Swali Fyatu la Mwezi: Wakimpa Sifa Zake, Watapunguza za Kwao?

Mkubwa

Ni kweli kabisa Rais Magufuli kafanya mengi, mazuri sana na mabovu sana
Tatizo lipo hapo, ni wakati gani Marehemu anatajwa na wakati gani aachwe apumzike

Nashuri waendelee kumkwepa! ili apumzike na wasifungue ''can of worms''

JokaKuu
Kwa mazuri yake msifieni na kwa mabaya yake msemeni,mnaogopa nini?...kwamba uwanja umeshainama mpaka dakika hii so bora asitajwe tu kabisaaa...basi sawa!!
 
Kumsifia jiwe kunahitaji mtu kuwa na roho ya usherani
Badala ya kujibu swali fyatu, umeenda Kutukana Jamii nzima ya Mtanzania na Mwafrika kwa Ujumla.

Haya magamba ya kondoo mnayojivika, yanaonekana waziwazi. Yaani kwa Lugha yako mtu yeyote anaemsifia Hayat Rais J.P.M ana roho ya shetani! Kwa muono wako huo tuna wanafiki wengi Nchi hii in Biblical proportion!

.....nakushauri utafute Script nyingine tu, hiyo uliyotumia sio tu haina ukweli, bali imekosa uhalali wa kutumika.
 
Brother utaongea yoyote lakini ukweli ulio wazi Magufuli ameacha athari chanya kubwa sana.
 
Kuna sehemu kwenye jibu langu nimeandika wengine hawajafanya chochote? ni vyema ukapunguza MIHEMKO kwanza then ndio ujibu......hakuna anayekulazimisha umuone alikuwa 'the best' wewe endelea kuona alikuwa 'the worst' na sisi wengine tuendelee kuona alikuwa ' the best wala hakunaga shida
 
Asante sana mwanakijiji kwa wema wako dhidi ya ukweli kuhusu hayati Magufuli,mungu akubariki sana
 
Haikua rahisi watu kama hawa kumtaja Magufuli kwa namna hii.

Hakuna jinsi kila mtu atamtaja Magufuli kila mmoja kwa wakati wake, lakini atatajikana kwa wema tu.
Your browser is not able to display this video.
 
Nadhani ifike sehemu tuachane na huu mjadala wa hayati JPM. Tusilazimishane kusifia wakati kuna mambo kwenye utawala wake yalikuwa mabaya kupitiliza. Umoja wa kitaifa una thamani kuliko hayo majengo na madaraja aliyojenga. Huwezi kubomoa umoja wa kitaifa uliodumu kwa zaidi ya miaka 50 kisa unajenga daraja, barabara au majengo. Sasa hivi Rais anahangaika na maridhiano kwa kosa la aliyemtangulia kushindwa kuheshimu umoja wetu. Hakuna rais wa Tanzania aliyewahi kuwatisha wakurungenzi kwenye ishu za uchaguzi. Wote waliheshimu sana haki za wote bila kujali itikadi. Ilifika sehemu waziri anamwita Rais Mungu. Tungeendelea kuwa naye tungekuwa na majengo, madaraja, na miundombinu mizuri ila umoja wetu ungezidi kuharibika.
 
Kusema Magu ndiye kinara wa marais wote waliowahi kutokea Tz ni uongo mtupu.
Miaka arobaino ni nini bwana hata Waisraeli walitumia miaka hiyo kutoka Cairo hadi Jerusalem
 
Wewe ni homo sexual? Nakuelewa lazima umchukie Magufuli. Nakumbuka aliwanyanya sana nyie mashoga. Kwa kweli nakuelewa sana. Now angalau mnaishi kwa amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…