Swali Fyatu la Mwezi: Wakimpa Sifa Zake, Watapunguza za Kwao?

Swali Fyatu la Mwezi: Wakimpa Sifa Zake, Watapunguza za Kwao?

Mzee Mwanakijiji alilambishwa asali wakati wa mwendazake akageuka msifiaji mkuu. Ulishapoteza credibility na kuonekana ni mtu unayetetea tumbo na maslahi yako binafsi.
 
Maadam Rais mstaafu mzee wetu Mwinyi anamkumbuka hiyo inatosha kabisa

Kwangu mimi Mwinyi " Ruksa" ndio Rais bora

Shujaa Magufuli Mtendaji Bora

Freeman Mbowe Mwanasiasa Bora

Maalim Seif Mwanasiasa Mvumilivu

Kawawa Mwanasiasa Mnyenyekevu

Jumaa kareem!
Umemruka jamaa yetu [emoji38]
 
Hivi kwanini walinda legacy ni watu wa kujistukia sana na kulialia?!!!!
 
Hivi katika shida za msingi za nchi hii katika miaka 50 ya uhuru ilikuwa ni kutokuwa na Ikulu Dodoma?

R.I.P Ben Saanane, Azory Gwanda, Simon Kanguye, Elias Michael na pole sana Tundu Lissu kwa kuchapwa risasi 16 na madhalimu
 
Kweli kabisa, Mzee Mwinyi ndiye aliyeipa uhai hii nchi, ilikuwa chali.

Mzee Mwinyi anastahiki jina lake liandikwe kwa wino wa dhahabu.
Tatizo lako wew hoja huwa unaitazama kwa mrengo wa huyu ni wa dini yangu, hauko honest hata siku moja!
 
Wewe ndio unastahili laana mpaka kwa vitukuu vyako
Samia akijenga Dalaja Dar to Zanziber, hizi sifa zitakwishilia mbali. Huko marekani alipo mwanakijiji kuna habari ya kusifia maraisi?? Au barabara hazijengwi??
 
Mwisho wa siku hizo hela zilizotumika/zinazotumika kujengea hiyo moundombinu, ni kodi za Watanzania! Ni mikopo ambayo italipwa na watanzania wote!

Na siyo hao wanasiasa unaotaka wapewe acknowlegment.
Wapumbavu kama nyie sijui mlizaliwa kupitia tundu gn?
 
Kutoka moyoni kabisa, jiwe ameirudisha nchi hii miaka 50 nyuma . Ameinajisi nchi hii kiasi kwamba ktk muda wa miaka 5 amejenga nyufa za kijamii, kisiasa na kiuchumi

Matatizo ya kiuchumi tunayopitia Sasa yametengenezwa na jiwe. Aliwachukia wafanyabiashara kwa kiasi kikubwa hata akatamaka hadharani kuwa wataishi kama mashetani.

Kauli ya kishenzi na kifedhuli kabisa. Mpuunzi mkubwa huyu. Hakujua kuwa hawa ndiyo miyo ya uchumi na watoa ajira wakubwa. Ndiyo mpk leo mama anahangaika kuurejesha uchumi ktk mstari.

Kijamii na kisiasa kila mtu anajua jinsi jiwe alivyoivua nguo nchi hii. Kwahiyo siandiki kitu.

Kumsifia jiwe kunahitaji mtu kuwa na roho ya usherani
Kwa mazombi kama kama wewe,ni halali kusema hivyo.
 
Mkubwa

Ni kweli kabisa Rais Magufuli kafanya mengi, mazuri sana na mabovu sana
Tatizo lipo hapo, ni wakati gani Marehemu anatajwa na wakati gani aachwe apumzike

Nashuri waendelee kumkwepa! ili apumzike na wasifungue ''can of worms''

JokaKuu
Nitajie mabaya matano ya jpm,nami nikutajie mazuri 50 ya jpm
 
Una uhakika hawakufanya? Na kama wangekuwa hawajafanya chochote, hii nchi ingekuwepo hapa tulipo?

Unayafahamu mambo yote aliyoyafanya Nyerere tangu alipoichukua nchi kutoka kwa Wakoloni?

Tatizo mnalazimisha wote tuamini kama huyo JPM wenu alikuwa ni the best, kumbe wengine tunamuona alikuwa ni the worst.
Shida hujikiti kwenye hoja iliyopo.nani kasema nyerere hajafanya?.hoja iliyopo ni magufuli kafanya kwa speed ya juu kuliko woote waliotangulia.
Kwa mfano,nyerere amekaa madarakani miaka mingapi?, na jpm kakaa madarakani kwa miaka mingapi?. Fanya mlinganyo,nani kafanya zaidi.
 
Una uhakika hawakufanya? Na kama wangekuwa hawajafanya chochote, hii nchi ingekuwepo hapa tulipo?

Unayafahamu mambo yote aliyoyafanya Nyerere tangu alipoichukua nchi kutoka kwa Wakoloni?

Tatizo mnalazimisha wote tuamini kama huyo JPM wenu alikuwa ni the best, kumbe wengine tunamuona alikuwa ni the worst.
Jpm,atapendwa na watu wema na waadilifu,na atachukiwa na watu waovu na waharifu kama wewe.
 
Swali linakuja kwanini hao wengine hawakutumia hizo kodi za wananchi kufanya hayo mambo kwa miaka yote 40? Au kodi ilianza kukusanywa kipindi cha JPM?
Kwa hiyo kwa akili zako, mfano Mwl. Nyerere aliyerithi nchi ikiwa na madaktari wa binadamu wawili,angeacha kusomesha watu na badala yake angeweka juhudi ahamie Dodoma? Kama siyo uamuzi wa kijasiri kusomesha watu Bure mpaka chuo kikuu, hata wewe na huyo JPM tusingemjua.
Kupanga ni kuchagua, siyo kukurupuka na kila kinachokuja kichwani. Leo man jeuri, mnasema tumejenga wenyewe bila kutumia wataalam kutoka nje, kwa sababu watu (human resources) waliandaliwa.
Nyerere alijua tunayo dhahabu na hakuichimba kwa kigezo cha kutokuwa na wataalam wa kusimama shughuli za uchimbaji.
Kila jambo hutendeka kutegemea wakati husika na mahitaji. Unapoona bwawa la Nyerere ni suluhisho la matatizo ya umeme wapo wanaona tofauti,wao wanaona gesi ndio suluhisho.
 
Nadhani ifike sehemu tuachane na huu mjadala wa hayati JPM. Tusilazimishane kusifia wakati kuna mambo kwenye utawala wake yalikuwa mabaya kupitiliza. Umoja wa kitaifa una thamani kuliko hayo majengo na madaraja aliyojenga. Huwezi kubomoa umoja wa kitaifa uliodumu kwa zaidi ya miaka 50 kisa unajenga daraja, barabara au majengo. Sasa hivi Rais anahangaika na maridhiano kwa kosa la aliyemtangulia kushindwa kuheshimu umoja wetu. Hakuna rais wa Tanzania aliyewahi kuwatisha wakurungenzi kwenye ishu za uchaguzi. Wote waliheshimu sana haki za wote bila kujali itikadi. Ilifika sehemu waziri anamwita Rais Mungu. Tungeendelea kuwa naye tungekuwa na majengo, madaraja, na miundombinu mizuri ila umoja wetu ungezidi kuharibika.
Maridhiano ya kitu Gani na ni ya nani na nani aliyefanywa kitu Gani? Ni maigizo matupu ya kujaribu kutuhadaa ati Kuna kitu kiliharibiwa na sasa wanarekebisha. Haya tufanye huo uchaguzi uliharibiwa, vipi usingeharibiwa ndo ingekuwaje? Mfano mbunge wa Mbeya mjini angekuwa Sugu badala ya Tulia ndo Ingekuwa Nini? Acheni maigizo ya kijinga na hata kama hampendi kusikia lakini JPM hawezi kupotezwa na chuki zenu zisizo na miguu Wala kichwa. Ni bahati mbaya hatunaye, lakini kazi alizofanya zipo na zinaonekana.
 
Back
Top Bottom