Swala la mkataba wa bandari na baraza la maaskofu naanza kuliona kwa jicho lingine tofauti

Swala la mkataba wa bandari na baraza la maaskofu naanza kuliona kwa jicho lingine tofauti

Haya mambo ya udini aliye yasababisha ni serikali yenyewe, huu mpasuko wataujutia
Kabisa mkuu maana badala ya kujibu hoja wakaanza kupoteza hoja kwa ishu za kitanganyika na kizanzibari na baadae wakaja na udini na vyote vinawashinda. Nadhani wanaomsaidia raisi kwenye maswala ya siasa wamebugi vibaya sana
 
Watanzania naona amani mmeichoka eti ?
 
Kabisa mkuu maana badala ya kujibu hoja wakaanza kupoteza hoja kwa ishu za kitanganyika na kizanzibari na baadae wakaja na udini na vyote vinawashinda. Nadhani wanaomsaidia raisi kwenye maswala ya siasa wamebugi vibaya sana
Sasa hapo ni mtihani Kwa rais maana akiendelea na mchakato Wakristo wataamini kweli kuwa hii inshu inahisiana na Waislam na akaihirisha mchakato itaonekana Wakristo Wana nguvu ya kuamua jambo na serikali ikatii, hapo pia ni mtihani mkubwa Kwa viongozi wa serikali wenye Imani ya katoliki wanashindwa wawe upande upi maana kimsingi ule walaka ndio msimamo wa Wakatoliki wote TZ Sasa wakiendelea na msimamo wa kutetea serikali Kuna hatari ya kutengwa na kanisa kuanzia ngazi za Jumuiya, maana RC wanautaratibu wao wenye misimamo mikali hawabembelezi waumini, ukienda kinyume tu na misingi ya kanisa unatengwa. Sasa hapo ni mtihani mkubwa waliojitakia wao wenye we.
 
Sasa hapo ni mtihani Kwa rais maana akiendelea na mchakato Wakristo wataamini kweli kuwa hii inshu inahisiana na Waislam na akaihirisha mchakato itaonekana Wakristo Wana nguvu ya kuamua jambo na serikali ikatii, hapo pia ni mtihani mkubwa Kwa viongozi wa serikali wenye Imani ya katoliki wanashindwa wawe upande upi maana kimsingi ule walaka ndio msimamo wa Wakatoliki wote TZ Sasa wakiendelea na msimamo wa kutetea serikali Kuna hatari ya kutengwa na kanisa kuanzia ngazi za Jumuiya, maana RC wanautaratibu wao wenye misimamo mikali hawabembelezi waumini, ukienda kinyume tu na misingi ya kanisa unatengwa. Sasa hapo ni mtihani mkubwa waliojitakia wao wenye we.
Ni shida sana
 
Back
Top Bottom