Ila nahofia rada ya Tunguli inaweza kuja kutunasa tukianza kukimbiana jambo ambalo litakuwa aibu sanaUnataka kunitoa rohooooo mwenzio ngoja na mm niamke niruke rukeee kamba kesho ndo keshooo
Mwezi wa 8 dear anarudi. Mi ndo PA wake. Weka appointment tukuweke kwa ratibaNgoja niombe appointment akirud bongo mwezi wa 6.
Ukimkuta ndivyo sivyooo unamkimbiaaaaa akiii ni dhambiii walllah [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]haya mambo wengine tushakutana nayo sana kipindi kabla hata social networks hazijaanza..
masela tunapeana namba za mademu....tulikuwa tunawaita 'majini'
Uko poa jamani hivi Saint Ivuga hujawahi mkimbia kweli nduguMarahaba mdogo wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naanzaje sasa?
Nitakukimbilia kabisa
kwa hiyo we handsame boy aka HB, [emoji23] [emoji16] [emoji23] [emoji16]Mimi kuna kasista flan nimezoeana naye Facebook. Siwezi sema ni mbaya ila siwezi tu kuwa naye. Kibsya zaidi ni mwanafunzi huwa najifanys kuongea nse mambo ya shule shule ili kumpoteza maboya lakini bado naona anajaa kwenye kilengeo.
Anakaa Mbagala imebdi nimwambie nakaa kibaha angalau kumkata maini asije tu lakin bado tu yumoo..
Nisipomtext two days wivu mwingi najaribu kumpelela kwenye mada za masom lakini wapi. Na nina tabia moja siwezi kumuignore mtu hata aweje ila siwezi tu kuruhusu hili jambo litokee.
Hivi naanzaje kumkimbia mm au labda ananitumia mapicha ya ndugu yakeHawez kufanya hivyoooo hahahaha labda wewe umkimbieeee nina hakika haiwez kutokeaaaa
Ukiwa binti lazima uwe mjanja la unaweza uzwa hivi hivi unajionaHahahahahahaaa. Hata mimi nakimbia sheenzi
ivi hii Mwifwa ina maana gani?Ila nahofia rada ya Tunguli inaweza kuja kutunasa tukianza kukimbiana jambo ambalo litakuwa aibu sana
Aiseee hiyo safi snaa mm mdogo wako majanga kama hayooo sasa yani hiii ni utanguliz majanga zaid yanakujaaaaNdio naingia hapa kwanza nimeshindwa soma post zote nyingi sana sijawahi mkimbia mtu kabisa na wala sijawahi kimbiwa pamoja na sura ya baba angu
Kama haulipi ndio unakimbiwa, sasa kwani wewe haulipi?Hahah kwani hapa watu wanakimbiana kwa ajiri ya nini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana ndugu. Mi mwenyewe sura mbovu tu kama ndala ya chooni.kwa hiyo we handsame boy aka HB, [emoji23] [emoji16] [emoji23] [emoji16]
mkuu niwekee ninyooshe goti
just joks
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] myuesiei kwenye ubora wake espy geniveros mko wapi lakiniIla mimi nina hako kamchezo aisee.
Na mara nyingi huwa nawakula kwanza, kama wanakulika lakini. Atakayekuwa mtamu atakulwa mara ya pili, tatu, au hata nne.
Asiye na ladha atakulwa mara moja tu halafu tunakuwa washikaji wa kawaida tu kama atataka.
Asipotaka, basi. Aende zake maana kuna wengine wanasubiri kukulwa na Myuesiei.
Hahahaaaaaaaa just playing.
Hahah!! Shemu unafurahi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo sio urembo haiba tu nakujielewa basi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] unaweza kuwa unakimbia lakini sura kama nyuma ya sufuria [emoji23][emoji23]Ningekuwa mrembo ningeringa nina sura ya baba mkuu uwe na amani tu