Swali fikirishi, ni kwanini Mbowe anatumia nguvu kubwa kubaki madarakani?

Swali fikirishi, ni kwanini Mbowe anatumia nguvu kubwa kubaki madarakani?

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam

Inashangaza sana kuona mtu mzima bwana Mbowe anatumia nguvu kubwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA ili hali wanaCHADEMA wamemkataa na wanataka mabadiliko ndani ya chama na nchi kwa ujumla.

Iko wazi kabisa Mbowe anashirikiana na maCCM kuhakikisha anaendelea kuwa madarakani na kuendelea kutafuna pesa za CCM na ruzuku huku akikihujumu chama na kukifanya ni mali yake binafsi.

Leo hii kila Mtanzania anajua mwaka 2015 Mbowe huyu alikihujumu chama kwa kumleta fisadi Lowasa na kusababisha kina Dr Slaa kukaa pembeni, haikutosha Mbowe huyu aliwapitisha wabunge 19 viti maalum kinyemela ili tu ale ruzuku.

Leo hii 2025 baada ya kuona kuna kila dalili mabwana zake CCM wanaweza kuondolewa madarakani hapo Oct 25 ameamua kwa makusudi kukidhoofisha CHADEMA kwa maslahi ya maCCM.
 
Wasalaam
Inashangaza sana kuona mtu mzima bwana mbowe anatumia nguvu kubwa kuwa mwenyekiti wa chadema ili hali wanachadema wamemkataa na wanataka mabadiliko ndani ya chama na nchi kwa ujumla. Iko wazi kabisa mbowe anashirikiana na maccm kuhakikisha anaendelea kuwa madarakani na kuendelea kutafuna pesa za ccm na ruzuku huku akikihujumu chama na kukifanya ni mali yake binafsi.

Leo hii kila mtanzania anajua mwaka 2015 mbowe huyu alikihujumu chama kwa kumleta fisadi lowasa na kusababisha kina Dr slaa kukaa pembeni, haikutosha mbowe huyu aliwapitisha wabunge 19 viti maalum kinyemela ili tu ale ruzuku. Leo hii 2025 baada ya kuona kuna kila dalili mabwana zake ccm wanaweza kuondolewa madarakani hapo Oct 25 ameamua kwa makusudi kukidhoofisha chadema kwa maslahi ya maccm.
Kwa sababu Lissu anaungwa mkono na Dr slaa, msigwa hawa wote ccm. Pia baadhi ya dispora. Kunusuru chama kaamua kuingia yeye
 
Kwasababu ni chama chake na haoni mtu wa kumuachia!

Una swali lingine?
 
Mbowe analinda chimbo lake. Chadema ni saccos ya familia yake.

Kauli hii ni chungu lkn ndiyo ukweli wenyewe.
 
Wasalaam

Inashangaza sana kuona mtu mzima bwana mbowe anatumia nguvu kubwa kuwa mwenyekiti wa chadema ili hali wanachadema wamemkataa na wanataka mabadiliko ndani ya chama na nchi kwa ujumla.

Iko wazi kabisa mbowe anashirikiana na maccm kuhakikisha anaendelea kuwa madarakani na kuendelea kutafuna pesa za ccm na ruzuku huku akikihujumu chama na kukifanya ni mali yake binafsi.

Leo hii kila mtanzania anajua mwaka 2015 mbowe huyu alikihujumu chama kwa kumleta fisadi lowasa na kusababisha kina Dr slaa kukaa pembeni, haikutosha mbowe huyu aliwapitisha wabunge 19 viti maalum kinyemela ili tu ale ruzuku.

Leo hii 2025 baada ya kuona kuna kila dalili mabwana zake ccm wanaweza kuondolewa madarakani hapo Oct 25 ameamua kwa makusudi kukidhoofisha chadema kwa maslahi ya maccm.
Ruzuku ikiisha amna mtu atakayehaingaika na cdm
 
Na kwanini watu wanataka kumtoa kwa njia za kibabe (Si wamtoe kwa Kura) ? Na kama tatizo ni Kura kuibiwa au wapiga Kura kuhongwa basi tatizo sio mtu / watu bali mfumo ndio una makosa / shida...
 
Wasalaam

Inashangaza sana kuona mtu mzima bwana mbowe anatumia nguvu kubwa kuwa mwenyekiti wa chadema ili hali wanachadema wamemkataa na wanataka mabadiliko ndani ya chama na nchi kwa ujumla.

Iko wazi kabisa mbowe anashirikiana na maccm kuhakikisha anaendelea kuwa madarakani na kuendelea kutafuna pesa za ccm na ruzuku huku akikihujumu chama na kukifanya ni mali yake binafsi.

Leo hii kila mtanzania anajua mwaka 2015 mbowe huyu alikihujumu chama kwa kumleta fisadi lowasa na kusababisha kina Dr slaa kukaa pembeni, haikutosha mbowe huyu aliwapitisha wabunge 19 viti maalum kinyemela ili tu ale ruzuku.

Leo hii 2025 baada ya kuona kuna kila dalili mabwana zake ccm wanaweza kuondolewa madarakani hapo Oct 25 ameamua kwa makusudi kukidhoofisha chadema kwa maslahi ya maccm.
Ni agano na Mama Abdul. Amzuie Lissu asiwe Mwenyekiti na pia asiwe mgombea wa Urais ili kumpa wepesi Bimkubwa, dau la B12 limehusilka na ahadi ya kuachiwa majimbo 40 ya Ubunge,very tempting kwa mangi
 
Kwa sababu Lissu anaungwa mkono na Dr slaa, msigwa hawa wote ccm. Pia baadhi ya dispora. Kunusuru chama kaamua kuingia yeye
Ni ushawishi wa Samia ulioambatana na donge nono la 12b na viti 40 vya ubunge ili mradi tu Lissu asiwe mwenyekiti na mgombea urais. Lakini yote yatashindwa Lissu ndiye mwenyekiti ajaye labda mumpige bomu.
 
Wasalaam

Inashangaza sana kuona mtu mzima bwana Mbowe anatumia nguvu kubwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA ili hali wanaCHADEMA wamemkataa na wanataka mabadiliko ndani ya chama na nchi kwa ujumla.

Iko wazi kabisa Mbowe anashirikiana na maCCM kuhakikisha anaendelea kuwa madarakani na kuendelea kutafuna pesa za CCM na ruzuku huku akikihujumu chama na kukifanya ni mali yake binafsi.

Leo hii kila Mtanzania anajua mwaka 2015 Mbowe huyu alikihujumu chama kwa kumleta fisadi Lowasa na kusababisha kina Dr Slaa kukaa pembeni, haikutosha Mbowe huyu aliwapitisha wabunge 19 viti maalum kinyemela ili tu ale ruzuku.

Leo hii 2025 baada ya kuona kuna kila dalili mabwana zake CCM wanaweza kuondolewa madarakani hapo Oct 25 ameamua kwa makusudi kukidhoofisha CHADEMA kwa maslahi ya maCCM.
Swali fikirishi dikiteta ni mtu wa aina gani
 
Back
Top Bottom