Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sigara haihusiani na makundi ya peer pressure labda ungesema bangi Ila Sigara sio issue ya peer groups, Sigara ni maamuzi ya mtu binafsi nivute au nisivute Sigara haivutwi kwa kificho km ilivyo bangi hakuna anaekulazimisha uvute Sigara ni wewe mwenyewe unaamua especially adolescents wenye curiosity nyingi za kujaribu jaribu Mambo Ila bangi ni ushawishi wa peer groups wanakushawishi hakuna mvuta bangi anaevuta peke yake au anaefurahia kuvuta peke yake Ila mvuta Sigara hufurahi kuvuta peke yake wala haitaji kijiji,Hivyo, muweke mbali na makundi na hata mazingira yanayomshawishi kutumia vilevi hivyo. Mpige marufuku kuambatana na aina ya marafiki unaodhani wanamshawishi.
Shuleni yuko powa sana, amepiga division ya uhakika, off course nikisema nainvest kwa Watoto yani namaanisha kweli.Kuna vipindi katika makuzi lazima apitie.. Kikubwa asiharibikiwe
Kuna maendeleo yake shuleni je anafanya vizuri?
Kuna makundi mitaani, marafiki shuleni na watu anao intaract nao inabidi yote haya uyajue walau 70%
Ukaribu wako kwake ni muhimu sana
Mahusiano ya kifamilia
Nafasi yake katika familia!
Je unamjali kiasi gani? Unamheshimu kiasi gani!?
Je unayatambua madhaifu yake? Kushindwa kwake? Kushinda kwake?
Je anapendelea nini? Nyakati gani nknk
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sanaa.. wengine wazazii wetu hata wazo la kuvuta haliwezi kukujia aiseee[emoji28][emoji28][emoji28] Yani unaweza pigwaa nusuu kufaaa maana utazimiaaaaa..Nilimgundua mimi mwenyewe kwamba ameanza kuvuta sigara.
Nikamwita nikakaa nae kistaarabu kabisa nikamuuliza sigara mpaka uikimbilie unapata faida gani?.
Nikamuuliza mimi navuta sigara. Akasema hapana. Vipi babaako mdogo umewahi kuona anavuta?. Akakataa pia. Nikamuuliza vipi ktk familia yote yangu kuna mtu umewahi kumuona anavuta? Akakataa.
Nikamwambia basi ujue yapo mambo ya kuiga na yapo mambo lazima uone yakupite hasa ukiangalia sisi tuliokutangulia. Kama unaona tume-fail mahala ktk kuwaendeleza nyinyi kuanzia kuvaa,kula,kusoma n.k basi ujue ksbb tulikuwa hatuvuti sigara. Ila kama unaona tumefauru kwa kila hatua kuhusiana na nyie wote basi ujue ksbb tulikuwa hatuvuti sigara na pombe pia.
Leo nimekuambia kistaarabu. Siku nyingine haitakuwa kistaarabu kama hivi. Hutanishinda wewe. Kwa hiyo jua umeanzisha vita na mara zote tukuanza ligi mimi na wewe sikubali kushindwa. Kama una hamu na sigara ksbb umeona unakupa faida utavuta ukiwa kwako. Sio ukiwa kwangu. Jiulize mara mbili.
Sikuwahi kumuona tena na hicho kitu
Halafu hapo anaweza kuja mama yake akakuambia acha kumfokea mtoto...au anakuambia hayo sio maneno ya kumuambia mtotoNilimgundua mimi mwenyewe kwamba ameanza kuvuta sigara.
Nikamwita nikakaa nae kistaarabu kabisa nikamuuliza sigara mpaka uikimbilie unapata faida gani?.
Nikamuuliza mimi navuta sigara. Akasema hapana. Vipi babaako mdogo umewahi kuona anavuta?. Akakataa pia. Nikamuuliza vipi ktk familia yote yangu kuna mtu umewahi kumuona anavuta? Akakataa.
Nikamwambia basi ujue yapo mambo ya kuiga na yapo mambo lazima uone yakupite hasa ukiangalia sisi tuliokutangulia. Kama unaona tume-fail mahala ktk kuwaendeleza nyinyi kuanzia kuvaa,kula,kusoma n.k basi ujue ksbb tulikuwa hatuvuti sigara. Ila kama unaona tumefauru kwa kila hatua kuhusiana na nyie wote basi ujue ksbb tulikuwa hatuvuti sigara na pombe pia.
Leo nimekuambia kistaarabu. Siku nyingine haitakuwa kistaarabu kama hivi. Hutanishinda wewe. Kwa hiyo jua umeanzisha vita na mara zote tukuanza ligi mimi na wewe sikubali kushindwa. Kama una hamu na sigara ksbb umeona unakupa faida utavuta ukiwa kwako. Sio ukiwa kwangu. Jiulize mara mbili.
Sikuwahi kumuona tena na hicho kitu
Kwa afya ya future yake acha first degree aifanyie hapa hapa home! Kuhusu kuvuta sigara ni afadhali kubwa sana kuliko kama angekuwa na dalili za upindeShuleni yuko powa sana, amepiga division ya uhakika, off course nikisema nainvest kwa Watoto yani namaanisha kweli.
Nimempeleka moja ya shule expensive Bongo in option University asome Overseas hii ndio inanitisha.
Nimegunduwa ana urafiki na school mates ambao Wazazi wao ni high profile Bongo hawanaga uangalizi kwa Watoto huu ujinga ndio anajifunza huko.
Kitu naogopa sana kwa first degree kumpeleka mtoto overseas unabet either ufanikiwe au aharibikiwe mazima, maana overseas University level unajiongoza mwenyewe ni hatari sana.
Nimeanza struggle za maisha ulaya nikiwa mtoto Mdogo sana nayajuwa vizuri madhara yake.
Na isitoshe pia nayajuwa vizuri madhara ya Bongo kwenye mfumo huu wa Ccm ndio hatari zaidi, sasa unaweza kuona niko njia panda hapo, je huyu mtoto ataweza kujisimamia mwenyewe overseas ikiwa yupo Nyumbani kwangu na ameanza mambo ya siri akiwa bedroom kwake? Naanza kufikiria degree yake afanye Tanzania, najuwa vizuri kinachoendelea kwa Watoto wengi kufanya first degree overseas, nimeishi hayo maisha kwa miaka mingi najuwa vingi.
Unamtandika kibao kimoja cha kerbu kumrudisha kwenye mstari na hatorudia tena kukuzoea unapoamuwa kusimama kama baba.Halafu hapo anaweza kuja mama yake akakuambia acha kumfokea mtoto...au anakuambia hayo sio maneno ya kumuambia mtoto
Nyumbani kwangu ni no smoking zone, iko hivyo miaka yote hata uwe rafiki yangu sigara Nyumbani kwangu ni marufuku utavutia nje au subiri tukifika pub hata Mimi naweza kupiga ile ya kusindikizia kamnyweso.Mzazi unavuta?
mimi huwa nikisali nawaombea wazazi wote na walezi Mungu atupe maisha marefu ili tuweze kulea watoto wetu angalau wafike hatua ya kujiongoza[emoji1545][emoji419][emoji375][emoji173]Mkuu kama mzazi inaumiza sana mtoto kudevelop tabia ambazo ni hatarishi katika malezi hasa kwa hii dunia ngumu ya sasa, huyo asome tu hapahapa chuo ili atleast uweze kuwa nae karibu......mimi huwa nikisali nawaombea wazazi wote na walezi Mungu atupe maisha marefu ili tuweze kulea watoto wetu angalau wafike hatua ya kujiongoza
Unamwaga petrol kwenye Moto italipuka pamoja na wewe,Unamtandika kibao kimoja cha kerbu kumrudisha kwenye mstari na hatorudia tena kukuzoea unapoamuwa kusimama kama baba.
Hakuna kitu kama hicho, kuna wakati ni lazima usimame kama mkuu wa familia na yeyote anayetaka kuchallenge authority yako ni lazima umuadabishe hadharani hapo nyumbani na hiyo ni warning kwa family members wote kwamba hutaki mzaha wala utani kwenye kuiweka familia kwenye mstari.Unamwaga petrol kwenye Moto italipuka pamoja na wewe,
Yaani hapo ndo atamharibu kabisaaa .atafikia kula unga ..wala asimtumue...amuonye na kumuonesha madhara yakeUnatakiwa ukae nae chin au umpelekee Kwa daktari aelezwee athari zote za cgara na aonyeshwe na picha picha za baadhi ya watu waliothirika mapafu Kwa ajili ya uvutaji wa cgara..na ikishindikanaa alee viboko na ufukuzee akavutee ukoo na ada usilipee,,,haiwezekan kujaza maji Kwenye gunia
Hakuna tatizo lolote kwa adult mwenye maisha yake na kazi yake kuvuta sigara.Wewe unashabikia yanga unataka mwanao afanye nini
Anyway Kuna jamaa namfahamu anafanya kazi NMB wilaya frani,ni very smart ila anakula chigga,kiukweli hua namdharau mnoooo
Kweli kabisa huwezi kuwekeza kwa mtu anae kufa kesho kwa ugonjwa wa mapafu ....hapa amtelekeze kama mwaka mmoja hiviUnatakiwa ukae nae chin au umpelekee Kwa daktari aelezwee athari zote za cgara na aonyeshwe na picha picha za baadhi ya watu waliothirika mapafu Kwa ajili ya uvutaji wa cgara..na ikishindikanaa alee viboko na ufukuzee akavutee ukoo na ada usilipee,,,haiwezekan kujaza maji Kwenye gunia
Mno yaani sijui kwanini...mimi nimekuja gundua mwanangu wa kiume anang'ang'an alale na dada wa kazi na analala huko mie sijui...! Naskia anamhoji mambo kibao ya mahusiano...shenzi kweli yule ..Dah pambana mzee vijana wa kiume ni kazi sana kuwalea.