cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kule mbna niliweka waziii.Eeh!!!?umesema???[emoji15][emoji15][emoji15]hebu leta code nichanganue peke angu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kule mbna niliweka waziii.Eeh!!!?umesema???[emoji15][emoji15][emoji15]hebu leta code nichanganue peke angu
kwa hapa ndani TFF ni kama jicho la CAF na FIFA .TFF haiwezi kumfungia mtu wa nje ila inaweza kumfungia mtu wa ndani asijihusishe na nje.Mimi nadhani ni kwa ndani tu, nje ya nchi hapana kwa maana mwisho wa mipaka ya TFF ni ndani hapa TZ
Otherwise watafsiri kwa sheria zao za mchongo hawa Tanzania Football Failure
Ingelkuwa labada CAF au FIFA Ingekuwa sawa
Kwahiyo mpira hauwezi kufanyika nje ya FIFA na TFF? Ukifanya inakuwaje?Haiwezekani, kwasababu TFF ndio baba wa mpira Tanzania anayetambuliwa na baba wa mpira duniani FIFA.
Wewe na UTOPOLO wenzio, ndio mnaompa jeuri Haji, na kujiona kwamba anaweza kumfanya chochote mtu yeyote hapa Duniani!Eti alipe na faini ya milioni 20! Hivi wanaichukulia milioni 20 kama laki 2, au! Yaani chawa wa Karia watakuwa wamepitiliza kwenye viwango vya uchawa aisee!
Kisa tu bosi wao kaambiwa ukweli juu ya upuuzi wake!
aiseekwa hapa ndani TFF ni kama jicho la CAF na FIFA .TFF haiwezi kumfungia mtu wa nje ila inaweza kumfungia mtu wa ndani asijihusishe na nje.