Swali fikirishi, ni kwanini Mbowe anatumia nguvu kubwa kubaki madarakani?

Swali fikirishi, ni kwanini Mbowe anatumia nguvu kubwa kubaki madarakani?

Mbowe ameamua kuua chama chake kwa mikono yake mwenyewe, Kuna mtu mkubwa tu Jana kapendekeza kama kweli mbowe anaipenda chadema na isipasuke, basi ajitoe kugombea abaki mjumbe wa kamati kuu, lissu na heche wachaguliwe kwenye uwenyekiti na makamu, kwa kufanya hivo wote wa4 mbowe, wenje, heche na lissu watabaki chadema.Nje ya hapo mpasuko ni dhahiri, mbaya zaidi mbowe kagoma
 
Mbowe ni mfanya biashara,hiyo ni sehem ya biashara yake pamoja na familia..ndo maana ulitaka kuijua rangi yake taka hiyo nafasi.
Kweli kitendo Cha lissu kuitakia hyo nafasi kaambiwa yote ya nyuma na mbowe, Sijui ndo sera za kugombea nafasi hiyo .
 
Wasalaam

Inashangaza sana kuona mtu mzima bwana Mbowe anatumia nguvu kubwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA ili hali wanaCHADEMA wamemkataa na wanataka mabadiliko ndani ya chama na nchi kwa ujumla.

Iko wazi kabisa Mbowe anashirikiana na maCCM kuhakikisha anaendelea kuwa madarakani na kuendelea kutafuna pesa za CCM na ruzuku huku akikihujumu chama na kukifanya ni mali yake binafsi.

Leo hii kila Mtanzania anajua mwaka 2015 Mbowe huyu alikihujumu chama kwa kumleta fisadi Lowasa na kusababisha kina Dr Slaa kukaa pembeni, haikutosha Mbowe huyu aliwapitisha wabunge 19 viti maalum kinyemela ili tu ale ruzuku.

Leo hii 2025 baada ya kuona kuna kila dalili mabwana zake CCM wanaweza kuondolewa madarakani hapo Oct 25 ameamua kwa makusudi kukidhoofisha CHADEMA kwa maslahi ya maCCM.

Anagombea kama Lisu na wote katiba inawapa nafasi. Kwa nini unataka ushindi wa mezani wewe angaika na wajumbe ukiwapate wengi TAL anakuwa Chair wetu bwasheheee.
Hakuna cha mezani ndani ya katiba ya CDM
 
Ni UCHU WA MADARAKA tungejiloga tukamuingiza huyu Mangi Ikulu tungelia na kusaga meno.

Uchu kivipi wakati anapogiwa kura, je ATL anyeutaka uenyekiti hana uchu wa madaraka? kama hana mbona kelele nyingi hadi anaropoka hovyo badala ya kusubiri kazi ya wajumbe 21/01/2025
 
Kwasababu ni chama chake na haoni mtu wa kumuachia!

Una swali lingine?

Uongozi awaachiani kama uridhi ni habari ya wajumbe hakuna lingine.
Hivi kwa nini mnataka ATL apewe ushindi wa mezani ? In maana hawezi kupata wajumbe wa kutosha?? Kama hawezi maana yake hatakiwi na kama anaweza sasa hizi kelele za kutaka aachiwe ni za nini?!
Kaamua kugombea mwache apige kampeini alafu wajumbe wafanye kazi yao au mnataka apigiwe kura na WhatsApp, Insta, Space, Tweeter etc.
Bila kumsahau mjumbe P Msigwa pia
 
Uchu kivipi wakati anapogiwa kura, je ATL anyeutaka uenyekiti hana uchu wa madaraka? kama hana mbona kelele nyingi hadi anaropoka hovyo badala ya kusubiri kazi ya wajumbe 21/01/2025
"Uchu" ni tamaa iliyopitiliza huyu ni mtu aliyekaa Madarakani miaka 21 na bado anataka tu madaraka.
 
Back
Top Bottom