Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

nilijua utazungumzia toto za ihala sec... nilikuwa nazikubali kinoma zile totoz kila ijumaa nilikuwa naenda joshi kutega.
 
Yaani sijui mafuta nazani ni vyakula tu maana wababa walikuwa hawapaki hata mafuta yenyewe ( labda ya karanga [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]haya mambo ni balaaa
 
nilijua utazungumzia toto za ihala sec... nilikuwa nazikubali kinoma zile totoz kila ijumaa nilikuwa naenda joshi kutega.

Hahahaha Mkuu wewe ni fundi kumbe. Mim nahis nilikuwa kauzu sana Boys ilinifanya nikawa hvyo. Kuna siku bwana ilikuwa ijumaa baada ya Weekly Test tukakaa joshon pale sas kidgo Difenda hii apa tukapakiwa wote et tunavuta bangi.
 
Unaenda wapi na mvua hii[emoji167] [emoji167] [emoji167] [emoji167] [emoji167] chukua mwamvuli
Badala ya kuniletea mwavuli umeamua ukaushe kabisa.

Haya bana mimi nacancel tulichokipanga tu[emoji5] [emoji5]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…