Swalha na Said walishakubali ndoa imekufa ila wadananda wakaendelea kuishinikiza kwa manufaa yao binafsi

Ukimwambia mwanamke pika hataki
Usie kwenye sehemu za starehe usiku hataki
Njoo unipokee hataki
Ujue mwanamke amesharoga anaangalia dawa kama zinafanya kazi.
wewe umerogwa ama ndo mrogaji?

Upo much know sana.

lol.🙊🙊🙊🤔🤔🤔🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🤣🤣
 
Marehemu mume alishamwambia mzazi mwenzie waliyeachana warudiane kwani hamuelewi mkewe, mwezi March Said alimpeleka mzazi mwenzie nyumbani kwake anapoishi na Swalha, alipomuuliza mkeo yuko wapi akasema amerudi kwao.

[emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827] Mshika mawili moja humponyoka!
 
Wachambuzi wa ndoa

Ngoja tupate tangazo kutoka studio
 
Nasubir Kesho niamke nikutane na vichwa vya habari magazetini, YouTube n.k " MAPYA YAIBUKA JAMAA ALIYEMPIGA RISASI MKEWE MWANZA"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…