Mkuu kuna wakati mtu unapata hasira kwasababu viongozi wanawachukulia wananchi kama mabumunda vile.Wanasema Ethiopia wanauza kwa Kenya, halafu Kenya ndio wanatuuza sisi. Sasa najuiliza kusafirisha umeme kutoka Kenya kaskazini hadi Namanga umeme haupotei? Au Kenya wanausafirishaje? Au umbali ni mdogo sana? Sasa hivi Mikoa ya Kaskazini wanatoa wapi umeme? Hawajaunganishwa kwenye grid ya Taifa? Oya Yimakatso! jamaa wanazingua, jambo zito namna hii hawawezi kutupa ufafanuzi kihunu kupitia X! sisi sio maboya.
Swali: Kama umeme unapoteza na kulea hasara Kwa sababu ya kuusagirisha Kwa mda mrefu,Huo wa kutoka Ethiopia via Kenya Hadi Tanzania wenyewe haupotei Kwa kusafiri mda mrefu? Pia soma Zambia kununua Megawatt 300 za Umeme kutoka Tanzania baada ya Ukame Kuathiri Mabwawa ya Umeme
View: https://www.instagram.com/p/DG_Qf94Co3n/?igsh=MWIwaWczY3BpcXhiMA== My Take Haya majibu hayaaminiki.
View: https://www.instagram.com/p/DG_MlUZC7IA/?igsh=MW43NXdna3Bqc2ZwNw== View attachment 3265270
CCM ni janga kwa taifa nchi imewashinda,watanzania tunaibiwa mchana kweupe peTumezoea kuagiza kila kitu nje ya nchi tukiamini ni bora kuliko vinavyozalishwa ndani. Nadhani umeme wa Ethiopia ni bora au mtamu zaidi kuliko wa JNHPP.
Hata USA ziko states zinachukuwa umeme toka Canada ni kawaida tu.Unatumia matrilioni ya hela kujenga bwawa,then unanunua umeme wakati haohao waethiopia wanatumia mabwawa kuzalisha umeme,ukisema umeme wetu ni ghali kuliko wao akili au matope
canada wenyewe wanachukua kutoka wapiHata USA ziko states zinachukuwa umeme toka Canada ni kawaida tu.
Ni matopeUnatumia matrilioni ya hela kujenga bwawa,then unanunua umeme wakati haohao waethiopia wanatumia mabwawa kuzalisha umeme,ukisema umeme wetu ni ghali kuliko wao akili au matope
Hii deal Samia na watu wake wametengeneza wampe yule muhindi Mwizi ( Adam Group) aliyewahonga deal ya bandari ; sasa wanataka kumpa transmission lines za Tanesco!Sasa si utumie hizo bilioni 32 kutengeneza miundo ya kusafirisha umeme kwenda kaskazini. Hawa jamaa wanatoa excuse gani hii isiyo na mashiko?
Kuna kila dalili ya upigaji ukiangalia experience tuliyokuwa nayo wananchi kwa tanesco, usikute kuna mwamba keshajiwekea commission yake kwa rutoHakuna watu huwa wanajifanya wana akili kama hao engineers wa Tanesco, huwa ni wajuaji wa kila kitu na ukiwakuta wanakufafanulia na vi terminologies, vocabularies za electrical engineering unaweza kusema huyu alisoma NASA, na huwa wanaona kila mtu ni mjinga wao ndio wamesoma zaidi...
Wanasiasa wetu walivyo weupe, basi jamaa hutumia nafasi vilivyo..
Ni mambo ya kushangaza sana,tulihakikishiwa kwamba umeme utazalishwa mwingi na hadi kuuza nje. Leo tunaambiwa tutanunua kwa Wa Habeshi🙂🙂Unatumia matrilioni ya hela kujenga bwawa,then unanunua umeme wakati haohao waethiopia wanatumia mabwawa kuzalisha umeme,ukisema umeme wetu ni ghali kuliko wao akili au matope
Mishahara mikubwa, safari marupurupu wanayolipwa na umeme wanaopeana bure ndivyo vinawapa viburi.Hakuna watu huwa wanajifanya wana akili kama hao engineers wa Tanesco, huwa ni wajuaji wa kila kitu na ukiwakuta wanakufafanulia na vi terminologies, vocabularies za electrical engineering unaweza kusema huyu alisoma NASA, na huwa wanaona kila mtu ni mjinga wao ndio wamesoma zaidi...
Wanasiasa wetu walivyo weupe, basi jamaa hutumia nafasi vilivyo..
Mwisho utasikia Dokta fulani!, pengine anakuwa Waziri au hata Rais kabisa na masifuri yake kichwani, tutaendelea kupigwa tu na manyanga'au!!Madhara ya QT na kureset mitihani mtu elimu ya form 4 anaunganisha vyeti vinne
Nimeona Zito nae katoa ufafanuzi wakindezi na watu kwa haraka wanamsifia. Anadai umeme kutoka Ethiopia utaingiza kwenye grid ya taifa ya Kenya then usafirishwe hadi Namanga. Swali ni je kutoka mpaka wa Kenya na Ethiopia kuna umbali gani mpala Namanga? Na pia kuna umbali gani kutoka Rufiji mpaka mikoa ya kaskazini? Umeme wa Hale Pangani unaenda wapi? wa bwawa la Mungu je? Hili swala watupe ufafanuzi zaidi sio kirahisi rahisi hivi?Mkuu kuna wakati mtu unapata hasira kwasababu viongozi wanawachukulia wananchi kama mabumunda vile.
Hivi ufafanuzi shallow kama huu ni wa kuueleza umma kama sio dharau?