Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MarehemuHy picha hapo juu ya marehemu au mdogo wa marehemu?
Alikua mremboMarehemu
HhahahaHabari kamili ni hivii
Wote wamekufa kabisa na imethibitishwa na madaktar.
Hayo mengne n mbwembwe tu
Tutapikiwa movie tunyooke.Sijaelewa hiyo scene ya sanda??
wewe umerogwa ama ndo mrogaji?Ukimwambia mwanamke pika hataki
Usie kwenye sehemu za starehe usiku hataki
Njoo unipokee hataki
Ujue mwanamke amesharoga anaangalia dawa kama zinafanya kazi.
Marehemu mume alishamwambia mzazi mwenzie waliyeachana warudiane kwani hamuelewi mkewe, mwezi March Said alimpeleka mzazi mwenzie nyumbani kwake anapoishi na Swalha, alipomuuliza mkeo yuko wapi akasema amerudi kwao.Dada mdogo wa marehemu mke amesema dada yake alimwambia kashachoka kutukanwa na mumewe na hadhani kama ndoa ina manufaa, mdogo mtu aliendelea kumshinikiza amalize mgogoro kwani yeye anaona wanagombania kitu ambacho hakipo hivyo rahisi kusuluhisha. Mdogo mtu alikuwa anaishi kwenye nyumba nzuri ya shemeji na gari la dada alikuwa analitumia kupigia misele mjini.
Marehemu mume alishamwambia mzazi mwenzie waliyeachana warudiane kwani hamuelewi mkewe, mwezi March Said alimpeleka mzazi mwenzie nyumbani kwake anapoishi na Swalha, alipomuuliza mkeo yuko wapi akasema amerudi kwao.
Said alimwambia mama yake wiki moja kabla ameshika sanda na akazimia papo hapo, usiku huo huo baba mkwe akapata mganga na kwenda 'kumuagua'. Ni ndoa iliyokuwa inasongeshwa mengi.
Hata sababu ya mke kwenda mara kwa mara kwao ni dalili nyumba ilishamshinda.
Watu mpaka wamelazana hospitali kwa kipigo bado mnang'ang'aniza waendelee!
Wazazi, mashemeji na mawifi, wahusika wakichemka tusishinikize mambo yaendelee. Wahuska ndio wanajua zaidi yaliyomo ndani mwao.
Hii ndiyo Dar, au kuna nyingine tena [emoji848][emoji2]Unamuonea wivu marehemu dah.
Hii ndiyo Dar, au kuna nyingine tena [emoji848][emoji2]
Urembo tu.Binti alijaliwa uzuri
Urembo tu.
Uzuri hukaa moyoni
Marehemu Said hata kimuonekano anaonekana hakuwa mtu wa kurembaremba hivi ni mjaruo au
Kiwese alitoa nani tuanzie hapoMdogo mtu alikuwa anaishi kwenye nyumba nzuri ya shemeji na gari la dada alikuwa analitumia kupigia misele mjini
Ukimwambia mwanamke pika hataki
Usie kwenye sehemu za starehe usiku hataki
Njoo unipokee hataki
Ujue mwanamke amesharoga anaangalia dawa kama zinafanya kazi.