haiendani na uhalisia wa mada,kisha unailazimisha iendane na uhalisia wa mada jambo ambalo ni utata mtupu.

Tukichukua mifano yako tunaona kwmba pembetatu ipo na duara ipo ila kisichokuepo ni kwamba pembetatu duara.

Sasa kwa Mungu kilichokuepo ni Mungu(pembetatu na duara) na hizo contradiction(pembetatu duara) hazipo.
 
Bado huja define unene ni nini na wembamba ni nini.

Kwa maana definition yako ni subjective si empirically logical.

Kwa mfano.

Definition empirical and logical itakuambia mtu mnene ana kiuno cha ukubwa gani, ratio ya body mass index inayolinganisha urefu na uzito gani, etc. Facts and figures. Unen3 na wembambq unakuwa na mutuql 3xclusivity. Mn3ne hawezi kuwa mwembamba na mwembambq hawezinkuwa mnene.

Hapo mtu kuwa mnene na mwembamba at the same time ni contradiction.

Ni sawa na mtu kuwa sehemu mbili physically kwa wakati mmoja.

Hiyo definition ya unene ni kuwa na mwili mkubwa haina mashiko, kwa sababu, mwili huohuo kwa mtu mmoja utaonekana mkubwa, kwa mtu mwingine utaonekana mdogo.

Rais Kagame wa Rwanda anaonekana mrefu kwa watu wengi. Lakini kuna picha alipiga kwenye harusi ya binti yake inaonesha katika familia yake yeye kaonekana ndiye mfupi kuliko wote. Sasa hapo tunahitaji empirical and unit standards kujua nani mrefu na nani mfupi. Kwa sababu wewe unaweza kusema Rais Kagame ni mrefu, kwa sababu wewe ni mfupi, lakini, binti yake na mkewe wakabisha wakasema huyu mfupi.

Your definition, up to now, is rather subjective.
Sizungumzii habari za uzito wa mtu kulinganisha na urefu au ufupi wake hiyo ni mitazamo katika masuala ya kiafya na sio kitu nachokizungumzia mimi hapa, mimi nazungumzia mtu mnene na nimeeleza kabisa kuwa ni bonge. Kagame kuzidiwa urefu na ndugu zake haina maana Kagame ni mfupi, hatuwezi kusema Bakhersa ni si tajiri kwa sababu umelinganisha utajiri wake na mtu aliyemzidi utajiri.

Yote kwa yote nimezungumzia mnene iwe ana uzito wa kuendana na urefu wake au sivyo hiyo haijalishi, point ni kwamba mnene hawezi kuwa hapo hapo mwembamba hiyo ni contradiction.
 
Kiranga my role model

Baada ya kumsoma Fyodor Dostoevsky katika vitabu vyake ya The Brothers Karamazov,hasa katika kitabu kidogo cha the Grand Inquistor katika kitabu hiko hiko cha the Brothers Karamazov aisee nilijifunza mambo mengi sana

Katika kitabu hiko kuna majibizano ya kuhusu Mungu kati ya Ivan na Father

Nilijifunza mengi sana

Nashukuru nilipokuja humu nikakutana na maongezi kama yale humu jf kupitia wewe

Siamini uwepo wa Mungu huyu wa dini hizi za Ukristo na Uislamu
Hata huyo unayemuamini wewe sasa hivi kuna watu wanasema hayupo vilevile.
 
Back
Top Bottom