Thom Munkondya
Member
- Feb 8, 2019
- 94
- 124
Ahsante sana ndugu zangu kwa kuniomba nijiunge jamiiforum ili pia niweze kuendelea kutoa elimu juu ya masuala mbali mbali ya ardhi.
Na sasa nimejiunga rasmi na jukwaa hili kwa ajili ya kuendelea kuwaelimisha watanzania wenzangu ili kuepukana na matatizo mbali mbali ya ardhi kama;
-kununua eneo lisilo sahihi
-kujenga eneo lisilo sahihi
-kupata hati miliki isio sahihi
-kubomolewa nyumba
-kutopewa fidia stahiki
-kudhurumiwa ardhi na masuala mengi zaidi
Kwa wale wote watakao taka kujiunga na baadhi ya magroup yangu ya whatsapp unaweza kuniandikia namba yako hapo chini..
Ahsante sana
Surveyormunkondya(mpima ardhi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Na sasa nimejiunga rasmi na jukwaa hili kwa ajili ya kuendelea kuwaelimisha watanzania wenzangu ili kuepukana na matatizo mbali mbali ya ardhi kama;
-kununua eneo lisilo sahihi
-kujenga eneo lisilo sahihi
-kupata hati miliki isio sahihi
-kubomolewa nyumba
-kutopewa fidia stahiki
-kudhurumiwa ardhi na masuala mengi zaidi
Kwa wale wote watakao taka kujiunga na baadhi ya magroup yangu ya whatsapp unaweza kuniandikia namba yako hapo chini..
Ahsante sana
Surveyormunkondya(mpima ardhi)
0765532858
Sent using Jamii Forums mobile app