Swali: Kama umeme unaleta hasara ukisafirishwa umbali mrefu, huo wa Ethiopia via Kenya haupotei?

Swali: Kama umeme unaleta hasara ukisafirishwa umbali mrefu, huo wa Ethiopia via Kenya haupotei?

Hii nchi bhana🤔
 

Attachments

  • IMG_20250309_232107.jpg
    IMG_20250309_232107.jpg
    106.7 KB · Views: 2
Kwani makamba akiwa waziri, si alifumua transmission line yote na kuisuka upya,akidai magufuli alikua akisambaza umeme Kwa mitambo chakavu
Power transmission system ya Ethiopia - Kenya ni HVDC ,Sisi Kwa nini tusifanye modification kwetu na badala yake tuendelee kutengeneza utegemezi kwa sector critical kama nishati ,huu ni udumavu wa akili
 
Wanashindwa kutoa trillions kadhaa za shilingi ili kufanya modification kwenye grid ya taifa ila wanaspend trillions kwenye matumizi ya kishenzi kila siku kama misafara ,vikao ,posho na usenge wa kila aina .
Hawa mbwa kabisa
 
Wanashindwa kutoa trillions kadhaa za shilingi ili kufanya modification kwenye grid ya taifa ila wanaspend trillions kwenye matumizi ya kishenzi kila siku kama misafara ,vikao ,posho na usenge wa kila aina .
Hawa mbwa kabisa
Kina Makamba walianzishaga hiyo grid stabilisation na wakasema inahitajika Trilioni 4 mkasema wanapiga hela 🤣🤣
 
Leo umeamua kuweka uchawa pembeni na kuuliza swali Kwa ufahamu.

Hongera.
 
Swali: Kama umeme unapoteza na kulea hasara Kwa sababu ya kuusagirisha Kwa mda mrefu,Huo wa kutoka Ethiopia via Kenya Hadi Tanzania wenyewe haupotei Kwa kusafiri mda mrefu? Pia soma Zambia kununua Megawatt 300 za Umeme kutoka Tanzania baada ya Ukame Kuathiri Mabwawa ya Umeme

My Take
Haya majibu hayaaminiki.

========

Serikali imetolea ufafanuzi kauli iliyotolewa na Rais Samia leo kwamba Serikali itanunua umeme maalum kwa ajili ya Mikoa ya Kanda Kaskazini ili umeme usikatikekatike ambapo imesema umeme uliopo katika Gridi ya Taifa unazalishwa kutoka ukanda wa Kusini Mashariki na hivyo kulazimika kusafirishwa umbali mrefu kwenda maeneo mbalimbali nchini hali inayosababisha upotevu mkubwa wa umeme.

Taarifa iliyotolewa na Idara ya Habari Maelezo na Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali leo March 09,2025 imesema “Kwa Kanda ya Kaskazini upotevu wa umeme unaosafirishwa umekuwa ukisababisha hasara ya zaidi ya Tsh. bilioni 32 kwa mwaka, kutokana na upotevu huo na usafirishaji mrefu wa umeme, Kanda ya Kaskazini imekuwa ikikabiliwa na changamoto kubwa ya kukatika kwa umeme mara kwa mara hali ambayo inawaathiri Wananchi”

“Ununuzi wa umeme kutoka Ethiopia kupitia Kenya utasaidia kuondoa changamoto ya kukatika kwa umeme mara kwa mara na kuokoa upotevu mkubwa wa umeme unaokwenda katika kanda hiyo, gharama za umeme unaonunuliwa kutoka Ethiopia ni nafuu kutokana na Tanzania kuwa mwanachama wa Gridi ya Umeme ya Ukanda wa Kaskazini mwa Afrika ambapo nchi zina makubaliano ya kuuziana umeme kwa gharama nafuu ambayo inalingana ama ni chini ya gharama za uzalishaji umeme zilizopo sasa hapa Tanzania kwa baadhi ya vyanzo vyetu”

“Utaratibu wa Tanzania kununua umeme kutoka nchi jirani umekuwa ukifanyika tangu miaka mingi hususani Mikoa ya pembezoni ambayo ni Rukwa (kutoka Zambia) Kagera (kutoka Uganda) na
Tanga (kutoka Kenya), lengo kuu la kununua umeme kwa ajili ya maeneo ya pembezoni mwa nchi ni kuimarisha Gridi ya Taifa na kuiwezesha nchi kuwa na njia mbadala ya kupata nishati ya umeme pale kunapotokea changamoto katika Gridi ya Taifa.

View attachment 3265270
Dotto Biteko anasemaje kuhusu hili jambo ambalo Lina ukakasi na mikoa ya kaskazini imelipokea kwa hasira kubwa,ya kutaka CCM iondoke madarakani!
 
Swali: Kama umeme unapoteza na kulea hasara Kwa sababu ya kuusagirisha Kwa mda mrefu,Huo wa kutoka Ethiopia via Kenya Hadi Tanzania wenyewe haupotei Kwa kusafiri mda mrefu? Pia soma Zambia kununua Megawatt 300 za Umeme kutoka Tanzania baada ya Ukame Kuathiri Mabwawa ya Umeme

My Take
Haya majibu hayaaminiki.

========

Serikali imetolea ufafanuzi kauli iliyotolewa na Rais Samia leo kwamba Serikali itanunua umeme maalum kwa ajili ya Mikoa ya Kanda Kaskazini ili umeme usikatikekatike ambapo imesema umeme uliopo katika Gridi ya Taifa unazalishwa kutoka ukanda wa Kusini Mashariki na hivyo kulazimika kusafirishwa umbali mrefu kwenda maeneo mbalimbali nchini hali inayosababisha upotevu mkubwa wa umeme.

Taarifa iliyotolewa na Idara ya Habari Maelezo na Ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali leo March 09,2025 imesema “Kwa Kanda ya Kaskazini upotevu wa umeme unaosafirishwa umekuwa ukisababisha hasara ya zaidi ya Tsh. bilioni 32 kwa mwaka, kutokana na upotevu huo na usafirishaji mrefu wa umeme, Kanda ya Kaskazini imekuwa ikikabiliwa na changamoto kubwa ya kukatika kwa umeme mara kwa mara hali ambayo inawaathiri Wananchi”

“Ununuzi wa umeme kutoka Ethiopia kupitia Kenya utasaidia kuondoa changamoto ya kukatika kwa umeme mara kwa mara na kuokoa upotevu mkubwa wa umeme unaokwenda katika kanda hiyo, gharama za umeme unaonunuliwa kutoka Ethiopia ni nafuu kutokana na Tanzania kuwa mwanachama wa Gridi ya Umeme ya Ukanda wa Kaskazini mwa Afrika ambapo nchi zina makubaliano ya kuuziana umeme kwa gharama nafuu ambayo inalingana ama ni chini ya gharama za uzalishaji umeme zilizopo sasa hapa Tanzania kwa baadhi ya vyanzo vyetu”

“Utaratibu wa Tanzania kununua umeme kutoka nchi jirani umekuwa ukifanyika tangu miaka mingi hususani Mikoa ya pembezoni ambayo ni Rukwa (kutoka Zambia) Kagera (kutoka Uganda) na
Tanga (kutoka Kenya), lengo kuu la kununua umeme kwa ajili ya maeneo ya pembezoni mwa nchi ni kuimarisha Gridi ya Taifa na kuiwezesha nchi kuwa na njia mbadala ya kupata nishati ya umeme pale kunapotokea changamoto katika Gridi ya Taifa.

View attachment 3265270
 

Attachments

  • VID-20250310-WA0020.mp4
    2.2 MB
Back
Top Bottom