Magufuli alikuwa ni mental case, asingeweza kupitishwa na CC ya CCM kama Chikawe angelipeleka lile faili mbeleNiko interested kupata lile file alilozungumzia Diallo nafahamishwa lilifichwa na Chikawe.
Ama kwa hakika makosa makubwa yaliyofanyika August 2015 yatafutika baada hata ya miongo miwili.
Unaonekana kama neno "classfied" hujalijua maana yake.Alifariki akiwa Rais, kwahiyo alifariki akiwa Mali ya Jamhuri na wamiliki wa Jamhuri ni Wananchi.Having said so, these citzens have the right to know what transpired the death of their.................
Hivi kwanini sukumagang hamtaki kuamini mungu wenu amekufa kwa ukaidi wake wa kuwapuuza wale wadudu waliowaangamiza wasaidizi wake wa karibu?Nauliza tu kama mtu akitaka kusoma file la matibabu ya Hayati JP Magufuli anaweza kupewa.
lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion
Research question: Could this death be prevented?
Remember: Prevention is better than treatment!!
Ungeanza na vifo vya maraisi wastaafu kwanza labda ungeonekana una nia njema. Huyu ni rais wa kwanza kufariki akiwa madarakani.... ni binadamu kama binadamu wengineAlifariki akiwa Rais, kwahiyo alifariki akiwa Mali ya Jamhuri na wamiliki wa Jamhuri ni Wananchi.Having said so, these citzens have the right to know what transpired the death of their.................
Mkuu huwezi kupewaNauliza tu kama mtu akitaka kusoma file la matibabu ya Hayati JP Magufuli anaweza kupewa.
lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion
Research question: Could this death be prevented?
Remember: Prevention is better than treatment!!
Nani alikwambia hii ndiyo tafasri yake?prevention is better than treatment!!kinga ni bora kuliko tiba!!
Ni ngumu kwa sababu za kiusalama, utapigwa pin kwenye sheria hizo hizo Mkuu na ground kubwa ni ishu za kiusalama na ubaya hiyo ground haiwezi kujadilika ikitolewa tu imeisha iyo.Kuna sheria maalum inaitwa Inquest Act of 1980.
Jambo hilo linawezekana kwa utaratibu maalum.
Wa kufanyika uchunguzi.
Nina subscribe reply yako MkuuUnapaswa kufahamu kwamba Inquest hufanyika Kama mazingira ya kifo cha mtu hayana maelezo ya daktari.
Mie najua maana ndio kazi zetu kusoma hizo kitu na kusimamia Inquest na mambo ya exhumation pamoja na postmortem.
Inquest ya Rais unaifanyaje? Report imeshatolewa na daktari wake hapo kwenye Sheria utaomba exhumation kwa kifungu kipi hapo labda wewe unajua zaidi[emoji1745]
Purpose ya Inquest ni nini??? Mazingira gani? Sio tu sababu mtu anajisikia anaamua kufanya Inquest. Halafu kuna mambo ya public tranquility soma pia humo.
Kama wewe ni mwanasheria kumbuka haya maneno kwenye statutory interpretation mie nilisoma mwaka 2001 wakati nipo chuo kikuu kwamba when interpreting laws you should always read in tandem with other laws.
Ina maana bado kuna Sheria na kanuni za usalama unapaswa uzisome pia maana bunge lilipitisha likiwa na maana yake.
Let's say unaamua kufanya Inquest ambayo pia mtu binafsi huwezi maana kuna vyombo vimeundwa kufanya hivyo, ukiamua ya Magufuli kumfanyia exhumation basi mwingine ataomba ya Nyerere, mwingine Mkapa, mwingine Kolimba, mwingine Kambona sijui unaona hapo kwenye section 4/5 unaongelea pia public tranquility inapokuja???
Anyway labda unieleze wewe ni mwanasheria ili tuanzie hapo naweza kuwa naingia deep zaidi ya uwezo wako.
Uombe kama nani? wewe ni mke wake?Nauliza tu kama mtu akitaka kusoma file la matibabu ya Hayati JP Magufuli anaweza kupewa.
lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion
Research question: Could this death be prevented?
Remember: Prevention is better than treatment!!
Ndiyo maana nchi ni masikini sababu ya kuwa na watu wajinga kama hawaWewe ni mwanafamilia?
Toa authority Mkuu usibaki kwenye nadharia, tupe mechanism utakayotumia kufika hapo.Inawezekana kufanyika ni jambo tu la utayari kwa mamlaka kwa wakati huo ila linawezekana kabisa.
Inquest inawezekana, exhumination inawezekana, commission itayotoa ripoti inawezekana na tena tukaipata wote.Ni ngumu kwa sababu za kiusalama, utapigwa pin kwenye sheria hizo hizo Mkuu na ground kubwa ni ishu za kiusalama na ubaya hiyo ground haiwezi kujadilika ikitolewa tu imeisha iyo.
Kwanini asiombe la babu yake?Ni ngumu kwa sababu za kiusalama, utapigwa pin kwenye sheria hizo hizo Mkuu na ground kubwa ni ishu za kiusalama na ubaya hiyo ground haiwezi kujadilika ikitolewa tu imeisha iyo.
Hatari snToa authority Mkuu usibaki kwenye nadharia, tupe mechanism utakayotumia kufika hapo.
Mfano sema provision fulani ya sheria fulani inaweza kutumika ku enforce ilo swala.
Then utaoneshwa ilivyo ngumu.
Nikupe mfano tu, rambi rambi ya msiba wa raisi tu bado ni kizungumkuti kujadiliwa na kumbuka tunayo sheria ya maazishi ya viongozi wa kitaifa ila jambo dogo kama rambi rambi ni mtihani, ndio sembuse jalada Mkuu.
Ndo nimemjua leo Sizonje[emoji23][emoji23]Nani akupe hilo file?
Kwani hilo file lipo bado?
Wewe unapaswa kujua tu, file halisi huenda lilishapigwa kiberiti mapema sana baada ya Sizonje kufariki.
Unaliomba kwa nani hilo faili na ili ulifanyie nini?Nauliza tu kama mtu akitaka kusoma file la matibabu ya Hayati JP Magufuli anaweza kupewa.
lengo ni kufanya utafiti wa sababu ya vifo vya marais wa Tanzania and draw conclusion
Research question: Could this death be prevented?
Remember: Prevention is better than treatment!!
Nadhani huyo mlevi ulikuwa ni wewe mwenyewe!Ni mwananchi and ukishakuwa Rais unakuwa Public Property. Ndiyo maana Rais halishwi, kuvalishwa na kutibiwa na familia yake, kusafiri na kuishi kwa gharama za familia.
Alisikika mlevi mmoja baada ya kushiba kuber.
Hahah swali la kibabe sana MkuuKwanini asiombe la babu yake?