SWALI : Je umeshawahi kulala na mpenzi ukatamani pakuche haraka uondoke/aondoke?

SWALI : Je umeshawahi kulala na mpenzi ukatamani pakuche haraka uondoke/aondoke?

Wewe hujui kama huu uzi nimeupenda wa majuto, eti hawalali usiku
Majuto yako yatakia ulipata utamu mwingi mbaka ukakosa usingizi

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
niliwahi kwenda kulala kwa demu mmoja ambaye alikuwa anaishi kwao...siku hiyo siku lala kwa bahati mbaya alfajri mama yake mkubwa alikuja nyumba ilikuwa ya geti ugongaji wake getini ulimshitua demu .... nilijuta sana kwenda pale lakini namshukuru Mungu kulikuwa na chumba cha wavulana na palikuwa na mtoto wa kiume mule ndani hivyo niliamia chumbani kwa huyo kijana.....
 
niliwahi kwenda kulala kwa demu mmoja ambaye alikuwa anaishi kwao...siku hiyo siku lala kwa bahati mbaya alfajri mama yake mkubwa alikuja nyumba ilikuwa ya geti ugongaji wake getini ulimshitua demu .... nilijuta sana kwenda pale lakini namshukuru Mungu kulikuwa na chumba cha wavulana na palikuwa na mtoto wa kiume mule ndani hivyo niliamia chumbani kwa huyo kijana.....

Unankuta mtu Kama huyu anaogopa kufanya biashara anakuambia kuna risk kubwa ila hajui kuwa alishawahi risk life yake once upon the time
 
Jamani haya maisha nimepitia vituko vya kukata na shoka.


Mwenzenu kuna siku nililala na mwanaume alikula ugali na makange ya kuku yana pilipili akaongeza na pilipili ya kukata pembeni pilipili mbuzi/kichaaa.

Mwanaume anapenda pilipili kama mhindi.

Wakati wa kugegedana akanipapasa na mikono kwenye harage jaman alafu tukafanya tendo la ndoa kama akaikoroga kuliwaka motoo kama nimechochea jiko la kuni NILITAMANI PAKUCHE HARAKA NIRUDI NYUMBANI MAANA HUYU FRANK HAKUAMINI KAMA PILIPILI IMEKOLEA YANI NILIKOMA NILIHISI MOTO UMEWASHWA KUNAKO.

Demiss Malaika.


Huyo alikuwa mwanamme wa Dar kwani huenda kuna mawili hapa, (1)...alikuwa hajuwi kama pilipili aliyoshika inaweza kukudhuru wewe au (2) alitaka tu kukukomoa, si unajuwa wanaume wa Dar walivyo.....anataka kukukomoa ili aende kijiweni kesho yake akakuseme kwa washikaji zake.
 
Ilinitokeaga nilipata Mchuchu mwembamba hadi anatisha. Yaani alienda kwenye ukuta akasimama nikahisi labda ni nyufa ya nyumba kwa jinsi alivyokondeana then tena ana sauti Nene kama ya dume la mbegu. Yaani akiongea utadhani anaongelea kwenye mtungi.

Nikapiga moyo konde nikaanza kupiga show...demu analia kwa sauti ya kiume nzito (huuuumble) hadi masela nje wakahisi labda namcheda mwanaume mwenzangu. Hatari sana!

Siku hiyo sikulala maana nilikuwa namuogopa nahisi labda anaweza kuwa jini akanipa mataizi yale ya kuzima taaa akiwa kitandani. Ulikuwa usiku mrefu sana kwangu.
Nimecheka sasa na wewe umeanza lini kupenda vyembamba
 
ngoja na mm nikashike ndimu halaf nifanye km alivofanyiwa demis
 
Jamani haya maisha nimepitia vituko vya kukata na shoka.


Mwenzenu kuna siku nililala na mwanaume alikula ugali na makange ya kuku yana pilipili akaongeza na pilipili ya kukata pembeni pilipili mbuzi/kichaaa.

Mwanaume anapenda pilipili kama mhindi.

Wakati wa kugegedana akanipapasa na mikono kwenye harage jaman alafu tukafanya tendo la ndoa kama akaikoroga kuliwaka motoo kama nimechochea jiko la kuni NILITAMANI PAKUCHE HARAKA NIRUDI NYUMBANI MAANA HUYU FRANK HAKUAMINI KAMA PILIPILI IMEKOLEA YANI NILIKOMA NILIHISI MOTO UMEWASHWA KUNAKO.

Demiss Malaika.
Daah kuna hiyo papuchi moja ilinisumbua sana sitakaa nisahau nilipiga kimoja tuu nikaomba kukuche. Nilibaki macho kama popo. Hadi leo manzi akitaka kuja magetoni namkwepa.
 
Mwanzoni mwaka huu nililala na demu (Demiss) akiwa anaumwa tumbo baada ya kufakamia offer ya makange bila kujuwa ni ya kunguru wa Zanzibar, mbona nilijuta. Katikati ya mchezo wa ile ligi yetu pendwa ya kwa 6 kwa 6, asiniharishie nini. Alitoa bonge la mharo mpaka dushe lote likawa limeungua na ule muharo wa makange, yaani niliwashwa usiku mzima nikaomba Mungu asubuhi ifike nimpeleke kwao. Toka siku ile sina tena hamu na Demiss.
 
Mwanzoni mwaka huu nililala na demu (Demiss) akiwa anaumwa tumbo baada ya kufakamia offer ya makange bila kujuwa ni ya kunguru wa Zanzibar, mbona nilijuta. Katikati ya mchezo wa ile ligi yetu pendwa ya kwa 6 kwa 6, asiniharishie nini. Alitoa bonge la mharo mpaka dushe lote likawa limeungua na ule muharo wa makange, yaani niliwashwa usiku mzima nikaomba Mungu asubuhi ifike nimpeleke kwao. Toka siku ile sina tena hamu na Demiss.
Ril nigga!! ? This is nt even funny.. Stupid..
 
Mwanzoni mwaka huu nililala na demu (Demiss) akiwa anaumwa tumbo baada ya kufakamia offer ya makange bila kujuwa ni ya kunguru wa Zanzibar, mbona nilijuta. Katikati ya mchezo wa ile ligi yetu pendwa ya kwa 6 kwa 6, asiniharishie nini. Alitoa bonge la mharo mpaka dushe lote likawa limeungua na ule muharo wa makange, yaani niliwashwa usiku mzima nikaomba Mungu asubuhi ifike nimpeleke kwao. Toka siku ile sina tena hamu na Demiss.
Hahahahahah looooh nimecheka hii chai nimeinywa saa 12 :05 asubuhi
 
Back
Top Bottom