rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Mnapewa mkopoo mkubwa mjenge bwawaa la kuzalisha umeme mnazalisha umeme mnaomba mkopo mwingine wa kusambaza umeme mahali ambapo zamani umeme ulikuwa unafika vizuri tu sasa sijajua umeme unaozalishwa sasa una utofauti gani na wa miaka hiyo. Ni UPUUZI NI UPUMBAVUUU.