Swali chokonozi: Nikiomba file la matibabu ya hayati Magufuli naweza kupewa?

Niko interested kupata lile file alilozungumzia Diallo nafahamishwa lilifichwa na Chikawe.

Ama kwa hakika makosa makubwa yaliyofanyika August 2015 yatafutika baada hata ya miongo miwili.
Magufuli alikuwa ni mental case, asingeweza kupitishwa na CC ya CCM kama Chikawe angelipeleka lile faili mbele
 
Alifariki akiwa Rais, kwahiyo alifariki akiwa Mali ya Jamhuri na wamiliki wa Jamhuri ni Wananchi.Having said so, these citzens have the right to know what transpired the death of their.................
Unaonekana kama neno "classfied" hujalijua maana yake.
 
Hivi kwanini sukumagang hamtaki kuamini mungu wenu amekufa kwa ukaidi wake wa kuwapuuza wale wadudu waliowaangamiza wasaidizi wake wa karibu?
 
Alifariki akiwa Rais, kwahiyo alifariki akiwa Mali ya Jamhuri na wamiliki wa Jamhuri ni Wananchi.Having said so, these citzens have the right to know what transpired the death of their.................
Ungeanza na vifo vya maraisi wastaafu kwanza labda ungeonekana una nia njema. Huyu ni rais wa kwanza kufariki akiwa madarakani.... ni binadamu kama binadamu wengine

Na sote tunajua aliviletea ujuaji wa kisukuma vile virusi vya 19. Vikamtendea miujiza
 
Mkuu huwezi kupewa
 
Ugonjwa ni siri ya mgonjwa na daktari wake! Ingawa Mungu yuko juu zaidi ya hiyo siri! Kwa ufupi huwezi kupewa!
 
Ugonjwa ni siri ya mgonjwa na daktari wake! Ingawa Mungu yuko juu zaidi ya hiyo siri! Kwa ufupi huwezi kupewa!
 
Kuna sheria maalum inaitwa Inquest Act of 1980.

Jambo hilo linawezekana kwa utaratibu maalum.

Wa kufanyika uchunguzi.
Ni ngumu kwa sababu za kiusalama, utapigwa pin kwenye sheria hizo hizo Mkuu na ground kubwa ni ishu za kiusalama na ubaya hiyo ground haiwezi kujadilika ikitolewa tu imeisha iyo.
 
Nina subscribe reply yako Mkuu
 
Uombe kama nani? wewe ni mke wake?
 
Inawezekana kufanyika ni jambo tu la utayari kwa mamlaka kwa wakati huo ila linawezekana kabisa.
Toa authority Mkuu usibaki kwenye nadharia, tupe mechanism utakayotumia kufika hapo.

Mfano sema provision fulani ya sheria fulani inaweza kutumika ku enforce ilo swala.

Then utaoneshwa ilivyo ngumu.

Nikupe mfano tu, rambi rambi ya msiba wa raisi tu bado ni kizungumkuti kujadiliwa na kumbuka tunayo sheria ya maazishi ya viongozi wa kitaifa ila jambo dogo kama rambi rambi ni mtihani, ndio sembuse jalada Mkuu.
 
Ni ngumu kwa sababu za kiusalama, utapigwa pin kwenye sheria hizo hizo Mkuu na ground kubwa ni ishu za kiusalama na ubaya hiyo ground haiwezi kujadilika ikitolewa tu imeisha iyo.
Inquest inawezekana, exhumination inawezekana, commission itayotoa ripoti inawezekana na tena tukaipata wote.
 
Hatari sn
 
Nani akupe hilo file?
Kwani hilo file lipo bado?
Wewe unapaswa kujua tu, file halisi huenda lilishapigwa kiberiti mapema sana baada ya Sizonje kufariki.
Ndo nimemjua leo Sizonje[emoji23][emoji23]
 
Unaliomba kwa nani hilo faili na ili ulifanyie nini?
 
Ni mwananchi and ukishakuwa Rais unakuwa Public Property. Ndiyo maana Rais halishwi, kuvalishwa na kutibiwa na familia yake, kusafiri na kuishi kwa gharama za familia.

Alisikika mlevi mmoja baada ya kushiba kuber.
Nadhani huyo mlevi ulikuwa ni wewe mwenyewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…