Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sura ya baba si shida, bali baba kafanan na nani wababa wengine ma HB utampenda, halafu mwanaye Shunie ndiye kafanana naye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mm nimefanan na baba yangu alafu ni muhandsome jaman mpaka marafik zangu wanamsifiaga nina bab muhandsomee so kama umerithi sura yakeee raha sana mama angu hakuwa nyuma kuchagua hanshaaamy
 
Ukimkuta ndivyo sivyooo unamkimbiaaaaa akiii ni dhambiii walllah [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
na ndio maana tuliwaita majini maana hata hujui mtu anafananaje..
siku ya kuonana unatega mingo mapema ya kumchora kabla haijawa kituko!
 
Sawaaa. Niandae sh ngap mana nske nkaenda na ela ya chai[emoji23] [emoji23] [emoji23] wakanibakisha kumenya viazi ntakaposhindwa kulipa.
Laki mojaaa tu inatosha tutakula Pizza elf 15 mm nakunyaga konyagi ya elf 4 tonic ya buku sjui sasa wewe unatumia Hennesy ama nn?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana ndugu. Mi mwenyewe sura mbovu tu kama ndala ya chooni.
Ila siwez kuwa na haka kabinti kweli. Labda kaona mm nd mzuri wake siwez jua
niwekee pasi murua ninyooshe msuli [emoji16] [emoji23] [emoji16] [emoji16] [emoji23] kwani ni under 18,, naskia uteleeeeeez[emoji16]
 
Back
Top Bottom