Swala la mkataba wa bandari na baraza la maaskofu naanza kuliona kwa jicho lingine tofauti

Swala la mkataba wa bandari na baraza la maaskofu naanza kuliona kwa jicho lingine tofauti

Bwana Bima

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2014
Posts
429
Reaction score
929
1) tukumbuke kanisa katoliki lina wasomi wengi sana tena wenye uwezo na elimu za juu sana na kikubwa zaidi wana intelligence system yenye nguvu sana kote duniani. Ukiona jambo wameshikilia msimamo ujue kuna kitu.
2) Najiuliza sana kwanini hawa DP wanakuja tu baadhi ya sheria zinataka kubadilishwa tena ambazo kwa miaka mingi imekua ikilinda rasilimali za Tz?
3) Kuna hoja imeibuliwa ya udini kwenye hili jambo lakini nimesikikiza hoja za pande zote yaani masheikh wanapozungumza na baadhi ya maaskofu naona upande wa maisheikh wakizingatia zaidi manufaa ya mkataba na kumtetea mama lakini mengine kama athari zake,usalama wa hizo rasilimali hawazungumzi hii ni kasoro...
MWISHO KWA JICHO LANGU HILI JAMBO NAONA KANISA LIMELIANGALIA KIUSALAMA ZAIDI WA NCHI. SITAKI NIWACHOSHE NA KUFAFANUA SANA ACHA NIJIPE MUDA ZAIDI NIONE TUTAKAPOFIKIA
 
1) tukumbuke kanisa katoliki lina wasomi wengi sana tena wenye uwezo na elimu za juu sana na kikubwa zaidi wana intelligence system yenye nguvu sana kote duniani. Ukiona jambo wameshikilia msimamo ujue kuna kitu.
2) Najiuliza sana kwanini hawa DP wanakuja tu baadhi ya sheria zinataka kubadilishwa tena ambazo kwa miaka mingi imekua ikilinda rasilimali za Tz?
3) Kuna hoja imeibuliwa ya udini kwenye hili jambo lakini nimesikikiza hoja za pande zote yaani masheikh wanapozungumza na baadhi ya maaskofu naona upande wa maisheikh wakizingatia zaidi manufaa ya mkataba na kumtetea mama lakini mengine kama athari zake,usalama wa hizo rasilimali hawazungumzi hii ni kasoro...
MWISHO KWA JICHO LANGU HILI JAMBO NAONA KANISA LIMELIANGALIA KIUSALAMA ZAIDI WA NCHI. SITAKI NIWACHOSHE NA KUFAFANUA SANA ACHA NIJIPE MUDA ZAIDI NIONE TUTAKAPOFIKIA
Naendeleza ulipoachia;
3. ............... Lakini upande wa maaskofu pia nimeona wanazungumza madhara tu bila kugusia upande wa faida za mkataba huo. Hii ni kasoro pia.




Ahsante kwa kuniruhusu, nimemaliza!
 
Naendeleza ulipoachia;
3. ............... Lakini upande wa maaskofu pia nimeona wanazungumza madhara tu bila kugusia upande wa faida za mkataba huo. Hii ni kasoro pia.




Ahsante kwa kuniruhusu, nimemaliza!
Faida hizo zinaweza kupatikana kama nchi yenyewe (Tanzania) ikijielewa na kuongeza uwekezaji ili kukuza ufanisi.

Hizo athari za kumpa kitu mgeni haijakaa poa.

Kumbuka hata hao wageni unaowasemea wewe kuwa wataleta hzo faida, vipi wakiamua kwenda kinyume cha mradi kwa kuleta visingizio tu na hzo faida zisifikiwe/zisipatikane?

Je utakuwa na mamlaka ya kuwawajibisha hata kwa kuwavunjia mkataba?
Unawaza kuhusu hili!?

Kila mtu anataka faida, but vipi kama hzo faida za mradi zisipofikiwa miaka na miaka halafu ulijifunga hata kuwawajibisha tu huwezi!?

Acheni udini kwenye mambo ya nchi hii.

Imani ni shambulio la saikolojia.
 
1) tukumbuke kanisa katoliki lina wasomi wengi sana tena wenye uwezo na elimu za juu sana na kikubwa zaidi wana intelligence system yenye nguvu sana kote duniani. Ukiona jambo wameshikilia msimamo ujue kuna kitu.
2) Najiuliza sana kwanini hawa DP wanakuja tu baadhi ya sheria zinataka kubadilishwa tena ambazo kwa miaka mingi imekua ikilinda rasilimali za Tz?
3) Kuna hoja imeibuliwa ya udini kwenye hili jambo lakini nimesikikiza hoja za pande zote yaani masheikh wanapozungumza na baadhi ya maaskofu naona upande wa maisheikh wakizingatia zaidi manufaa ya mkataba na kumtetea mama lakini mengine kama athari zake,usalama wa hizo rasilimali hawazungumzi hii ni kasoro...
MWISHO KWA JICHO LANGU HILI JAMBO NAONA KANISA LIMELIANGALIA KIUSALAMA ZAIDI WA NCHI. SITAKI NIWACHOSHE NA KUFAFANUA SANA ACHA NIJIPE MUDA ZAIDI NIONE TUTAKAPOFIKIA

Dr Matola PhD aliwauliza MADALALI kama issue ni Udini Mbona Kipindi cha JIWE(Mkristo) walipewa Waislam miradi mikubwa SGR na JNHEP na hakuna mtu aliyesema mambo ya udini?
 
Tatizo la masheikh wanakuja na udini full hawana hoja ya msingi, subiri nao watoe waraka wao itakuwa ni kichekesho kitupu. Wangeachana na mihemko ya kidini wakatuliza akili wangeweza kueleweka hoja zao ila udini umewajaa
 
Faida hizo zinaweza kupatikana kama nchi yenyewe (Tanzania) ikijielewa na kuongeza uwekezaji ili kukuza ufanisi.

Hizo athari za kumpa kitu mgeni haijakaa poa.

Kumbuka hata hao wageni unaowasemea wewe kuwa wataleta hzo faida, vipi wakiamua kwenda kinyume cha mradi kwa kuleta visingizio tu na hzo faida zisifikiwe/zisipatikane?

Je utakuwa na mamlaka ya kuwawajibisha hata kwa kuwavunjia mkataba?
Unawaza kuhusu hili!?

Kila mtu anataka faida, but vipi kama hzo faida za mradi zisipofikiwa miaka na miaka halafu ulijifunga hata kuwawajibisha tu huwezi!?

Acheni udini kwenye mambo ya nchi hii.

Imani ni shambulio la saikolojia.
Wee said mkuu
 
Faida hizo zinaweza kupatikana kama nchi yenyewe (Tanzania) ikijielewa na kuongeza uwekezaji ili kukuza ufanisi.

Hizo athari za kumpa kitu mgeni haijakaa poa.

Kumbuka hata hao wageni unaowasemea wewe kuwa wataleta hzo faida, vipi wakiamua kwenda kinyume cha mradi kwa kuleta visingizio tu na hzo faida zisifikiwe/zisipatikane?

Je utakuwa na mamlaka ya kuwawajibisha hata kwa kuwavunjia mkataba?
Unawaza kuhusu hili!?

Kila mtu anataka faida, but vipi kama hzo faida za mradi zisipofikiwa miaka na miaka halafu ulijifunga hata kuwawajibisha tu huwezi!?

Acheni udini kwenye mambo ya nchi hii.

Imani ni shambulio la saikolojia.
Wee said mkuu
 
Unaweza kuwa na phd ila akili yako inafanya kazi ya kukusanya sadaka hapo ni useless kabisa.
 
Tatizo la masheikh wanakuja na udini full hawana hoja ya msingi, subiri nao watoe waraka wao itakuwa ni kichekesho kitupu. Wangeachana na mihemko ya kidini wakatuliza akili wangeweza kueleweka hoja zao ila udini umewajaa
Wameshakuwa Brainwashed baada ya kusikia Watajengewa Misikiti, Watakuwa wanagawiwa Kanzu bure, Tende na Nyama ya Ngamia buree. Hapo huwawezi tena wapo tayari kujitoa mhanga
 
Ukitaka kuanzisha machafuko watumie waislamu,hawa jamaa huwa hawanga akili ya kuhoji wala kujiuliza ikipigwa takbiri majini yanawapanda[emoji28][emoji28]

Anyway ngoja tuone nini ccm wanakitafuta nchi hii naona kama vile amani wameizoea sana.
 
Ili uwe padre, minimum at least uwe umemaliza f6, unless ulelewe na wao waseminary wenyewe.
Kuwa shehe minimum uende madarasa tu. Haijalishi elimu ya dunia na IQ yako ipoje. Ukijua kusoma koroani na kuongea kiarabu hata kama ubongo ndani ni zero na uwe na ka ubishi flan HIV unakua shehe au Imamu tayari. Ndio maana wanaongoza kua na inferiority complex.

Mapadre na Mashehe hawawezi kulingana katika kuangalia mambo yanayohusu ustawi wa kijamii na kiroho.

Hakuna mkoloni mbaya kama Mwarabu. Anakuosha akili yote anabeba. Mzungu nafuu anakuachia kidogo.
 
Wameshakuwa Brainwashed baada ya kusikia Watajengewa Misikiti, Watakuwa wanagawiwa Kanzu bure, Tende na Nyama ya Ngamia buree. Hapo huwawezi tena wapo tayari kujitoa mhanga
Hivi hawa wanaonunua mifugo mingi na kuichinja kwa wakati mmoja kwenye ile sikukuu yao ya kuchinja sio dp world kweli? Hawa waswahili wa madongo kuinama wana uwezo gani wa kununua mifugo hiyo mingi na kuiteketeza mara moja kiasi cha kuogofya wakiendelea hivyo mifugo yetu itaisha kabisa. Isije ikawa ni dp world wanafanya ibada yao ya kafara kupumbaza watanzania wasitambue ulaghai wao kwenye huo mkataba wao wa bandari. Mbaya zaidi wanachafua miji kwa kumwaga uchafu wa utumbo na kuacha ngozi za wanyama hao zikizagaa hovyo mitaani bila kuliwa na fisi, tai au funza. Ni uchafuzi wa miji kwani hawaoni machinjio za umma? Isije ikawa ni ibada za kishirikina kupumbaza wananchi wasitambue kuporwa rasimali zao
 
Unaweza kumhonga ubwabwa na nyama shehe akakubaliana na wewe.
Padre huwezi fanya hivyo, hata pa kuanzia tu hutopapata.
 
Wameshakuwa Brainwashed baada ya kusikia Watajengewa Misikiti, Watakuwa wanagawiwa Kanzu bure, Tende na Nyama ya Ngamia buree. Hapo huwawezi tena wapo tayari kujitoa mhanga
Hili nilitaka niliongee nikasita kidogo na kubwa au kitu nachoona hapa huu uchochoro ndo makundi ya kigaidi yanapoingilia. Acha tuone. Sikutaka kuliongelea hili mana lingezua tafrani kubwa sana
 
1) tukumbuke kanisa katoliki lina wasomi wengi sana tena wenye uwezo na elimu za juu sana na kikubwa zaidi wana intelligence system yenye nguvu sana kote duniani. Ukiona jambo wameshikilia msimamo ujue kuna kitu.
2) Najiuliza sana kwanini hawa DP wanakuja tu baadhi ya sheria zinataka kubadilishwa tena ambazo kwa miaka mingi imekua ikilinda rasilimali za Tz?
3) Kuna hoja imeibuliwa ya udini kwenye hili jambo lakini nimesikikiza hoja za pande zote yaani masheikh wanapozungumza na baadhi ya maaskofu naona upande wa maisheikh wakizingatia zaidi manufaa ya mkataba na kumtetea mama lakini mengine kama athari zake,usalama wa hizo rasilimali hawazungumzi hii ni kasoro...
MWISHO KWA JICHO LANGU HILI JAMBO NAONA KANISA LIMELIANGALIA KIUSALAMA ZAIDI WA NCHI. SITAKI NIWACHOSHE NA KUFAFANUA SANA ACHA NIJIPE MUDA ZAIDI NIONE TUTAKAPOFIKIA
Ni kama Maaskofu ambavyo hawaoni faida yeyote kwenye uwekezaji ,zaidi ya udini ,udini
 
Ni kama Maaskofu ambavyo hawaoni faida yeyote kwenye uwekezaji ,zaidi ya udini ,udini
Mkuu, mikataba ya madini na ile mingine mingine ya hovyo, ilisainiwa awamu ipi?

Uuzwaji wa wanyama na Loliondo, ni nani alikuwa ofisi kuu?

Waislamu wanalalamikia MoU ya catholic na serikali, ya mwaka 1992; ni nani alikuwa ofisi kuu?
 
Hivi hawa wanaonunua mifugo mingi na kuichinja kwa wakati mmoja kwenye ile sikukuu yao ya kuchinja sio dp world kweli? Hawa waswahili wa madongo kuinama wana uwezo gani wa kununua mifugo hiyo mingi na kuiteketeza mara moja kiasi cha kuogofya wakiendelea hivyo mifugo yetu itaisha kabisa. Isije ikawa ni dp world wanafanya ibada yao ya kafara kupumbaza watanzania wasitambue ulaghai wao kwenye huo mkataba wao wa bandari. Mbaya zaidi wanachafua miji kwa kumwaga uchafu wa utumbo na kuacha ngozi za wanyama hao zikizagaa hovyo mitaani bila kuliwa na fisi, tai au funza. Ni uchafuzi wa miji kwani hawaoni machinjio za umma? Isije ikawa ni ibada za kishirikina kupumbaza wananchi wasitambue kuporwa rasimali zao
Wapi huko wanachinja
 
Naendeleza ulipoachia;
3. ............... Lakini upande wa maaskofu pia nimeona wanazungumza madhara tu bila kugusia upande wa faida za mkataba huo. Hii ni kasoro pia.




Ahsante kwa kuniruhusu, nimemaliza!
Kwenye kusema hichi kitu hakifai, huwa unatoa hoja kuonyesha hakifai, umekikataa. Sasa ulitaka watoe faida wakati wamepima faida na hasara mzani ukalalia hasara. Mbona makada wa ccm wamelalia kwenye faida tu bila kupima madhara ya hasara
 
1) tukumbuke kanisa katoliki lina wasomi wengi sana tena wenye uwezo na elimu za juu sana na kikubwa zaidi wana intelligence system yenye nguvu sana kote duniani. Ukiona jambo wameshikilia msimamo ujue kuna kitu.
2) Najiuliza sana kwanini hawa DP wanakuja tu baadhi ya sheria zinataka kubadilishwa tena ambazo kwa miaka mingi imekua ikilinda rasilimali za Tz?
3) Kuna hoja imeibuliwa ya udini kwenye hili jambo lakini nimesikikiza hoja za pande zote yaani masheikh wanapozungumza na baadhi ya maaskofu naona upande wa maisheikh wakizingatia zaidi manufaa ya mkataba na kumtetea mama lakini mengine kama athari zake,usalama wa hizo rasilimali hawazungumzi hii ni kasoro...
MWISHO KWA JICHO LANGU HILI JAMBO NAONA KANISA LIMELIANGALIA KIUSALAMA ZAIDI WA NCHI. SITAKI NIWACHOSHE NA KUFAFANUA SANA ACHA NIJIPE MUDA ZAIDI NIONE TUTAKAPOFIKIA
Haya mambo ya udini aliye yasababisha ni serikali yenyewe, huu mpasuko wataujutia
 
Back
Top Bottom