Thom Munkondya
Member
- Feb 8, 2019
- 94
- 124
- Thread starter
- #61
Na serikali ya kijiji ndo inaidhinishaHati miliki ya kimila inatolewa na nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na serikali ya kijiji ndo inaidhinishaHati miliki ya kimila inatolewa na nani?
pia lukuvi alishasema kununua ardhi kwa wenyekiti ni sawa na kununua bomu muda wote linaweza kulipuka sababu moja wapo mihuri ya wenyekiti haina kibali cha kutumika kwenye mauziano ya ardhi hivyo ni sawa haujanunua kitu, hilo hilo eneo akitokea mwingine amenunua kwa mkataba wakili ujue bomu limeshalipuka
Na serikali ya kijiji ndo inaidhinisha
Ndio mkuuKwa Majibu wa sheria ya ardhi ya vijiji na regulations zake
Point, sheria ya NOTARY PUBLIC AND COMMISSION ER FOR AOTH, imetoa mamlaka hayo Kwa WAKILI, ikisomwa pamoja na sheria ya mawakili inazuia mawakili ndiyo wanaoruhusiw kudraft documents za mauziano ni mawakili tu,
Ndio mkuu sema hiyo bei ni kwa urasimishaji na shida kubwa ni kwamba bado wananchi wengi hawajui kutofautisha kati ya upimaji wa kawaida na urasimishaji..Huko nyuma wapimaji wamewaumiza sana wananchi waliotaka kupimiwa ardhi yao huku kukiwa na longolongo nyingi hadi kukatisha tamaa. Hata sasa bado wapo wapimaji wachache wanaoendekeza njaa kwa kuwataka wapimiwaji kulipia gharama kubwa. Ila kwa sasa wananchi wenyewe wakijipanga na kutaka kupimiwa maeneo yao kwa pamoja bei haitakiwi kuzidi 150,000/= kwa kila kiwanja.
Tuwasiliane mkuuNina eka 4 dodoma sehemu mmoja ila havijaungana...
Utanipimia kwa sh ngapi? Na hati nitapata kwa sh ngapi
Ahsante. Naomba jibu la post no. 3.Ndio mkuu sema hiyo bei ni kwa urasimishaji na shida kubwa ni kwamba bado wananchi wengi hawajui kutofautisha kati ya upimaji wa kawaida na urasimishaji..
Kwa sasa naandaa tofauti ya urasimishaji na upimaji wa kawaida ili wananchi waweze kuelewa
Laki na nusu in urasimishaji (upimaji wa viwanja vya watu wengi kwa wakati mmoja ) ila upimaji wa MTU mmoja no zaidi ya milioni mbili maana huyu MTU atabeba gharama zote za upimajiHili nalo ni shida ,ukisikia laki na nusu ukienda kutafuta Kibali bei siyo hiyo na usumbufu wa kutosha juu wana sababu hao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Raman zinatolewa mkuu nenda ofisi ya upimaji na Raman ya harmashauri au manispaa uliyopo, wengi huwa tunafika mbali tunazigawa pia katika ofisi ya mtaa husikaMbona wa wapimaji kwenye project ya urasimisaji hawatoi "ramani "...? Naona wanaishia kupanda mawe tu
Mkuu habari yako, nina tatizo ambalo ningeomba msaada wako kulielewa.
Mkuu habari yako, nina tatizo ambalo ningeomba msaada wako kulielewa.