nzoka boy
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 1,165
- 1,038
Poa poaLemmi piemu yu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa poaLemmi piemu yu
Hahahaha nmejaribu lkn naona kama nawahi kuchoka,wacha nikazaneTuanze mazoezi kabisa[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
sawa nikaribishe PM BASI 😛😛😉😉Hahahaha sijui nkukimbie,anyway ww sitakukimbia
Usjali zitakujaaa huu mwezi mzimaaa nitawaletea harakat za Demiss na kukimbia wanaumeeee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Duh! Inaonekana umepitia misukosuko mingi mno ya kukimbia watu tupe full kabisa hii umeikomeshea njiani kama bongo movie
Safi snaa unaweza jikwaaa maana wengine wanatishaaaa
hahahaha[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji7] [emoji8] [emoji7] [emoji8] njoo huku chumba kimekuwa swimming pool View attachment 747269
Safi snaa unaweza jikwaaa maana wengine wanatishaaaa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]dadeeeki una tabia mbayaaa sanaMi kipindi natumia FB kuna mdada akawa ananitumia salam kila siku.chats zikaendelea weee baadae nikamtumia nauli aje arusha.ilikuwa 2013 hivi [emoji12]
Basi akaja alipofika bus terminal akanipigia!sijataka kutokea kindezi nikamuuliza tu umevaaje??!!nimevaa top ya peach na pedo ya pupple!
Hapo nimeeka eafon maskioni huku namkagua kwa mbaali duuuhhh libonge la demuuu kama tairi ya trekta linavyotembea afu miguu imegusana kwa kati likitembea!khaaa kumbe ile sio picha yake FB??!!nilipotea pale km mzimu na nikazima na simu kbs!baadae akanitext MUUNGWANA AKIVULIWA NGUO HUCHUTAMA[emoji13] [emoji13]
teheheheh huko ngoja kwanza nitakukaribisha baadaesawa nikaribishe PM BASI 😛😛😉😉
Ila yapo hayo Mshenga ujue.
Dada nimefurahi sana naona umecheka kiukweli mm huwa nakimbia sitak pressure maana mtunwa hivyo hata story zinaishaaaa kabisaaaHahahaaa. Sitaki ije kunikuta hiyo aisee sababu ni moja kati ya vitu ambavyo vinafadhaisha aisee hasa kwa yule anayekuwa amekimbiwa. Teh teh teh.
Sababu anaweza baki na maswali yasiyo na majibu. Hahahaaaa.
[emoji17][emoji17][emoji17]Mi sikukimbii ila baada ya kuonana ntakupotezea. Kila ukipiga simu niko busy. Na nakujibu dry dry tu mpaka utakaa sawa. Kuna watu unakutana nao unagundua hawafai hata kuwa marafiki. Sasa watu wa hivyo wanajua kuganda hao.
KOMREDIIIIIIIIIIIIIIINimeona fursa hapa...[emoji39] [emoji39]
Ebu ngoja nijaribu bahati yangu kwenye PM yako, maana dahhh.....[emoji39] [emoji39]
Inabidi na kitabu tutunge kabisaUsjali zitakujaaa huu mwezi mzimaaa nitawaletea harakat za Demiss na kukimbia wanaumeeee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]