Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Ila Haji anaupumbavu mwingi sana, mara nyingi anawadharirisha watu wenyeshima zao bila kujali.
Ni mtu asiweza kutifautisha utani na mzaha. Yeye muda mwingi anafanyia watu mizaha. Mizaha ni makosa.
Binafsi naona wamempa adhabu ndogo sana! Anatakiwa kujifunza utani bila udharirishaji!
Ni mtu asiweza kutifautisha utani na mzaha. Yeye muda mwingi anafanyia watu mizaha. Mizaha ni makosa.
Binafsi naona wamempa adhabu ndogo sana! Anatakiwa kujifunza utani bila udharirishaji!