Swahiba92 live interview on muosha rungu live show!

Swahiba92 live interview on muosha rungu live show!

upo na confidence ya ukweli mkuu... nikupongeze kwa hilo mkuu
Ahsante sana, Nina upeo pia wa Maandiko matakatifu japo siwezi kujisifu, hivyo najibu nilicho na uhakika nacho,maana MUNGU anasema Awajua walio wake, sasa wewe unajuaje uko kwenye kundi LA waluoko upande wake?? Huwezi kuchunguza siri za MUNGU, kikubwa jitahidi kuishi maisha ya kumpendeza MUNGU na siyo mwanadamu basi
 
Sina mtoto, lakini natarajia MUNGU akijaalia kwa sasa Niko tayari kabisa kumlea na aje afurahie maisha ya uwepo wangu, sikupenda kuzaa mapema kuepuka mwanangu kuja kuishi maisha ya kuunga unga, tatizo siyo kuwa mzazi, swali LA msingi ni Je! Mtoto atafurahia uwepo wako na kujivunia ana mzazi???
Maisha yako yana mchango gani kwa jamii inayokuzunguka

DJ sepetu
 
Mkuu.....
Minimeangalia avatar yake, na nilicho kiona pale kifuani upande wake wa kushoto mmhhhhh........ kitu kimeanguka kama kandambili kifuani, yaani kama ni jua ndio linazama mida ya kumi na mbili jioni......[emoji2] [emoji2]
Samahani kama nitamkwaza yeyote, lakini hicho ndicho macho yangu yameona
mkuu unamaana ya kanda mbili yanga afrika NdAlA? malapa?
 
Injili ni uweza wa MUNGU uletao wokovu, kwa myahudi kwanza na kwa myunani pia, hivyo yeyote anayebeba Ujumbe huo na kuwaekeza wengine ni Mwinjilist tayari,siyo Lazima apande kwenye majukwaa na kupiga makelele
Amen.....[emoji120]
 
372ac50eb4979afb71c93528038df789.jpg
Naweza kupata Picha nyingine tafadhali

DJ sepetu
 
Maisha yako yana mchango gani kwa jamii inayokuzunguka

DJ sepetu
Tatizo LA maisha liko mtambuka sana unaweza Fanya jambo flan ukaona ni jema na mwingine aweze kuiga ila mwenzako akaona ni upuuzi tu, kikubwa tu kila MTU afanye anachoweza ili kutimiza ndoto zake ilimradi tu MTU havunji Sheria,kikubwa tu Haijalishi umetoka ktk familia gani uwezo wa kufanikiwa upo mikononi mwako, Mungu kakupatia Akili timamu na uchaguzi Acha kulalimika Fanya kazi na Usiache kumuweka MUNGU wa kwanza
 
Tatizo LA maisha liko mtambuka sana unaweza Fanya jambo flan ukaona ni jema na mwingine aweze kuiga ila mwenzako akaona ni upuuzi tu, kikubwa tu kila MTU afanye anachoweza ili kutimiza ndoto zake ilimradi tu MTU havunji Sheria,kikubwa tu Haijalishi umetoka ktk familia gani uwezo wa kufanikiwa upo mikononi mwako, Mungu kakupatia Akili timamu na uchaguzi Acha kulalimika Fanya kazi na Usiache kumuweka MUNGU wa kwanza
Wapi unaona ilikosea Na ungependa ubadili story

DJ sepetu
 
Back
Top Bottom