SWALI: Bora uende jela mwaka mmoja au umuoe/kuolewa na X wako?

Hajanipa hata sh mia yake wala chochote ......yaani me ndo nlikua nampa hela za hapa na pale na hizo 80 ndo nikamkopesha .....hivi Mimi sijui nilirogwaaa nikukumbuka huwa najisonya Sonya tu ....usenge ule sirudii teeena mpaka nakufa manina
finally nimemuona ex wangu

habari ex
 
Uende jela ukutane na nyampara uwe chakula chake...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sema sina Ex hla nina Example ya vitu nlivofanya nsirudie tena
 
Ivi jela mnakujuw nyinyi??? .

Hata ivo mambo mengine ni yakufikirika kwaiyo kama mimi nisingejibu swali.
 
teheeteheee!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…