Au nimeongopa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Safi kabisa mama mkweHawezi angaika kivyake kama mm nipo
Safi kabisa mama mkwe
Hahahahahah ilikuajeUnanikumbusha Frank wanguuu
twende jela tu.Ongea chochote
finally nimemuona ex wanguHajanipa hata sh mia yake wala chochote ......yaani me ndo nlikua nampa hela za hapa na pale na hizo 80 ndo nikamkopesha .....hivi Mimi sijui nilirogwaaa nikukumbuka huwa najisonya Sonya tu ....usenge ule sirudii teeena mpaka nakufa manina
bora mateso ya x jamani si segerea au keko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]atakutesaaa
teheeteheee!!!Kiukweli mimi bora nifungwe jela mwaka mmoja siwezi kuolewa na x wangu maana aliniboa kweli kweli.
Tena nahisi hata nikikubali kunioa nahisi ningekuwa nimenuna kila siku ndani ya nyumbaa.
Hili swali limenipa hasira mimi bora nifungwe Segerea kuliko kuolewa na X wangu aliniboa yani aliniuziii aiseee siwezi kabisaaaaa tena nalichukia balaaa.
Malaika wa Jr.
ha haaa haaaMm mateso ya x ni zaidi ya segerea
Hamna sharia kama hiyoMkiishia njiani unapelekwa jela