Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Shem wangu Demiss samahani kwa fujo zangu ila nilitaka post ya 1000 iwe yangu na lengo langu limetimia
Shemeji aiseeee nilkuwa sjui fujo ndo mpango mzima na mm mnisamehe jana niliwaacha kichwa ililewaa ningechanganya madesaaaa[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]

nasubiria na ya 2000 iwe ya kwako
 
Poleeee sana rafiki
 
Shemeji aiseeee nilkuwa sjui fujo ndo mpango mzima na mm mnisamehe jana niliwaacha kichwa ililewaa ningechanganya madesaaaa[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]

nasubiria na ya 2000 iwe ya kwako
Hahah!!

Poa shem lao usijari tupo pamoja
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] jamani
Jana mwenzio nimechekaaa sasa nimecheka zaid baada ya marafiki zangu kwendaa sehem tukanywaaa tukalewa nikawahadithia hiv vituko wakaniambia ndo maaana ulikuwa busy na sim unajua pombee ikiwa kichwan ndo huwa inachochea kuchekaaa zaid

Basi tukaanza kukumbushia tulikuwa tunaongea kwa saut kubwa tunachekaaa mtu akisema vichaaa wala tusingelaumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…