Swali hili hii ni kwa wasomi wa na wabobezi wa dini ya Kikristo na sio washabiki

Swali hili hii ni kwa wasomi wa na wabobezi wa dini ya Kikristo na sio washabiki

Umhimu wa Kujua Historia

Mtume Muhammad ﷺ alisema: "Mtu ambaye hana historia, hana maisha" (Abu Dawood).
  • Hii hadithi inasisitiza umuhimu wa kujua na kuelewa historia ili kuwa na mtazamo kamili wa maisha na maendeleo ya kijamii.
Hapa kuna orodha ya manabii waliotajwa katika Agano la Kale na Qur'an, pamoja na maeneo ambapo walizaliwa
Manabii Katika Agano la Kale:
  1. Nabii Ibrahim (Abraham)
    • Nchi: Mesopotamia (sasa Iraq)
    • Mahali pa Kuzaliwa: Uru, Mesopotamia
  2. Nabii Musa (Moses)
    • Nchi: Misri
    • Mahali pa Kuzaliwa: Misri (katika eneo la mji wa Gosheni)
  3. Nabii Daudi (David)
    • Nchi: Palestina
    • Mahali pa Kuzaliwa: Bethlehemu, Israeli
  4. Nabii Sulemani (Solomon)
    • Nchi: Palestina
  5. Nabii Isaya (Isaiah)
    • Nchi: Palestina
  6. Nabii Yeremia (Jeremiah)
    • Nchi: (inayokaliwa na, Israeli)
  7. Nabii Ezekieli (Ezekiel)
    • Nchi Palestina(inayokaliwa na, Israeli)

Manabii Katika Qur'an:

  1. Nabii Ibrahim (Abraham)
    • Nchi: Mesopotamia (sasa Iraq) na Kanaani (sasa sehemu ya Israeli na Palestina)
    • Mahali pa Kuzaliwa: Uru, Mesopotamia
  2. Nabii Musa (Moses)
    • Nchi: Misri
    • Mahali pa Kuzaliwa: Misri (katika eneo la mji wa Gosheni)
  3. Nabii Daudi (David)
    • Nchi: Palestina
  4. Nabii Sulemani (Solomon)
    • Nchi: Palestina
    • Mahali pa Kuzaliwa: Palestina
  5. Nabii Isa (Jesus)
    • Nchi: Palestina
    • Mahali pa Kuzaliwa: Palestina
  6. Nabii Muhammad ﷺ
    • Nchi: Arabia (sasa Saudi Arabia)
    • Mahali pa Kuzaliwa: Makka, Saudi Arabia
  7. Nabii Yunus (Jonah)
    • Nchi: Ninawi (sasa Iraq)
    • Mahali pa Kuzaliwa: Ninawi, Iraq
  8. Nabii Hud (Heber)
    • Nchi: Arabia (sasa sehemu ya Saudi Arabia)
    • Mahali pa Kuzaliwa: Aadil, Saudi Arabia
  9. Nabii Salih (Methuselah)
    • Nchi: Thamud (sasa sehemu ya Saudi Arabia)
    • Mahali pa Kuzaliwa: Thamud, Saudi Arabia
Katika waislam misikiti mikuu 3
Msikiti wa Al-Haram (Masjid al-Haram)- Mahali: Makkah, Saudi Arabia
Msikiti wa Al-Masjid an-Nabawi (Masjid al-Nabawi)- Mahali: Madinah, Saudi Arabia
Msikiti wa Al-Aqsa (Masjid al-Aqsa)-Mahali: Yerusalemu, Palestina

WAKIRISTO MAKANISA MAKUU
Kanisa la Mtakatifu Petro (St. Peter's Basilica) -Mahali: Vatican City, Roma, Italia
Kanisa la Mitume watatu (Trinity Church)- Mahali: Boston, Massachusetts, Marekani
Kanisa la Hagia Sophia (Aya Sofya)- Mahali: Istanbul, Uturuki
Kanisa la Westminster (Westminster Abbey)- Mahali: London, Uingereza
Kanisa la Martin Luther (Lutherkirche)-Mahali: Wittenberg, Ujerumani

KWANINI MAKANISA MAKU YAPO ULAYA? NA SIO MASHARIKI YA KATI?
Watu walioshikamana na udini ni wa kuogopwa sana. Wala hakukuwa na haja ya kuuliza swali lako humu, biblia ipo, ni kitabu kilichotafsiriwa Kwa lugha zote ikiwemo na kiswahili, ungesoma ungepata majibu, Ila ufinyu wako wa akili kwasababu ya udini wako umeona uentertain.

Anyway swali lako ni jepesi japo halipo specific, kanisa la kwanza ni Roman Catholic, hili ndo lilikuwa la kwanza then yakaja mengine.

Wanafumzi wa Yesu baada ya Yesu kupata mbinguni, Kwa mujibu wa historia ya biblia walishukiwa na Roho Mt wakaanza kusema Kwa lugha za mataifa mengine, ikiwemo na waarabu, kumtangaza Yesu haikuwa rahisi, kwasababu walikutana na vikwazo vingi Kama kufungwa, kuuwawa, kuteswa, kwahyo walitawanyika sehemu nyingine ambapo waliweza kufanya waliyodhamiria kuyafanya.

Yesu alikuwa myahudi, lakini wayahudi wengi hawakumwamini, hata ndugu zake tu hawakumwamini, Yesu alitambua Hilo, kwamba hawataweza kumwamini, Kuna kifungu kwenye biblia Yesu alisema nabii hakubaliki kwao na Kuna mstari pia aliwaambia wanafunzi wake nendeni muwageukie mataifa.

Injili Leo imekuwa siyo Kwa wayahudi tu, imekuwa pia ni kwaajili ya mataifa mengine, ikiwemo na Tanzania, na lugha ya tafsiri ni ya kiswahili.

Kanisa kuu la wakristo ni Lipo Vatican city(Mt Petro) hapo ndipo alipozikwa mtume Petro, ambaye Yesu alimwambia "Wewe ndiwe Petro(kefa Kwa tafsiri ni jiwe)na juu yako litajengwa kanisa langu.

Sijajua hayo makanisa makuu unayoyaongelea wewe ni yapi, Ila kanisa kuu la kinabii ni moja tu na lipo Vatican city.

Kama una swali jingine uliza.
 
Kiongozi ndio maana msingi wa Abrahamic religions zikaitwa tales za Middle East.

Utaratibu wa tales (kwa watu waliosoma literature au history) over time versions zake uwa zinabadilika kutokana na chumvi za waadithiaji.

Hadi huyo Constantine anaanzisha dini yake kwa misingi ya tales za Middle East aliwakuta wenyeji wana version kibao za story hizo hizo na kila mtu anafanya ibada kwa mtindo wake kwa maandishi hayo hayo.

Tofauti ya Jews, Christianity na Islam ni story walizoamua kurasimisha kwenye vitabu vyao na mtindo wa kufanya ibada.

Jews na Islam msingi wake ni Middle East people ndio maana wanafanana sana (tofauti na wakirsto wasiolewa dini), tamaduni za Jews zinafanana na Islam, kuliko Christianity.

Mambo mengine ni kuwaachia tu mijadala yao, la msingi ni kupata Magufuli 2.0 wa kuwanyoosha watanzania kwa utaratibu mwingine huko kwenye dini waamini wanachotaka.
Wakristo tunaamini katika biblia(Agano jipya na la kale, hata Quran Kuna line tunaziamini 100% kwasababu Zina ukweli) Waislamu nao wanaamini katika Quran in General, wapagani endeleeni kufatilia hadithi, kwasababu hata usomaji wake na jinsi mnavyozielewa mwisho wake mnaamini tu Wala hakuna aliyeshuhudia Kwa macho kilichotendeka A to Z.

Kuamini mawazo ya akina Aristotle, kuamini sayansi, kuamini na Mambo mengine ni kuamininini, hivyo, eeeee ni hivyoo, kiraza wa kiman'gati nae anasema MUNGU hayupo, eti anautaka ushahidi kuhusu uwepo wa MUNGU, huu ujinga mwingine huu🤔

Kuna mtu hata Olduvai George hajawahi kutembea, nae unakuta anasema the whole human history about GOD is fake jamani, upumbavu wa watanzania?
 
Wakristo tunaamini katika biblia(Agano jipya na la kale, hata Quran Kuna line tunaziamini 100% kwasababu Zina ukweli) Waislamu nao wanaamini katika Quran in General, wapagani endeleeni kufatilia hadithi, kwasababu hata usomaji wake na jinsi mnavyozielewa mwisho wake mnaamini tu Wala hakuna aliyeshuhudia Kwa macho kilichotendeka A to Z.

Kuamini mawazo ya akina Aristotle, kuamini sayansi, kuamini na Mambo mengine ni kuamininini, hivyo, eeeee ni hivyoo, kiraza wa kiman'gati nae anasema MUNGU hayupo, eti anautaka ushahidi kuhusu uwepo wa MUNGU, huu ujinga mwingine huu🤔

Kuna mtu hata Olduvai George hajawahi kutembea, nae unakuta anasema the whole human history about GOD is fake jamani, upumbavu wa watanzania?
Mimi naamini kwenye spiritual world, na naheshimu dini zote.

Nisichoafiki ni dini watu wa dini wa moja kudhani wao ndio wako sahihi kuliko wengine,

Otherwise jana mchana nimelala zangu nimeota dunia imepigwa na (asteroid) ndoto yangu ilikuwa somewhat dramatic, nonetheless nimeaka trending story google kuna ka asteroid kamelipuka angani huko Siberia.

I trust science na I believe in the spiritual words, nisichoafiki ni hizi akili zenu za dini korofi Jews, Christian na Islam; hawa watu ndio msingi wa mgogoro duniani.
 
Back
Top Bottom