Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Aliyesema kuwa askari wa Tanzania hawapigi risasi 32 wakakosa ni mkufunzi au kiziwi asiyesikia vilio vya wananchi?Simple mathematics
Mtandao wa Tigo unajichafua Sana kwa Mambo haya.Simple mathematics
What do you meanKaka mpango wa kuassassinate public figure hausukwi kama unaenda kuua mwizi wa Kuku wa Buza.
Naona unamtafuta ugomvi chura kiziwiSimple mathematics
We kada wa Cdm acha uchonganishiNaona unamtafuta ugomvi chura kiziwi
Mi sina uchonganishi. Nakushangaa unampiga vijembe madam chairpersonWe kada wa Cdm acha uchonganishi
Jikite kwenye swaliMi sina uchonganishi. Nakushangaa unampiga vijembe madam chairperson
Ni yule JezebelAliyesema kuwa askari wa Tanzania hawapigi risasi 32 wakakosa ni mkufunzi au kiziwi asiyesikia vilio vya wananchi?