Hahahah huoni kama unajifunga kifungo cha maisha hakuna amani ndani ya nyumbaSijawahi kuachana na ex wangu kwa vitimbi. Yani inatokea tu kila mtu anashika njia yake bila kelele. Sasa kwenda jela kweli hapana hata kama mapenzi Yameisha ntabanana nae tu kwani sh ngapi [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahhahahaha uwiiiii nimecheka hatar
Kabisa yan niko hivyo, nitakupenda kwa moyo wangu wote, nitahakikiaha nafanya ninachoweza kilicho ndan ya uwezo wangu ili tu mahusiano yangu yawe strong, mimi ni yule mwanamke nitaomba samahani kwa makosa even sio yangu sababu sipendi malumbano kabisa, najua tutakwaruzana nitachukia lakini always naamini katika second chances, nitakupa nafas hata zaidi ya kumi najua utajirekebisha sitaweza kukuchoka kabisa na nutajitahidi kukuambia makosa yako, ila shida ikija nafanya vyote na bado unakuta mtu halipi fadhila, hakulipi hata jema unalomfanyia wala hakai akawaza kwamba huyu mwanamke ni wa pekee kwa kweli nikichoka moyoni nachoka mazima, yan hakuna kurudi nyuma, na baada ya kuachana sitakaa nikakutafta sitakaa, nitadili na mambo yangu sababu najua nimeanza maisha mapya nitajitahidi kumove on ilakamwe sikutafti kwanza unaweza nitumia msg na nisikujib vile vile kila kitu kinawezekana tukiamuaNimependa huu msimamo... . Japo nikipenda napenda kweli kweli ila ikishafikia hatua tukaachana sinaga kurudi nyuma hata mwanaume aweje.. NEVER
cc Smart911
Hahahahahha utakuwa na raha kweli kwenye ndoaBora nimrudishe x wang tuu si kwa poz za jera hahaha jera kusikieni tu kwakina sugu et unakosa hata utaaaam wa kubumbia kudadeq bora liex lako hata km ligubegube kiruuui[emoji52][emoji52][emoji52][emoji52]
We nenda gerezanibasi narudi 🙂🙂
Hahahhahahaanaona ujumbe umefika mahali ulipolengwa
Nakazia upo moyoni kwangu kabisaMhh me naona niko tofaut sana na wengine ukishakua ex wewe ni bye bye hajjalishi tulichuniana tu au kuchana kwa mabaya nenda tu kwa amani na kamwe simtafti mtu anaitwa ex na siwez kujidrag low kuendeleza hizo mechi za kirafiki na ex hapana kwa kweli
Hizo sentensi mbili za mwisho umenifanya natabasam hapa
Yaan mimi nikanyee debe mimii kweliiiiYani mimi niende jela mimi kabisa. Ex baba karibu tu tuanze maisha
umbeaHahahhahahaa
TouchKabisa yan niko hivyo, nitakupenda kwa moyo wangu wote, nitahakikiaha nafanya ninachoweza kilicho ndan ya uwezo wangu ili tu mahusiano yangu yawe strong, mimi ni yule mwanamke nitaomba samahani kwa makosa even sio yangu sababu sipendi malumbano kabisa, najua tutakwaruzana nitachukia lakini always naamini katika second chances, nitakupa nafas hata zaidi ya kumi najua utajirekebisha sitaweza kukuchoka kabisa na nutajitahidi kukuambia makosa yako, ila shida ikija nafanya vyote na bado unakuta mtu halipi fadhila, hakulipi hata jema unalomfanyia wala hakai akawaza kwamba huyu mwanamke ni wa pekee kwa kweli nikichoka moyoni nachoka mazima, yan hakuna kurudi nyuma, na baada ya kuachana sitakaa nikakutafta sitakaa, nitadili na mambo yangu sababu najua nimeanza maisha mapya nitajitahidi kumove on ilakamwe sikutafti kwanza unaweza nitumia msg na nisikujib vile vile kila kitu kinawezekana tukiamua