Swali gumu kidogo: Kwanini Urusi iliyosambaratika na dhaifu kuliko USSR inawasumbua sana NATO?

Swali gumu kidogo: Kwanini Urusi iliyosambaratika na dhaifu kuliko USSR inawasumbua sana NATO?

Real or “Trumped up?” Russian Legislator Boasts ‘S-700’ Air Defense Could ‘Shut Down’ the Planet
By
VT Senior Editors
-
October 25, 2018
1
1217
hqdefault.jpg


Ha ha haa! hii kitu naona Warussia watazalisha san hadi zifike S5500,HA HA HAA,na ninadhani hizi S300,400,500 Ni silaha hatari sana kwa kuzuia na kushambulia,wanajivunia sana Warussia.Hakuna ndegevita itakayoweza kuruka mbele ya S700,dah.
Vladimir Zhirinovsky, a Russian MP who has lead the nationalist Liberal Democratic Party (LDPR) since the 1990s, has let slip that Russia allegedly had “S-600” and “S-700” air defense systems


Utani mwingine bana lol!

“The Americans are scared in general, they are scared that the world’s best air defense system is Russia’s S-300. And we [also] have S-400, S-500, S-600, and S-700. We can shut down the whole planet, and no plane will [be able to] take off,” the MP joked.

Mzee anatamba huyu,hawajui wamarekani huyu,hebu msome na masihara yake

His statement prompted an explosion of laughter from another guest on the show and applause from the audience. The host played along with Zhirinovsky, cautioning him that he shouldn’t give away all secrets so as not to bring up the “dreaded S-1500 system.”
1068622625.jpg

© Photo: YouTube/Sputnik
Special Delivery: WATCH New Video of Russian S-300 Deployment in Syria
The MP batted back the warning, claiming that the imaginary S-700 will “block everyone at the launch points for good, and this will be the last blow of the Russian counter-air defense system.”
The Russian military rolled out the S-400 Triumph defense system in 2007. The S-400 was created on the basis of the Russian S-300 air defense systems, but has significantly better performance capabilities in terms of effectiveness, coverage area, as well as variety of targets. Initially, the S-400 was named the S-300PM3 and it was intentionally designed to look like the S-300, so that the enemy could not recognize which system it was dealing with.
Napenda sana kufahamu haya madude yanafanyaje kazi.
Unaweza kunisaidia kwa lugha nyepesi?
Au kuna video/movie yoyote ambayo inaonesha jinsi haya madude(S-300,S-400)yanavyotenda kazi yake?
Cc
Malcom Lumumba
 
Ooh.
Kwahiyo hakuna siraha/mashine yoyote ya kivita inayoitwa S-300,ni porojo tu za genge la Putin na wafuasi wake?
Zipo! ila uwezo wa hizo zana si wa kuamini sana(zimetiwa chumvi mno) maana warusi ni mabingwa wa propaganda hata hawa pro-russia wanatambua hilo japo hawawezi kukiri.
 
KISIASA
1. Amesababisha sintofahamu kubwa ndani ya siasa za Marekani hasa kwa Donald Trump.
2. Anavuruga mipango ya Marekani kwa kutumia VETO kule Umoja wa Mataifa.
3. Amefanikiwa kuugawanya Umoja wa Ulaya (Schroeder wa Ujerumani anafanya kazi Rosneft)
4. Anaisaidia Korea Kaskazini kukwepa vikwazo vya Umoja wa Mataifa.
5. Alimsaidia Raisi wa Uturuki asipinduliwe na kuuwawa ambapo inasemekana CIA walihusika sana.
6. Amemtunza Edward Snowden ambaye kavujisha siri nyeti za Marekani.


KIJESHI
1. Kavamia Ukraine kijeshi na kumega Crimea kwa nguvu mno ya wanajeshi 70,000.
2. Kavuruga mpango wa Marekani na Israel wa kuvamia Syria na kumtoa Assad.
3. Anauza silaha nzito kwa mataifa hasimu wa Marekani kama Iran.
4. Anasidia Korea Kaskazini kukwepa vikwazo vya Umoja wa Mataifa.
5. Amevuruga majimbo ya Lugansk na Donestky hadi leo majeshi ya Ukraine hayana amani.
7. Yeye ndiyo mwenye jeshi la pili kwa ubora hapa duniani mbali na shida zote kiuchumi.


KITEKNOLOJIA
1. Marekani mpaka leo anategemea injini kutoka Urusi kwa ajili ya kurusha roketi zake.
2. Ametengeneza makombora mazito ambayo yanasafiri mara 10 zaidi ya sauti.
3. Walimwekea vikwazo vya injini za ndege kutoka Ukraine lakini katengeneza zake kwa haraka sana.
4. Ana wasomi wa sayansi ambao ni World Class kama 1,000,000 hivi.
5. Teknolojia ya kimtandao (Cyber Technology) yuko mbele sana na amethibitishia dunia mara nyingi.



KIUCHUMI
1. Amefanikiwa kutumia makampuni yake ya nishati kuwaumiza Ulaya hasa NORD Stream 2.
2. Amefanikiwa kutumia ushawishi wa nishati kuyavuta karibu mataifa kama Uchina, India na Uturuki.
3. Uturuki ameagiza silaha kutoka Urusi kitu ambacho kitampa faida za kiuchumi Mrusi.
4. Saudi Arabia ametengeneza viwanda vya Kalashnikov Ak-47 nchini kwake na Urusi karuhusu.
5. Amesaidia kutengeneza vyombo kama BRICS, The Shanghai Cooperation na Eurasia Economic Union


NB: Haya ni machache tu, sasa nchi iliyosambaratika inalisumbuaje taifa kubwa duniani ??
Kumbe majibu yote unayo!....kwa mambo anayofanya urusi ingekuwa ni taifa dhaifu marekani angeshaipiga siku nyingi!
 
Zipo! ila uwezo wa hizo zana si wa kuamini sana(zimetiwa chumvi mno) maana warusi ni mabingwa wa propaganda hata hawa pro-russia wanatambua hilo japo hawawezi kukiri.
Okay.
Nimekuelewa chief..!
 
Sina uhakika kama idadi ya watu ina uzito wowote. Pengine yaweza kuwa hivyo.
Mfano: China ina watu 1.4 billion lakini inasumbuliwa na US yenye watu 300 millioni tu!!
Israel ina watu millioni 9 tu lakini ina wasumbua waarabu wote walioizunguka pale wanafika almost milioni 300-400
Congo DRC ina watu zaidi ya milioni 60 lakini kanchi kadogo kama Rwanda kanaipa tabu
ARPAIO nimerudi, niko free kidogo, nadhani nitajitahidi kujibu maswali yote kipindi hiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KISIASA
1. Amesababisha sintofahamu kubwa ndani ya siasa za Marekani hasa kwa Donald Trump.
2. Anavuruga mipango ya Marekani kwa kutumia VETO kule Umoja wa Mataifa.
3. Amefanikiwa kuugawanya Umoja wa Ulaya (Schroeder wa Ujerumani anafanya kazi Rosneft)
4. Anaisaidia Korea Kaskazini kukwepa vikwazo vya Umoja wa Mataifa.
5. Alimsaidia Raisi wa Uturuki asipinduliwe na kuuwawa ambapo inasemekana CIA walihusika sana.
6. Amemtunza Edward Snowden ambaye kavujisha siri nyeti za Marekani.


KIJESHI
1. Kavamia Ukraine kijeshi na kumega Crimea kwa nguvu mno ya wanajeshi 70,000.
2. Kavuruga mpango wa Marekani na Israel wa kuvamia Syria na kumtoa Assad.
3. Anauza silaha nzito kwa mataifa hasimu wa Marekani kama Iran.
4. Anasidia Korea Kaskazini kukwepa vikwazo vya Umoja wa Mataifa.
5. Amevuruga majimbo ya Lugansk na Donestky hadi leo majeshi ya Ukraine hayana amani.
7. Yeye ndiyo mwenye jeshi la pili kwa ubora hapa duniani mbali na shida zote kiuchumi.


KITEKNOLOJIA
1. Marekani mpaka leo anategemea injini kutoka Urusi kwa ajili ya kurusha roketi zake.
2. Ametengeneza makombora mazito ambayo yanasafiri mara 10 zaidi ya sauti.
3. Walimwekea vikwazo vya injini za ndege kutoka Ukraine lakini katengeneza zake kwa haraka sana.
4. Ana wasomi wa sayansi ambao ni World Class kama 1,000,000 hivi.
5. Teknolojia ya kimtandao (Cyber Technology) yuko mbele sana na amethibitishia dunia mara nyingi.



KIUCHUMI
1. Amefanikiwa kutumia makampuni yake ya nishati kuwaumiza Ulaya hasa NORD Stream 2.
2. Amefanikiwa kutumia ushawishi wa nishati kuyavuta karibu mataifa kama Uchina, India na Uturuki.
3. Uturuki ameagiza silaha kutoka Urusi kitu ambacho kitampa faida za kiuchumi Mrusi.
4. Saudi Arabia ametengeneza viwanda vya Kalashnikov Ak-47 nchini kwake na Urusi karuhusu.
5. Amesaidia kutengeneza vyombo kama BRICS, The Shanghai Cooperation na Eurasia Economic Union


NB: Haya ni machache tu, sasa nchi iliyosambaratika inalisumbuaje taifa kubwa duniani ??
Bado hujaeleza kasumbua vipi,

Au pengine sijui maana ya kusumbua?
 
Bado hujaeleza kasumbua vipi,

Au pengine sijui maana ya kusumbua?
Sasa mbona majibu ya swali lako yako wazi kabisa na hadi umeyafanyia nukuu hapo juu. Au mpaka nianze kukutajia waziwazi kwamba kitendo hiki cha Urusi ambacho nimekiorodhesha hapo juu kinamsumbua Marekani na washirika wake kwa namna hii ?
 
KAMA unayajuwa yote haya unauliza nini tena ?
KISIASA
1. Amesababisha sintofahamu kubwa ndani ya siasa za Marekani hasa kwa Donald Trump.
2. Anavuruga mipango ya Marekani kwa kutumia VETO kule Umoja wa Mataifa.
3. Amefanikiwa kuugawanya Umoja wa Ulaya (Schroeder wa Ujerumani anafanya kazi Rosneft)
4. Anaisaidia Korea Kaskazini kukwepa vikwazo vya Umoja wa Mataifa.
5. Alimsaidia Raisi wa Uturuki asipinduliwe na kuuwawa ambapo inasemekana CIA walihusika sana.
6. Amemtunza Edward Snowden ambaye kavujisha siri nyeti za Marekani.


KIJESHI
1. Kavamia Ukraine kijeshi na kumega Crimea kwa nguvu mno ya wanajeshi 70,000.
2. Kavuruga mpango wa Marekani na Israel wa kuvamia Syria na kumtoa Assad.
3. Anauza silaha nzito kwa mataifa hasimu wa Marekani kama Iran.
4. Anasidia Korea Kaskazini kukwepa vikwazo vya Umoja wa Mataifa.
5. Amevuruga majimbo ya Lugansk na Donestky hadi leo majeshi ya Ukraine hayana amani.
7. Yeye ndiyo mwenye jeshi la pili kwa ubora hapa duniani mbali na shida zote kiuchumi.


KITEKNOLOJIA
1. Marekani mpaka leo anategemea injini kutoka Urusi kwa ajili ya kurusha roketi zake.
2. Ametengeneza makombora mazito ambayo yanasafiri mara 10 zaidi ya sauti.
3. Walimwekea vikwazo vya injini za ndege kutoka Ukraine lakini katengeneza zake kwa haraka sana.
4. Ana wasomi wa sayansi ambao ni World Class kama 1,000,000 hivi.
5. Teknolojia ya kimtandao (Cyber Technology) yuko mbele sana na amethibitishia dunia mara nyingi.



KIUCHUMI
1. Amefanikiwa kutumia makampuni yake ya nishati kuwaumiza Ulaya hasa NORD Stream 2.
2. Amefanikiwa kutumia ushawishi wa nishati kuyavuta karibu mataifa kama Uchina, India na Uturuki.
3. Uturuki ameagiza silaha kutoka Urusi kitu ambacho kitampa faida za kiuchumi Mrusi.
4. Saudi Arabia ametengeneza viwanda vya Kalashnikov Ak-47 nchini kwake na Urusi karuhusu.
5. Amesaidia kutengeneza vyombo kama BRICS, The Shanghai Cooperation na Eurasia Economic Union


NB: Haya ni machache tu, sasa nchi iliyosambaratika inalisumbuaje taifa kubwa duniani ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umoja wa Kisovieti (USSR au CCCP) taifa lililozaliwa mwaka 1914-1991,
Lilikuwa ni moja ya taifa lenye nguvu sana duniani lakini lenye mwisho mbaya sana ambao ni aibu kwa watu wake mpaka leo. Kiuchumi walikuwa wana nguvu sana, kiteknolojia walikuwa mbele, nguvu kubwa ya viwanda, kijeshi walikuwa mbele na mifumo yao ya kitamaduni iliyotokana na ukomunisti ilishawishi dunia kuanzia barani Marekani, Asia hadi Afrika na kubwa ziadi walikuwa na idadi kubwa sana ya watu ambapo takwimu zinasema kwamba walikuwa ni milioni 293.


Lakini baada ya kusambaratika nchi hii ilipoteza kila kitu ambacho ilikuwa nacho kuanzia Idadi ya watu, jeshi, viwanda na teknolojia maana kila nchi iliondoka na watu wake, majeshi yake na sehemu kama Ukraine ikapata viwanda vya bure kabisa, Poland na Georgia nao hawakuwa nyuma kabisa. Ikawa nchi dhaifu na masikini kweli....

Sasa najiuliza kwanini taifa hili dhaifu ambalo lililoshindwa vita baridi linaendelea kumsumbua Marekani (The Only Super Power) pamoja na washirika wake kijeshi ambao ni zaidi ya 25 ???

CC: chige , FisadiKuu
kusambaratika kwa ussr ilikuwa ni moja ya mission ya KGB ili waweze kuibuka na nguvu kubwa. na ndicho kinachoendelea sasa
 
Duh! Hii kali aisee! una uhakika na hiki ulichoandika
Yes, nilisoma Kitabu fulani kilichokuwa kinaelezea jinsi KGB ilivyoweza kupambana na vita baridi. Mambo yote yaliratibiwa na walitaka kuifeki USA ili wajiimarishe upya. amini husiamini Ukraine KGB wapo kila kona mpaka ikulu na nchi zote zilizokuwa muungano wa soviet
 
Yes, nilisoma Kitabu fulani kilichokuwa kinaelezea jinsi KGB ilivyoweza kupambana na vita baridi. Mambo yote yaliratibiwa na walitaka kuifeki USA ili wajiimarishe upya. amini husiamini Ukraine KGB wapo kila kona mpaka ikulu na nchi zote zilizokuwa muungano wa soviet
Bado mimi siamini unachosema ,ila kama ni kweli basi jamaa KGB wako vizuri.
 
Back
Top Bottom