Swali korofi: Hii ni sensa au siasa?

Swali korofi: Hii ni sensa au siasa?

Bila shaka hii SENSA inatumika zaidi na viongozi wa kisiasa "just for publicity" ili kuonekana wao ni wazalendo.
Hivi kulikua na umuhimu gani wa kuifanya tarehe 23 kua siku ya mapumziko kama watanzania walio wengi hawatafikiwa siku hiyo??
 
Kama watanzania, tulijiandaa kuhesabiwa jana tarehe 23 Agosti, 2022. Mambo yamekuwa si mambo. Nilikuwa nyumbani kwangu Sombetini, Arusha tangu asubuhi hadi usiku. Nikawasubiri Makarani wa sensa bila mafanikio. Sikuhesabiwa.

Sitaki kusema mengi. Sitaki kuonekana nachonga kwa mambo ya kitaifa kama haya ya sensa. Mambo ya sensa ni mambo ya kisasa. Ni mambo muhimu kuliko ndimu kwenye maendeleo ya taifa letu. Lakini, kama kawaida yetu, siasa imeiingilia sensa yetu na kuitishia kuiharibu bila aibu.

Sensa yetu imegeuka uwanja wa kisasa wa siasa. Kwanza, siasa ilianza kwenye kuwapata Makarani. CCM yetu ikateka mchakato na 'kuteua' Makarani tuliowataka. Pili, matangazo yote ya sensa yalituma ujumbe mmoja wa wazi: Sensa ingefanyika tarehe 23 Agosti, 2022.

Hawafiki watanzania mia waliojua kuwa sensa ingefanyika kwa siku saba. Nani alipaswa kutuambia mapema na kutuelewesha bila kutulewesha kuhusu hili? Hakutimiza wajibu wake? Tumfanyaje? Pia, utitiri wa maswali ya sensa unasemwa kupunguza kasi ya zoezi la sensa.

Halafu, ni kama jana wamehesabiwa viongozi tu na 'wenye majina' huko mitaani. Asilimia kubwa ya wananchi wa kawaida hawakufikiwa na kuhesabiwa. Viongozi wanarindima mitandaoni kuonesha walivyohesabiwa. Ni sensa au siasa? La mwisho, malipo ya makarani yawe wazi: wanalipwa ngapi, lini na kwa namna gani? Kificho ni kitisho

Sensa kwa maendeleo, sensa si upendeleo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kwenda Dodoma)
Tulikukosa sana ndugu VUTA-NKUVUTE .
Mimi binafsi nimefurahi kukusoma tena na kujua u salama.
Ubarikiwe sana ndugu.
 
kinachorefusha muda ni urefu wa maswali hivyo tuwe wavumilivu sio lazima kila jambo tuwe wa kulikosoa sana japo inakwaza jambo kama hilo kuchukua muda mrefu ila hatutapungukiwa chochote tukitii na kuhesabiwa vingapi vibaya vimepita mbona hampigii kelele tozo na mdororo wa maisha uliopo hebu tuwe wastaarabu tuhesabiwe maisha mengine yaendelee
 
Kama watanzania, tulijiandaa kuhesabiwa jana tarehe 23 Agosti, 2022. Mambo yamekuwa si mambo. Nilikuwa nyumbani kwangu Sombetini, Arusha tangu asubuhi hadi usiku. Nikawasubiri Makarani wa sensa bila mafanikio. Sikuhesabiwa.

Sitaki kusema mengi. Sitaki kuonekana nachonga kwa mambo ya kitaifa kama haya ya sensa. Mambo ya sensa ni mambo ya kisasa. Ni mambo muhimu kuliko ndimu kwenye maendeleo ya taifa letu. Lakini, kama kawaida yetu, siasa imeiingilia sensa yetu na kuitishia kuiharibu bila aibu.

Sensa yetu imegeuka uwanja wa kisasa wa siasa. Kwanza, siasa ilianza kwenye kuwapata Makarani. CCM yetu ikateka mchakato na 'kuteua' Makarani tuliowataka. Pili, matangazo yote ya sensa yalituma ujumbe mmoja wa wazi: Sensa ingefanyika tarehe 23 Agosti, 2022.

Hawafiki watanzania mia waliojua kuwa sensa ingefanyika kwa siku saba. Nani alipaswa kutuambia mapema na kutuelewesha bila kutulewesha kuhusu hili? Hakutimiza wajibu wake? Tumfanyaje? Pia, utitiri wa maswali ya sensa unasemwa kupunguza kasi ya zoezi la sensa.

Halafu, ni kama jana wamehesabiwa viongozi tu na 'wenye majina' huko mitaani. Asilimia kubwa ya wananchi wa kawaida hawakufikiwa na kuhesabiwa. Viongozi wanarindima mitandaoni kuonesha walivyohesabiwa. Ni sensa au siasa? La mwisho, malipo ya makarani yawe wazi: wanalipwa ngapi, lini na kwa namna gani? Kificho ni kitisho

Sensa kwa maendeleo, sensa si upendeleo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kwenda Dodoma)
Sensa ya Wananchi ndiyo siku saba ila tarehe 23 ni maalum kwa wanasihasa na watawala.Siku hiyo ya 23 ikawa siku ya mapumziko,vipi hizo siku 6 za kutuhesabu sisi wenyenchi zitakuwa ni siku za kazi iendelee?
CCM imeuharibu na huu mchakato kama kawaida yao!
 
Kama watanzania, tulijiandaa kuhesabiwa jana tarehe 23 Agosti, 2022. Mambo yamekuwa si mambo. Nilikuwa nyumbani kwangu Sombetini, Arusha tangu asubuhi hadi usiku. Nikawasubiri Makarani wa sensa bila mafanikio. Sikuhesabiwa.

Sitaki kusema mengi. Sitaki kuonekana nachonga kwa mambo ya kitaifa kama haya ya sensa. Mambo ya sensa ni mambo ya kisasa. Ni mambo muhimu kuliko ndimu kwenye maendeleo ya taifa letu. Lakini, kama kawaida yetu, siasa imeiingilia sensa yetu na kuitishia kuiharibu bila aibu.

Sensa yetu imegeuka uwanja wa kisasa wa siasa. Kwanza, siasa ilianza kwenye kuwapata Makarani. CCM yetu ikateka mchakato na 'kuteua' Makarani tuliowataka. Pili, matangazo yote ya sensa yalituma ujumbe mmoja wa wazi: Sensa ingefanyika tarehe 23 Agosti, 2022.

Hawafiki watanzania mia waliojua kuwa sensa ingefanyika kwa siku saba. Nani alipaswa kutuambia mapema na kutuelewesha bila kutulewesha kuhusu hili? Hakutimiza wajibu wake? Tumfanyaje? Pia, utitiri wa maswali ya sensa unasemwa kupunguza kasi ya zoezi la sensa.

Halafu, ni kama jana wamehesabiwa viongozi tu na 'wenye majina' huko mitaani. Asilimia kubwa ya wananchi wa kawaida hawakufikiwa na kuhesabiwa. Viongozi wanarindima mitandaoni kuonesha walivyohesabiwa. Ni sensa au siasa? La mwisho, malipo ya makarani yawe wazi: wanalipwa ngapi, lini na kwa namna gani? Kificho ni kitisho

Sensa kwa maendeleo, sensa si upendeleo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kwenda Dodoma)
Nadhani kuna baadhi ya wananchi hawatohesabiwa kama serikali inavyotoa maneno ya matumaini kwenye vyombo vya habari na mitandaoni. Siasa za Siasa!
 
Kama watanzania, tulijiandaa kuhesabiwa jana tarehe 23 Agosti, 2022. Mambo yamekuwa si mambo. Nilikuwa nyumbani kwangu Sombetini, Arusha tangu asubuhi hadi usiku. Nikawasubiri Makarani wa sensa bila mafanikio. Sikuhesabiwa.

Sitaki kusema mengi. Sitaki kuonekana nachonga kwa mambo ya kitaifa kama haya ya sensa. Mambo ya sensa ni mambo ya kisasa. Ni mambo muhimu kuliko ndimu kwenye maendeleo ya taifa letu. Lakini, kama kawaida yetu, siasa imeiingilia sensa yetu na kuitishia kuiharibu bila aibu.

Sensa yetu imegeuka uwanja wa kisasa wa siasa. Kwanza, siasa ilianza kwenye kuwapata Makarani. CCM yetu ikateka mchakato na 'kuteua' Makarani tuliowataka. Pili, matangazo yote ya sensa yalituma ujumbe mmoja wa wazi: Sensa ingefanyika tarehe 23 Agosti, 2022.

Hawafiki watanzania mia waliojua kuwa sensa ingefanyika kwa siku saba. Nani alipaswa kutuambia mapema na kutuelewesha bila kutulewesha kuhusu hili? Hakutimiza wajibu wake? Tumfanyaje? Pia, utitiri wa maswali ya sensa unasemwa kupunguza kasi ya zoezi la sensa.

Halafu, ni kama jana wamehesabiwa viongozi tu na 'wenye majina' huko mitaani. Asilimia kubwa ya wananchi wa kawaida hawakufikiwa na kuhesabiwa. Viongozi wanarindima mitandaoni kuonesha walivyohesabiwa. Ni sensa au siasa? La mwisho, malipo ya makarani yawe wazi: wanalipwa ngapi, lini na kwa namna gani? Kificho ni kitisho

Sensa kwa maendeleo, sensa si upendeleo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kwenda Dodoma)
Mkuu hakika, inapaswa watu kuwajibika kwa hili akianzia bimkubwa wenu huko mbogamboga.
 
Hili zoezi lingekua jepesi kama kazi wangepewa Wajumbe wa nyumba 10. Yani kazi ilikua fupi mno na lingetoa takwimu za uhakika 95%.

Wajumbe wa nyumba 10 (mabalozi) wanawaelewa watu wao na mipaka zaidi kuliko makarani ambao wengi ni wavivu hawatafika kaya zote.
 
Kama watanzania, tulijiandaa kuhesabiwa jana tarehe 23 Agosti, 2022. Mambo yamekuwa si mambo. Nilikuwa nyumbani kwangu Sombetini, Arusha tangu asubuhi hadi usiku. Nikawasubiri Makarani wa sensa bila mafanikio. Sikuhesabiwa.

Sitaki kusema mengi. Sitaki kuonekana nachonga kwa mambo ya kitaifa kama haya ya sensa. Mambo ya sensa ni mambo ya kisasa. Ni mambo muhimu kuliko ndimu kwenye maendeleo ya taifa letu. Lakini, kama kawaida yetu, siasa imeiingilia sensa yetu na kuitishia kuiharibu bila aibu.

Sensa yetu imegeuka uwanja wa kisasa wa siasa. Kwanza, siasa ilianza kwenye kuwapata Makarani. CCM yetu ikateka mchakato na 'kuteua' Makarani tuliowataka. Pili, matangazo yote ya sensa yalituma ujumbe mmoja wa wazi: Sensa ingefanyika tarehe 23 Agosti, 2022.

Hawafiki watanzania mia waliojua kuwa sensa ingefanyika kwa siku saba. Nani alipaswa kutuambia mapema na kutuelewesha bila kutulewesha kuhusu hili? Hakutimiza wajibu wake? Tumfanyaje? Pia, utitiri wa maswali ya sensa unasemwa kupunguza kasi ya zoezi la sensa.

Halafu, ni kama jana wamehesabiwa viongozi tu na 'wenye majina' huko mitaani. Asilimia kubwa ya wananchi wa kawaida hawakufikiwa na kuhesabiwa. Viongozi wanarindima mitandaoni kuonesha walivyohesabiwa. Ni sensa au siasa? La mwisho, malipo ya makarani yawe wazi: wanalipwa ngapi, lini na kwa namna gani? Kificho ni kitisho

Sensa kwa maendeleo, sensa si upendeleo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kwenda Dodoma)
Acha mawazo mgando sensa inafanyika hata kwenye mataifa makubwa sio Tanzania tu na jana hiyo hata wananchi wa kawaida walihesabiwa tatizo la wabongo viongozi wasingehesabiwa mngesema pia
 
Bila shaka hii SENSA inatumika zaidi na viongozi wa kisiasa "just for publicity" ili kuonekana wao ni wazalendo.
Hivi kulikua na umuhimu gani wa kuifanya tarehe 23 kua siku ya mapumziko kama watanzania walio wengi hawatafikiwa siku hiyo??
Lengo kubwa ilikua ni uzinduzi wa sensa maana Sensa haifanyiki Tanzania tu hata nchi za ulaya zinafanya sensa punguzeni kukosoa
 
Unafikiri bila katiba Mpya mambo yatakuwa sawa!!?

Shiriki WIMBO huu;-

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Hapo kwenye malipo hapo,Wilaya ya Ubungo pekee siku kadhaa kabla wazalendo walienda kutoa 8bln cash eti za malipo ya zoezi la sensa kwa Ubungo,just imagine kwa nchi nzima upigaji ukoje!!

Mama kiguru na njia,kazi yake mileages tu za picha na jina lake kila kwenye matukio ya kadamnasi!!
 
Lengo kubwa ilikua ni uzinduzi wa sensa maana Sensa haifanyiki Tanzania tu hata nchi za ulaya zinafanya sensa punguzeni kukosoa
Halafu kuna haja gani ya kuhesabu watu kila baada ya muongo mmoja badala ya kutengeneza mfumo (National Population Register) ikawa kila anaezaliwa,anaehamia, anaehama na anaefariki anarekodiwa?
 
Kama watanzania tulijiandaa kuhesabiwa jana tarehe 23 Agosti, 2022, mambo yamekuwa si mambo. Nilikuwa nyumbani kwangu Sombetini, Arusha tangu asubuhi hadi usiku nikawasubiri makarani wa sensa bila mafanikio, sikuhesabiwa.

Sitaki kusema mengi, sitaki kuonekana nachonga kwa mambo ya kitaifa kama haya ya sensa. Mambo ya sensa ni mambo ya kisasa, ni mambo muhimu kuliko ndimu kwenye maendeleo ya taifa letu. Lakini, kama kawaida yetu, siasa imeiingilia sensa yetu na kuitishia kuiharibu bila aibu.

Sensa yetu imegeuka uwanja wa kisasa wa siasa. Kwanza, siasa ilianza kwenye kuwapata makarani, CCM yetu ikateka mchakato na 'kuteua' makarani tuliowataka. Pili, matangazo yote ya sensa yalituma ujumbe mmoja wa wazi; sensa ingefanyika tarehe 23 Agosti, 2022.

Hawafiki watanzania mia waliojua kuwa sensa ingefanyika kwa siku saba. Nani alipaswa kutuambia mapema na kutuelewesha? Bila kutulewesha kuhusu hili hakutimiza wajibu wake, tumfanyaje? Pia, utitiri wa maswali ya sensa unasemwa kupunguza kasi ya zoezi la sensa.

Halafu, ni kama jana wamehesabiwa viongozi tu na 'wenye majina' huko mitaani. Asilimia kubwa ya wananchi wa kawaida hawakufikiwa na kuhesabiwa. Viongozi wanarindima mitandaoni kuonesha walivyohesabiwa. Ni sensa au siasa? La mwisho, malipo ya makarani yawe wazi; wanalipwa ngapi, lini na kwa namna gani? Kificho ni kitisho!

Sensa kwa maendeleo, sensa si upendeleo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kwenda Dodoma)
Miye nakusabahi TU kwani sijakusoma kitambo Sana. Mengine acha yaende hivyo hivyo huenda yakaboost brain zetu tukazinduka au tukalala zaidi!
 
Kama watanzania tulijiandaa kuhesabiwa jana tarehe 23 Agosti, 2022, mambo yamekuwa si mambo. Nilikuwa nyumbani kwangu Sombetini, Arusha tangu asubuhi hadi usiku nikawasubiri makarani wa sensa bila mafanikio, sikuhesabiwa.

Sitaki kusema mengi, sitaki kuonekana nachonga kwa mambo ya kitaifa kama haya ya sensa. Mambo ya sensa ni mambo ya kisasa, ni mambo muhimu kuliko ndimu kwenye maendeleo ya taifa letu. Lakini, kama kawaida yetu, siasa imeiingilia sensa yetu na kuitishia kuiharibu bila aibu.

Sensa yetu imegeuka uwanja wa kisasa wa siasa. Kwanza, siasa ilianza kwenye kuwapata makarani, CCM yetu ikateka mchakato na 'kuteua' makarani tuliowataka. Pili, matangazo yote ya sensa yalituma ujumbe mmoja wa wazi; sensa ingefanyika tarehe 23 Agosti, 2022.

Hawafiki watanzania mia waliojua kuwa sensa ingefanyika kwa siku saba. Nani alipaswa kutuambia mapema na kutuelewesha? Bila kutulewesha kuhusu hili hakutimiza wajibu wake, tumfanyaje? Pia, utitiri wa maswali ya sensa unasemwa kupunguza kasi ya zoezi la sensa.

Halafu, ni kama jana wamehesabiwa viongozi tu na 'wenye majina' huko mitaani. Asilimia kubwa ya wananchi wa kawaida hawakufikiwa na kuhesabiwa. Viongozi wanarindima mitandaoni kuonesha walivyohesabiwa. Ni sensa au siasa? La mwisho, malipo ya makarani yawe wazi; wanalipwa ngapi, lini na kwa namna gani? Kificho ni kitisho!

Sensa kwa maendeleo, sensa si upendeleo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kwenda Dodoma)
Dhima ya kukusanya takwimu za idadi ya wananchi ni la mhimu sana ila namna linavyofanyika, matumizi ya rasilimali fedha/vifaa na matarajio ya matumizi yake huchakachuliwa kwa sababu binafsi na za kisiasa.

Sheria inathibitisha madhumuni yake hapa chini

1661356186709.png

1661356240622.png
 
Ndugu yangu kwanza nakupongeza kwa uzalendo wako wa kuamua kuwasubiri makarani wa Sensa ili uhesabiwe, pili napenda kukuomba uendeleza uzalendo huo ili makarani wakifika wapate taarifa zote, naomba nikuhakikishie kuwa hakuna atakaye achwa bila kuhesabiwa,

Zoezi hili linatumia mfumo mpya wa teknolojia ukilinganisha na sensa zilizotangulia huko nyuma, hivyo changamoto za hapa na pale Ni kawaida kutokea, lakini zoezi huku mitaani linaendelea vizuri tu,

Mimi Kama kijana niliye huku mitaani na ninayeifuatilia zoezi hili na Kuendelea kuwahamasisha watu kutoa ushirikiano kwa makarani wanasema zoezi linaendelea vizuri tu na ushirikiano wanatoa kwa makarani

Kuhusu sijuwi viongozi kuonekana wakihesabiwa siku ya Jana na kupiga picha ilikuwa Ni njia ya Kuendelea kuwahamasisha watanzania waendelee kutoa ushirikiano na wote tuhesabiwe, ndio maana hukuona siasa zozote maana hili siyo zoezi la kuhesabu wanachama wa chama chochote maana hiyo Ni kazi ya chama husika kujuwa idadi ya wanachama wake, ndio maana uliona hata viongozi wa upinzani wakihamasisha watu wahesabiwe

Nakuomba uungane nami Lucas mwashambwa kumsaidia mh Rais wetu mpendwa kuwahamasisha watanzania waweze kuhesabiwa, ili iwe lahisi kwa mh Rais wetu kupanga mipango ya maendeleo na kibajeti itakayo gusa maisha ya kila mtanzania na makundi yote, kupanga maendeleo ambayo hayatamuacha mtu nyuma
Kwamba mimi nikimuona Mwigulu ama Diamond amehesabiwa ndiyo nitakuwa na moyo ama ari ya kuhesabiwa? Lahasha!

Ni wajinga pekee watahamasika kuhesabiwa baada ya kuona fulani kahesabiwa.
 
Back
Top Bottom