Ahaa kumbe ni akina MasunaMjita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaa kumbe ni akina MasunaMjita
Sana she was beautifulBinti alijaliwa uzuri
Hata sababu ya mke kwenda mara kwa mara kwao ni dalili nyumba ilishamshinda.
Mjaluo yupi ni Muislamu?
Yani we unatafuta bahari ukiwa jangwani, sawa na hawa watu wa Pwani ni vigumu sana kumkuta Mzaramo ni Mkristo, tena haswa haswa mlokole [emoji847]
Mbona mi mwenyewe naitwa Hamisi lakini ni Mkristo?Mbona mnatuchanganya hivi?
Kwenye clip zinaonyesha mahojiano huku nyimbo za injili na Nina uhakika sio kaswida
Na mtoto wa marehemu alipogoma kulala na bibi yake unasikia Yesu Yesu
Wala sielewi hili tukio Hebu fafanua
Mama yake Saidi aliolewa na Muislam ama
Wajita wa wapi
Hii pisi ilikuwa makiniView attachment 2248278Binti alijaliwa uzuri
Mbona mi mwenyewe naitwa Hamisi lakini ni Mkristo?
Jina lisikuchanganye Chifu, kuna Waislamu majina na Waislamu halisi, vise versa is true to the Christians.
Mbona said kazikwa kiislamu sasa?,, Waislamu hawaonagi shida kutamka yesu , au kusema, ubarikiwe, au hata kusikiza nyimbo za injiliMbona mnatuchanganya hivi?
Kwenye clip zinaonyesha mahojiano huku nyimbo za injili na Nina uhakika sio kaswida
Na mtoto wa marehemu alipogoma kulala na bibi yake unasikia Yesu Yesu
Wala sielewi hili tukio Hebu fafanua
Mama yake Saidi aliolewa na Muislam ama
Wajita wa wapi
Mbona said kazikwa kiislamu sasa?,, Waislamu hawaonagi shida kutamka yesu , au kusema, ubarikiwe, au hata kusikiza nyimbo za injili