Mm nimefanan na baba yangu alafu ni muhandsome jaman mpaka marafik zangu wanamsifiaga nina bab muhandsomee so kama umerithi sura yakeee raha sana mama angu hakuwa nyuma kuchagua hanshaaamy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sura ya baba si shida, bali baba kafanan na nani wababa wengine ma HB utampenda, halafu mwanaye Shunie ndiye kafanana naye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwifwa=Mpwa=mtakufa.ivi hii Mwifwa ina maana gani?
[emoji23] [emoji16] samahani mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aiseee hiyo safi snaa mm mdogo wako majanga kama hayooo sasa yani hiii ni utanguliz majanga zaid yanakujaaaa
Hivi babe me nalipa eenhKama haulipi ndio unakimbiwa, sasa kwani wewe haulipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo sio urembo haiba tu nakujielewa basi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] unaweza kuwa unakimbia lakini sura kama nyuma ya sufuria [emoji23][emoji23]
Hahaha hamna mdogo anguUkiona hivyo ujue wewe ni mwakeee mwakeeeeee
na ndio maana tuliwaita majini maana hata hujui mtu anafananaje..Ukimkuta ndivyo sivyooo unamkimbiaaaaa akiii ni dhambiii walllah [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna tayari mtu analala na mamba humu?Namuhurumia sana huyu member wa Jf mwenye anakumiliki wallah, maana sio kwa michambo hii.... tehteehhh
hahahaha jamaa anazuga wakati alikuwa na ugwaduHufai weyeeeeee akiii
Yaani mie hapana kabisa kuna wakati niliambiwa jinsi ulivyo mkimya lakini duu [emoji23][emoji23][emoji23]Unajua umenichekeshaaa mm nilizan mm peke yangu kumbe tupo wengiii [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Laki mojaaa tu inatosha tutakula Pizza elf 15 mm nakunyaga konyagi ya elf 4 tonic ya buku sjui sasa wewe unatumia Hennesy ama nn?Sawaaa. Niandae sh ngap mana nske nkaenda na ela ya chai[emoji23] [emoji23] [emoji23] wakanibakisha kumenya viazi ntakaposhindwa kulipa.
Anataka kukulwa na myuesieiUtakua hukutaka. Wenzio walotaka waliliwa
niwekee pasi murua ninyooshe msuli [emoji16] [emoji23] [emoji16] [emoji16] [emoji23] kwani ni under 18,, naskia uteleeeeeez[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana ndugu. Mi mwenyewe sura mbovu tu kama ndala ya chooni.
Ila siwez kuwa na haka kabinti kweli. Labda kaona mm nd mzuri wake siwez jua
Kwa sababu kuna comment umenitukana sitaki nikujibuuuPekupeku ndio yule mzungu wakuitwa Ricardo Maria,umesoma mwaka gan hapo?
Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
Eeh! Sihaba mtoto umeungwa ukaungikaHivi babe me nalipa eenh