*****.. Mimi huwa mjanja sana...yan ntajiitahid nkupigie Mara kwa mara... Ukiona anakwabia cjui nipo busy Mara nipo na watu jua hammna kitu hapoWewe wengine wanakupa uongee na shoga ake. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mama sabrina acha nakwambia yan alikuwa mwembamba suruali anavaa kiono 10 alafu kafupi kembamba keusi tiii ukiangalia id yakeee ni kubwa kulikonmwili wakeee jaman nilikimbia mtotot wa mwenzio nusu nivunje milonjoooDemiss una vituko jamaniii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti kidogo ukimbie uvunje milonjooo,mi ndo maana sipendi kukutana na watu hovyo hovyoo maana ni vituko tu
Hahahha Mkuu kama mim tu sema mi sikuwah kuongea nae nlikuw nachat sana kulko kuongea. Pia siku nyingne kulikuwagaa na aina flani hiv ya offer kutoka airtel ya kuchat nmeisahau kdg inaitwaje skumoja bana katka chatting mara kimdada kikanibip vile nikiwaga na ugonjwa na namba mpya nikapiga asee mtoto ni ana sauti kama Mikala(kwenye ile muvi ileeee This is the Game of Love) bas nkawaga najua huyu mdada atakuwa hivyo hivyo kama mikala. Asee siku ilipofka kanitumia picha fb namm nikamtumia yangu duuh nilijiona mzuri kuliko yeye. Hahahah.Mim kuna mtu alikoseaga namba ikaja kwangu kupokea sauti nzuriii mweee ,tukawa tunaongea tu ,tunawasiliana tu nikawa namuwazia atakuwa bonge la handsomee ,,siku naenda kuonana naee kidogo nizimieee limtu kama Li lemutuz halaf mi kadogoo nikamsalimia shikamooo baba ,wakati kwenye simu nilikuaga simsalimiii ,nikamuambia nimepita tu tutaonana baadaee [emoji23][emoji23],,nikivyotoka hapooo nilibadili na laini na ya simu maana kidogo nizimiee
Utanikimbia maana mwandiko wa humu na live ni kama huku unamuwaza Uwoya halafu live unakutana na Hadija kopa. Kwanini usitoke mbio sasaUna maanisha utakosa amani au[emoji12]
🙂Huhuu niliopoa jimama gwa mbegu likataka niunguzia watoto kiunoni. Lilikua li ticha la primary kahama. Wacha niishie hapa bwanaSema kidogo basi tuchekeeeeee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hata akina slim twanynyswa pia[emoji23]Mnatunyanyasa mabonge sio[emoji23] [emoji23]
Ila kwa upande wa wanaume hakuna mwenye tatizo bana,,mwanaume hata tuwe je tunamiliki tu yoyote hata uwe kama anil kimambi[emoji41]Wewe wengine unaona hata urafiki haiwezekani. Hata na namba yako sisave kwanza. Unakaa na mtu unaona unaboreka. Hata huenjoy kukaa nae. Mimi napenda kuonana na watu kwa ajili ya urafiki. Kufarijiana iwe kabla ila baaada sitaweza
Yaan acha tu sauti nzurii kumuona sasa nilibadili laini ilikua mjusi kakumbatia gogoMnatunyanyasa mabonge sio[emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ila hata mi staki kuonana kwa surprise. Nitumie picha kwanza. Kwenda kuonana na babangu siwezi.*****.. Mimi huwa mjanja sana...yan ntajiitahid nkupigie Mara kwa mara... Ukiona anakwabia cjui nipo busy Mara nipo na watu jua hammna kitu hapo
Sasa hawa viumbe wanataka kina nanii?Hata akina slim twanynyswa pia[emoji23]
Tukikaa pale cruiz na tukipata kitu kitamu baasi hofu zitaisha[emoji12]Utanikimbia maana mwandiko wa humu na live ni kama huku unamuwaza Uwoya halafu live unakutana na Hadija kopa. Kwanini usitoke mbio sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni wa humu[emoji23][emoji23][emoji23]Mama sabrina acha nakwambia yan alikuwa mwembamba suruali anavaa kiono 10 alafu kafupi kembamba keusi tiii ukiangalia id yakeee ni kubwa kulikonmwili wakeee jaman nilikimbia mtotot wa mwenzio nusu nivunje milonjooo
Kumiliki ndo nini.? Chief nakutosa baada ya kukugeuzia mgongo tu. Utajipigisha simu weee. Utatuma msg walaaaaa sijibuIla kwa upande wa wanaume hakuna mwenye tatizo bana,,mwanaume hata tuwe je tunamiliki tu yoyote hata uwe kama anil kimambi[emoji41]
Kila mtu anachaguo lakeSasa hawa viumbe wanataka kina nanii?
Hahaha mimi bonge huwwz kunikimbia...kama yule mdogo wake dada wa taifa,yan hatupishani na mzidi kidogo tuShemeji[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]siku nikionana wewe na mkeo sjui nitawakimbia sijui mtanikimbia [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]