Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulweso amekimbia mchumba jaman khaaaaa kamuona kavaaa kaunda suti[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]akakimbia vuuuuup
 
haya mambo wengine tushakutana nayo sana kipindi kabla hata social networks hazijaanza..

masela tunapeana namba za mademu....tulikuwa tunawaita 'majini'
 
Sijamuonaaa kabisaaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Dada nilikusubir na wewe skukuona kabisaaa hujawahintoka nduki[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji16][emoji16]
Ndio naingia hapa kwanza nimeshindwa soma post zote nyingi sana sijawahi mkimbia mtu kabisa na wala sijawahi kimbiwa pamoja na sura ya baba angu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…