Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka msabato?Leo tuizungumzie Afrika na Waafrika hasa jinsia ya kike kwa swali moja litakalo jenga uelewa baina yetu sote.
Kwa nini ni jambo gumu kupatana na mwanamke Afrika asie muamini wa mambo ya Mungu, Kimungu na Dini ?
Leo tuizungumzie Afrika na Waafrika hasa jinsia ya kike kwa swali moja litakalo jenga uelewa baina yetu sote.
Kwa nini ni jambo gumu kupatana na mwanamke Afrika asie muamini wa mambo ya Mungu, Kimungu na Dini ?
Umetembea nchi zote hapa Africa? Kama ndio, hebu niambie Lesotho ulifikia wapi na ulikutajeLeo tuizungumzie Afrika na Waafrika hasa jinsia ya kike kwa swali moja litakalo jenga uelewa baina yetu sote.
Kwa nini ni jambo gumu kupatana na mwanamke Afrika asie muamini wa mambo ya Mungu, Kimungu na Dini ?
Sa unataka wa dini gani?Hapana nazungumzia asie muamini wa dini na mungu
Tupe uzoefu wako Mkuu!!Umetembea nchi zote hapa Africa? Kama ndio, hebu niambie Lesotho ulifikia wapi na ulikutaje
Rekebisha sasa uzi uzungumzie baadhiHapana ni baadhi
Nitafungua uzi mrefu nikipata muda bossTupe uzoefu wako Mkuu!!
Rekebisha sasa uziNi ngumu kutembelea pande zote za bara la Afrika
Dini ni Faraja Kwa wanawake wengi,pia ule mkusanyiko wa Kila jumapili pale ibadani ni tiba tosha ya kisaikolojia Kwa wanawakeLeo tuizungumzie Afrika na Waafrika hasa jinsia ya kike kwa swali moja litakalo jenga uelewa baina yetu sote.
Kwa nini ni jambo gumu kupatana na mwanamke Afrika asie muamini wa mambo ya Mungu, Kimungu na Dini ?