Swali fikirishi, ni kwanini Mbowe anatumia nguvu kubwa kubaki madarakani?

Swali fikirishi, ni kwanini Mbowe anatumia nguvu kubwa kubaki madarakani?

Wasalaam

Inashangaza sana kuona mtu mzima bwana Mbowe anatumia nguvu kubwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA ili hali wanaCHADEMA wamemkataa na wanataka mabadiliko ndani ya chama na nchi kwa ujumla.

Iko wazi kabisa Mbowe anashirikiana na maCCM kuhakikisha anaendelea kuwa madarakani na kuendelea kutafuna pesa za CCM na ruzuku huku akikihujumu chama na kukifanya ni mali yake binafsi.

Leo hii kila Mtanzania anajua mwaka 2015 Mbowe huyu alikihujumu chama kwa kumleta fisadi Lowasa na kusababisha kina Dr Slaa kukaa pembeni, haikutosha Mbowe huyu aliwapitisha wabunge 19 viti maalum kinyemela ili tu ale ruzuku.

Leo hii 2025 baada ya kuona kuna kila dalili mabwana zake CCM wanaweza kuondolewa madarakani hapo Oct 25 ameamua kwa makusudi kukidhoofisha CHADEMA kwa maslahi ya maCCM.
Wamemkataa vipi na kura bado hazijapigwa??
 
nguvu kubwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA ili hali wanaCHADEMA wamemkataa na wanataka mabadiliko ndani ya chama na nchi kwa ujumla.

Hivi kwani Mbowe alishawahi kujiweka kwenye hiyo nafasi yeye mwenyewe pasipo kufuata utaratibu wa chama?
 
CDM sasahivi ni kama ACT, kuzuga wafadhili kwamba TZ kuna upinzani.
Kwahiyo yupo kwenye foleni ya malipo kitoka Lumumba.
 
Mbowe ni mfanya biashara,hiyo ni sehem ya biashara yake pamoja na familia..ndo maana ulitaka kuijua rangi yake taka hiyo nafasi.
 
Huenda angeua Wananchi kuliko Bokassa Mobutu Savimbi combined.
Hiyo miamba uliyoitaja ni sample ya jiwe sema Mungu katuokoa.!!
Ss hivi ingekuwa katiba ishabadilishwa anakula mitano mingine 😹
 
Kwa sababu Lissu anaungwa mkono na Dr slaa, msigwa hawa wote ccm. Pia baadhi ya dispora. Kunusuru chama kaamua kuingia yeye
Nkurunzinza tumemchoka saana tunataka changamoto mpya lissu atatusogeza mbele
 
Na kwanini watu wanataka kumtoa kwa njia za kibabe (Si wamtoe kwa Kura) ? Na kama tatizo ni Kura kuibiwa au wapiga Kura kuhongwa basi tatizo sio mtu / watu bali mfumo ndio una makosa / shida...
Hakika mbowe atashinda liwake jua inyeshe, macc wako nyuma yake
 
Back
Top Bottom