Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?

Dunia nzima inajua election boycott is form of non violent resistance to achieve change. Pasikali call it what you will, non violent resistance is potent weapon for social change.Mapambano yameanza.
 
We Paskali, acha hizo hakuna ushindi mtamu kama wa uwanjani lakini wa mezani hata huwezi kujitapa nao kama vile mngepambana uwanjani na adui yako na ukamshinda.
Kwa vile mechi hizo hazina fixtures, timu zinaingia uwanjani kwa mtindo wa sadakalawe, hivyo hata timu kali ya Daraja la kwanza, inashindanishwa na timu za mchangani kama Ndondo cup. Hata tembo akishindanishwa na sisimizi, ilimwengu unatangaziwa ushindi wa kishindo cha 99.9%!.
P
 
umenikumbusha kuna shule ulitokea mgomo wanafunzi wanadai chakula kibovu. akatokea mmoja kachukua sahani huku anasema kwa sauti mwanaume hasusi basi ikawa kelele mwanaume hasusi huku msosi unaliwa
 
Mkuu hapa si unajirudi? Lkn labda mimi sifahamu lugha ilyoandikwa. Hongera sana kwa kuwa mwana CCM kindakindaki. Adhabu ya kaburi aijuaye ni maiti/aliyekufa
 
Kususia uchaguzi si tabia ya kike wala sio tabia ya kitoto. Lkn na iwe hivyo! kwani hawa sio binadamu? Nadhani huu ni udhalilishaji wa kijinsia na wa kiumri
 
Kwahiyo hapa unaona umefikiria sana yaani,
 
Hata wakisusa uchaguzi utaendelea na mtashinda nadhani itakuwa mia kabisa sa badala mfurahi mnaendelea kuongea mnachotaka ni nn hasa maana mnataka kuua upinza usipokuwepo bado hamfurahi
 
katika waandishi wanaoongozwa na hisi na sio facts ni pamoja na muro na mayala..
ivi bro unafuatilia hizi chaguzi za policcm !!
bro tunza heshima yako usiwaforce watu wakufungulie vinywa..
wanasema unapohisi watu wanakufikiria una matatizo ya akili nafuu ukae kimya ili ku keep the dought kuliko kuongea na kuclear the dought..
huhitaji degree kubaini ufisadi wa babu yako pombe kwenye chaguzi..
huhitaji degree kubaini kwamba safu nzima ya tume ya uchaguzi, wakurugenzi wa halmashauri, polisi wanaosimamia kama wale waliofanya sherehe na makonda..
wote ni makada hai..
jumlisha na kauli ya pombe ya kutoa onyo kwa mkurugenzi yeyote atakayediriki kumtangaza mgombea wa upinzani..
.
gombania nafasi penye dalili ya haki..
dhalimu atakupaje haki yako ?
mbowe walioamua kwenda tume kudai fomu za mawakala walikutana na risasi zilizomuondoa akwilina duniani..bro nafuu ungeuliza mantiki ya kiongozi kukaa kimya ni nini wakati wananchi wake wanapotekwa na magaidi ?
comeback azori
comeback saanane
 
Na hiv ndo itakavyokuwa ccm atakuwa hana kile kivuli ambacho anatumia kuonesha wananchi kuwa ameshinda kwa kishindo so uchaguz unakosa maana hilo ni moja bd kuna mengine tu
 
Na hapa ndipo aliposhindwa kutofautisha mtoa mada nahisi akikuelewa atajirudi
 
Kuna hoja zingine ukiona ni kama kumuona mtoto mdogo anakunya nje ya choo
 

Paskal, paskal paskal tafadhali sana usikere, tunakuheshimu na sifurahi nikiona unatukanwa humu, jirudi na utulize ubongo maana najua ya ndugai yameleta tafrani ktk akili zako
 
Kama unadhano ccm wanashinda sababu wana pesa tupige kura za wazi kama zamani tusimame nyuma ya mgombea ninayemtaka uone kama ccm itapata zaidi ya watu 100 jimbo zima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…