Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?

Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?

Wanabodi,

Hili mada ya swali kuhusu tabia ya kususa, huu mtindo wa kuzira au kususia jambo, sio tabia za kike hizi au sio tabia za kitoto?!.

The Motive Behind Kususa.
Jee ni nini the motive behind kususa, na baada ya kususa, jee hao wasusaji huwa wanakipata kile walichokusudia?!.

Nakumbuka nikiwa mtoto, kususa ni kuonyesha protest ili kupata attention, kisha ubembelezwe!. The motive behind kususa kwingi ni ama ku create attention au kutaka kukomoa.

Tabia hizi za kususa ni tabia za kitoto, zimekuwa zikiendelezwa sana na wanawake, kwa leongo la kukomoa, mfano mke, au mpenzi wako wa kike, akigundua kuwa amesaidiwa katika kumhudumia mtu wake, na yeye anaamua kususa kutoa zile huduma, kwa hoja kuwa nenda ukapate hizo huduma kule kule!.

Au mume ukirudi home umechelewa sana usiku mkubwa karibu na alfajiri, huku umelewa, mke anasusa kukufungulia, mlango eti rudi ukalele huko huko ulikotoka!.


Baadaye ukimbeleza mke, anakusamehe, unafunguliwa mlango, mke anarudi room na kukupiga biti usimguse!, ukiendelea kubembeleza, mambo yanakishwa na life goes back to normal, hivyo kwa sisi wanaume wa Kiafrika wenye tabia za Kiafrika, hii tabia ya kususiwa na kusamehewa, ni kitu cha kawaida sana, wengi wa wasusaji, huwa wanasusa kutokana na hasira, lakini hasira zikipoa, kususa huwa kunaisha.

Kufuatia Kususa Kufanywa na Wanawake Zaidi, Jee Kususa Kisiasa Ni Tabia Za Kike?.
Kufuatia kususa susa kufanywa zaidi na wanawake, jee huku kususa kisiasa sio tabia za kike?!. Tabia za kiume ni kukabili, kupambana, kufight to the end hadi risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu!.

Kususa Kisiasa, Lengo Lake ni Nini?. Jee Kususa, Huku, Kumewahi Kuzaa Matunda?!.
Kuna msemo wa Kiwahili usemao, "ukisusa wenzio twala", jee kuwasusia ngendere shamba la mahindi, kutasaidia au watu walisusa tuu ili wabembelezwe?, na wasipobembelezwa, jee kususa huku kuna faida kwao?!.

Nawatakia Ijumaa Njema.

Paskali

[/QUOTE

uliwainterview NEC bado tunasubiri Interview yako na oppotion parties ili tubalance story then tutakujibu kama kususa ni "kike au kitoto"
 
Wanabodi,

Hili mada ya swali kuhusu tabia ya kususa, huu mtindo wa kuzira au kususia jambo, sio tabia za kike hizi au sio tabia za kitoto?!.

The Motive Behind Kususa.
Jee ni nini the motive behind kususa, na baada ya kususa, jee hao wasusaji huwa wanakipata kile walichokusudia?!.

Nakumbuka nikiwa mtoto, kususa ni kuonyesha protest ili kupata attention, kisha ubembelezwe!. The motive behind kususa kwingi ni ama ku create attention au kutaka kukomoa.

Tabia hizi za kususa ni tabia za kitoto, zimekuwa zikiendelezwa sana na wanawake, kwa leongo la kukomoa, mfano mke, au mpenzi wako wa kike, akigundua kuwa amesaidiwa katika kumhudumia mtu wake, na yeye anaamua kususa kutoa zile huduma, kwa hoja kuwa nenda ukapate hizo huduma kule kule!.

Au mume ukirudi home umechelewa sana usiku mkubwa karibu na alfajiri, huku umelewa, mke anasusa kukufungulia, mlango eti rudi ukalele huko huko ulikotoka!.


Baadaye ukimbeleza mke, anakusamehe, unafunguliwa mlango, mke anarudi room na kukupiga biti usimguse!, ukiendelea kubembeleza, mambo yanakishwa na life goes back to normal, hivyo kwa sisi wanaume wa Kiafrika wenye tabia za Kiafrika, hii tabia ya kususiwa na kusamehewa, ni kitu cha kawaida sana, wengi wa wasusaji, huwa wanasusa kutokana na hasira, lakini hasira zikipoa, kususa huwa kunaisha.

Kufuatia Kususa Kufanywa na Wanawake Zaidi, Jee Kususa Kisiasa Ni Tabia Za Kike?.
Kufuatia kususa susa kufanywa zaidi na wanawake, jee huku kususa kisiasa sio tabia za kike?!. Tabia za kiume ni kukabili, kupambana, kufight to the end hadi risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu!.

Kususa Kisiasa, Lengo Lake ni Nini?. Jee Kususa, Huku, Kumewahi Kuzaa Matunda?!.
Kuna msemo wa Kiwahili usemao, "ukisusa wenzio twala", jee kuwasusia ngendere shamba la mahindi, kutasaidia au watu walisusa tuu ili wabembelezwe?, na wasipobembelezwa, jee kususa huku kuna faida kwao?!.

Nawatakia Ijumaa Njema.

Paskali


uliwainterview NEC bado tunasubiri Interview yako na opposition parties ili tubalance story then tutakujibu kama kususa ni "kike au kitoto"
 
Kinana alivyosema Ukawa imebaki ukiwa baada ya Dr.Slaa na Prof.Lipumba kuondoka...hii ilikuwa siku Dr.Magufuli anaenda kuchukuwa fomu NEC...inahitaji uwe na uwezo mkubwa ili uelewe haya.
we endelea kumnukuu kinana ila lililowazi ni kuwa upinzani utakuwepo bila kujali nani yuko upinzani usijidanganje kwa kuwa hata MUNGU alipata upinzani na wala hakuutokomeza na ndivyo ilitakavyokuwa kwenu ntajitahidi lakini hamtaweza kuzuia UHALISIA WA DUNIA
 
Wanabodi,

Hili mada ya swali kuhusu tabia ya kususa, huu mtindo wa kuzira au kususia jambo, sio tabia za kike hizi au sio tabia za kitoto?!.

The Motive Behind Kususa.
Jee ni nini the motive behind kususa, na baada ya kususa, jee hao wasusaji huwa wanakipata kile walichokusudia?!.

Nakumbuka nikiwa mtoto, kususa ni kuonyesha protest ili kupata attention, kisha ubembelezwe!. The motive behind kususa kwingi ni ama ku create attention au kutaka kukomoa.

Tabia hizi za kususa ni tabia za kitoto, zimekuwa zikiendelezwa sana na wanawake, kwa leongo la kukomoa, mfano mke, au mpenzi wako wa kike, akigundua kuwa amesaidiwa katika kumhudumia mtu wake, na yeye anaamua kususa kutoa zile huduma, kwa hoja kuwa nenda ukapate hizo huduma kule kule!.

Au mume ukirudi home umechelewa sana usiku mkubwa karibu na alfajiri, huku umelewa, mke anasusa kukufungulia, mlango eti rudi ukalele huko huko ulikotoka!.


Baadaye ukimbeleza mke, anakusamehe, unafunguliwa mlango, mke anarudi room na kukupiga biti usimguse!, ukiendelea kubembeleza, mambo yanakishwa na life goes back to normal, hivyo kwa sisi wanaume wa Kiafrika wenye tabia za Kiafrika, hii tabia ya kususiwa na kusamehewa, ni kitu cha kawaida sana, wengi wa wasusaji, huwa wanasusa kutokana na hasira, lakini hasira zikipoa, kususa huwa kunaisha.

Kufuatia Kususa Kufanywa na Wanawake Zaidi, Jee Kususa Kisiasa Ni Tabia Za Kike?.
Kufuatia kususa susa kufanywa zaidi na wanawake, jee huku kususa kisiasa sio tabia za kike?!. Tabia za kiume ni kukabili, kupambana, kufight to the end hadi risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu!.

Kususa Kisiasa, Lengo Lake ni Nini?. Jee Kususa, Huku, Kumewahi Kuzaa Matunda?!.
Kuna msemo wa Kiwahili usemao, "ukisusa wenzio twala", jee kuwasusia ngendere shamba la mahindi, kutasaidia au watu walisusa tuu ili wabembelezwe?, na wasipobembelezwa, jee kususa huku kuna faida kwao?!.

Nawatakia Ijumaa Njema.

Paskali
iNA MAANA HATA MAMA YAKO ANA TABIA YA KUSUSA,INA MAANA HATA MKULU NAYE ANA TABIA YA KIKE KUSUSA KWENDA NJE YA AFRICA,KAMA ULIDHANI UNAANDIKA POST HII ILI UPEWE UKUU WA WILAYA UNAZIDI KUJIHARIBIA TABIA ZA KUSUSA NI ZA KIKE ILA TABIA ZA KINAFIKI KAMA ZAKO NI ZA WACHAWI OVER AND OUT!
 
kWA MTAZAMO WAKO UNADHANI TANZANIA TUNAFANYA UCHAGUZI WA VYAMA VINGI KWA SASA AU NI UCHAGUZI WA CCM NA KURA ZAO ZA NDIO/HAPANA???? KUNA JAMBO LINAHITAJI KUSAHIHISHWA KWANZA KABLA YA KUINGIA KATIKA UCHAGUZI.
Pande zote mbili Hata wapiga kura ni tatizo (Njaa,umaskini na kuto jitambua) Nilitaka kusahau hata Viongozi wetu ambao hawana msimamo ni chanzo kipya cha sinto fahamu
 
Naku buku mambo yako pascal. " kuzira ni Tabia za ki toto au za kike ?"
Jamaa angaliA akili zako au huna mtoto au mtoto wako anatabia ya kuzira ?
Au huna mama? Au mama yako anatabia ya ku zira?
Mind your language.
 
Naona mambo ya kususa yanarudi!.
Watu wakisusa, wengine twala!.

Ila uamuzi huu wa Chadema ni wa busara, kwa chaguzi zote za maradio, nashauri sio tuu Chadema wajitoe, bali vyama vyote wajitoe ili CCM ipite bila kupingwa tuokoe muda, fedha, rasilimali za taifa na kitu kikubwa zaidi, tuokoe machozi, jasho na damu zenye roho za Watanzania.

P.
 
Paschal yaonekana nawe uko pamoja na Prince Makonda na Mapolisi wake wanaofurahia 'USHINDI'.
Hivi huoni kuwa CDM wakisusa ndio mtafaidi ushindi pasi kelele za mpinzani wenu ambae hata hivyo, hakuwa na uwezo wa kurusha hata teke kwa vile kafungwa mikono na miguu yote akiwa katika pambano? WALA Hamtahitaji tena kushangilia mkiwa na slilaha kiunoni kwani hatokuwepo.
Ana haja gani kuwepo wakati kuna maagizo rasmi ya Mfalme Jiwe kuhusu anaetakiwa kutangazwa kuwa 'mshindi'?
Ndg yangu ukiwa umeishaanza kulewa 'mafanikio' ya huko jitahidi basi japo kuacha kutoa ushauri wa kichawi. Eti wakatoe hoja kwa Mfalme Jiwe asiejaribiwa, kushauriwa wala kupangiwa? Siamini kama unategemea kutiliwa maanani. Angekuwa ni yule Paschal wa kabla ya kuitwa na kuhojiwa na mhimili ulopokwa mamlaka yake, labda pangekuwa na busara kidogo kukusikiliza. Amen.
 
Wanabodi,

Hili mada ya swali kuhusu tabia ya kususa, kisiasa, huu mtindo wa kuzira au kususa susa, kususia kila jambo usilokubaliana nalo, sio tabia za kike hizi?, au sio tabia za kitoto?!. Mtu unasusia jambo fulani la kisiasa, ili upate nini?. Kususia jambo lolote la kisiasa bila kupiga hesabu ya what do you want to achieve na kususa huko, sio political suicide?.

The Motive Behind Kususa.
Jee ni nini the motive behind kususa jambo fulani, una susa ili uachieve nini, na baada ya kususa, jee hao wasusaji huwa wanakipata kile walichokusudia?!. Kususa jambo fulani bila malengo, sio tuu ni utoto, bali ni ujinga, kwa sababu ni sawa na kumsusia ngedere shamba la mahindi!, utayavuna mabua!.


My Take. (Maoni Yangu).
Kususia kushiriki uchaguzi sio suluhisho, huku ni kujiua kabisa kisiasa, dawa ni kujenga hoja madhubuti na kukaa mezani kuzungumza, vingine tuitumie mahakama yetu kuzifumua sheria kandamizi za uchaguzi ili zituletee uchaguzi huru na wa haki.


1. Tume yetu ya Uchaguzi NEC, japo sio inclusive lakini ni Tume Huru, licha ya kuteuliwa na rais ambaye ni Mwenyekiti wa chama kimojawapo, kwa uhuru ule ule wa Mahakama zetu ambazo majaji huteuliwa na rais huyo huyo ambaye pia humteua Mtendaji Mkuu wa Bunge letu. Kama Bunge limeweza kuwa huru kwa mfumo huu, na Mahakama ni huru, hata Tume pia ni huru, ila ionekane kuwa huru, something more needs to be done kwenye Tume Hii.
2. Sheria yetu ya uchaguzi, ina mapungufu makubwa yanayohitaji kufanyiwa marekebisho ili kutoa ushindani wa haki. Tusiilaumu Tume kwa chochote kinachotokea kwa sababu Tume inatekeleza sheria zilizopo, kama ni sheria kandamizi, ni kosa la sheria na aliyezitunga na sio kosa la mtekelezaji.
3. The political game playing field is not level, we need to create a level playing field ili kupata ushindani wa haki. Hili nalo ni tatizo la kikanuni, mfano uchaguzi wa 2020, kuna mgombea mmoja anaingia kwenye kinyanganyiro na vingora, msafara, media, na wasaidizi kibao, huku budget yake is fully footed by state, ashindane na makapuku!, unategemea nini?. Tangu tumeanza uchaguzi wa vyama vingi, kuna chama dola kinashindana na vyama makapuku!.
4. Now it's high time vyama vya siasa, vianze kutake responsibilities kwa matokeo ya utendaji wa vyama vyetu kwenye chaguzi mbalimbali, kwa kukubali kushiriki uchaguzi katika mazingira haya, na tukishindwa kihalali kwenye sanduku la kura, katika uchaguzi huru na wa haki, tukubali matokeo, na sio kutafuta visingizio.
5. Lazima tufike mahali, kwa pale ambapo uchaguzi ulikuwa huru na wa haki licha ya kasoro za hapa na pale, ambazo hazitaathiri, matokeo ya jumla ya uchaguzi huo, tujifunze kukubali matokeo na kushindwa kihalali, asiyekubali kushindwa sio mshindani. Kisha turudi nyuma kujitathmini where did we go wrong. Tulipaswa kufanya nini ili kupata ushindi katika mazingira kama haya.
Conclusion.
The bitter reality kwa wapenda demokrasia wa kweli wa mfumo wa vyama vingi nchini, mimi nikiwemo, tumeshuhudia hali hii ndio uwezo wa ushindani kwa vyama vyetu vya upinzani nchini Tanzania ndio umefikia hapa baada ya miaka 26 ya vyama vingi, naweza kusema kuwa this is the peak ya upinzani Tanzania, upinzani Tanzania, ndio imefika mwisho wake sasa!. Sasa tuanze kujiuliza, jee kama hali ni hii sana, je hali itakuwaje kwa uchaguzi wa 2020?. Kama wapinzani hawatabadili mbinu na strategies, za namna ya kushindana na CCM kwenye ushindani usio sawa kupitia sanduku la kura, then, uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kuna hatari kubwa kwa CCM, kuyarejesha majimbo yote ya uchaguzi yaliyokuwa yanashikiliwa na upinzani, hivyo kuirudisha Tanzania kuwa ni nchi rasmi ya chama kimoja cha siasa, something which is not healthy at all to true modern democracy!.


Hongereni sana CCM kwa ushindi mtamu.
Poleni sana Chadema/Ukawa kwa kupoteza majimbo, wabunge na madiwani.


Tanzania kama taifa, tujipe pole kwa gharama kubwa za chaguzi hizi, ila tuombe sana Mungu alisaidie taifa letu kama gharama hizi za uchaguzi wa kinachoitwa demokrasia ya uchaguzi huru na wa haki, zinajumuisha, machozi, jasho na damu za Watanzania, kwa kugharimiwa na damu na roho za Watanzania, hakuna namna nyingine yoyote ya fidia kwa damu za watu na roho za watu, zaidi vya karma!'

Nawatakia Furahi Day ya Ijumaa Njema.

Wasalaam.

Paskali

Rejea za kuhusu Kususa.
Baada ya uchaguzi wa 2010, Chadema ilisusia matokeo na kujidai kuwa hawamtambui JK, ila bunge tuu lilipoanza, niliibua mjadala huu
Chadema Yakubali Yaishe! Yamtambua Rais!, Yampongeza Rais!.


Matokeo ya Chadema Kususia Hotuba ya JK na Kuapishwa kwa Pinda

Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?.

Uchaguzi wa 2015 Ukawa wakadai Lowassa ndie mshindi, hivyo wakajifanya kususa, na kutomtambua Magufuli, mimi niliwapa ushauri ufuatao
Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali ya Magufuli ni Serikali Haramu. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!.


Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa kimya, Mungu ndiye akupiganie!

CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima! Vinginevyo, huo ndio mwisho wake - JamiiForums

Hatimaye CUF 'Wameridhia' Rasmi, Kushiriki Uchaguzi Wa Marudio Zanzibar!. - JamiiForums

Japo umegharimiwa kwa machozi, jasho na damu, ulikuwa huru na wa haki!. Hongera CCM, CHADEMA poleni!. Mungu saidia Tz - JamiiForums

Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM! - JamiiForums

Mkuu nina kaswali kadogo, unamaanisha "tabia za kike na utoto" ni vitu sawasawa?
 
Mkuu The Big Boss, naomba nikuhakikishie katika maisha yangu yote, sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa. Paskali, hanunuliki na yeyote kwa lolote kwa sababu hana price tag. Mimi ni priceless, sio CCM wa Chadema, wala Ukawa, wala Lowassa wala Magufuli, ana uwezo wa kuninunua, kwa sababu I'm not for sale, na sina any price tag!.

Naomba uniamini hili ni swali tuu, nimeuliza hawa wanaosusa, wamesusa ili wapate nini?!.

Ni swali tuu.

Paskali

Mkuu Paskali, nawezekana kweli huna bei ya kununuliwa kwa fedha lakini umenunuliwa kwa kujazwa hofu na kuogopa kukemea uzandiki unaofanywa na CCM na utawala wa JPM kwa ujumla. Ndo maana hata unao ujasiri na hata wa kupongeza kile kinachoitwa eti ni ushindi mtamu. SERIOUSLY, mtu asiye na price tag anaweza kupongeza ushenzi uliofanyika Ukonga na Monduli na hata katika hizo kata zingine? Paschal kwa kweli bado maandiko yako hayana hata asilimia ndogo ya objectivity, bali yamelalia upande mmoja kwa uwazi kabisa.

Nije kwenye hoja yako ya kususa, KUSUSIA shughuli yoyote ambayo ina washiriki mbalimbali hasa inayosimamiwa na mamlaka inayopaswa kuwa impartial (kutokuwa na upande) kunalenga kuinyima uhalali shughuli hiyo. Na kwa mamlaka inayojitambua hujitafakari na kuja mezani kusikiliza upande wenye malalamiko. Ila katika siasa za Afrika, na hasa kwa Tanzania ambapo kumejaa ushamba wa madaraka, na viongozi kutawala kwa maslahi yao badala ya maslahi ya watu linaweza kuonekana halina maana na kuitwa majina yoyote mabaya, kama utoto, tabia ya kike na mengine. Lakini sio kweli hata kidogo, katika mazingira ambapo kuna utawala bora na mamlaka ziko huru tusingefikia huku hata kidogo.
 
Mkuu nina kaswali kadogo, unamaanisha "tabia za kike na utoto" ni vitu sawasawa?
Nimeeleza kuna kususa kwa utoto, kuzira lengo ni attention seeking.
Kuna kususa kwa wanawake ambao ni kunyima huduma ili kukomoa, na huisha kwa kubembelezwa na kupoozwa.
Kuna kugoma rasmi ambapo unatanguliza madai, yasipotekelezwa, ukigoma mgomo huo unaleta athari.
Ukisusia kitu ambacho kususa huko hakuna athari yoyote, ni sawa na kumsusia ngedere shamba la mahindi.
Ili kususa kuwe na maana, lazima kususa huko kuwkuwara na malengo ambayo umepanga to achieve.
P
 
Mkuu Nginana, kwanza asante kwa elimu hii kuhusu boycott, kwenye maelezo yangu awali nilisema boycott ya watoto ni to seek attention, na boycott ya wanawake ni kutaka kubembelezwa!. Tanzania tuliposusa, zile zilikuwa ni enzi za 'cold war', sasa tuko kwenye era nyingine na dunia nyingine!. Huu sasa ni wakati wa 'result oriented decisions', na sio wakati wa kususa tuu kutaka attention, then what?, kususa bila ku achieve anything tangible is a waste!. Jee unaweza kunisaidia Tanzania tuliposusa, tuliachieve nini?!.

Politics is a game, na rules of the game zinaeleweka, kama mechi imepangwa, usipopeleka timu uwanjani, aliyepeleka timu, anapewa ushindi wa mezani!. Nimeuliza huku kususa kisiasa, kususia uchaguzi halali, lengo lake ni nini?!, what do they want to achieve?!.

Paskali

We Paskali, acha hizo hakuna ushindi mtamu kama wa uwanjani lakini wa mezani hata huwezi kujitapa nao kama vile mngepambana uwanjani na adui yako na ukamshinda.
 
Wanabodi,

Hili mada ya swali kuhusu tabia ya kususa, kisiasa, huu mtindo wa kuzira au kususa susa, kususia kila jambo usilokubaliana nalo, sio tabia za kike hizi?, au sio tabia za kitoto?!. Mtu unasusia jambo fulani la kisiasa, ili upate nini?. Kususia jambo lolote la kisiasa bila kupiga hesabu ya what do you want to achieve na kususa huko, sio political suicide?.

The Motive Behind Kususa.
Jee ni nini the motive behind kususa jambo fulani, una susa ili uachieve nini, na baada ya kususa, jee hao wasusaji huwa wanakipata kile walichokusudia?!. Kususa jambo fulani bila malengo, sio tuu ni utoto, bali ni ujinga, kwa sababu ni sawa na kumsusia ngedere shamba la mahindi!, utayavuna mabua!.


My Take. (Maoni Yangu).
Kususia kushiriki uchaguzi sio suluhisho, huku ni kujiua kabisa kisiasa, dawa ni kujenga hoja madhubuti na kukaa mezani kuzungumza, vingine tuitumie mahakama yetu kuzifumua sheria kandamizi za uchaguzi ili zituletee uchaguzi huru na wa haki.


1. Tume yetu ya Uchaguzi NEC, japo sio inclusive lakini ni Tume Huru, licha ya kuteuliwa na rais ambaye ni Mwenyekiti wa chama kimojawapo, kwa uhuru ule ule wa Mahakama zetu ambazo majaji huteuliwa na rais huyo huyo ambaye pia humteua Mtendaji Mkuu wa Bunge letu. Kama Bunge limeweza kuwa huru kwa mfumo huu, na Mahakama ni huru, hata Tume pia ni huru, ila ionekane kuwa huru, something more needs to be done kwenye Tume Hii.
2. Sheria yetu ya uchaguzi, ina mapungufu makubwa yanayohitaji kufanyiwa marekebisho ili kutoa ushindani wa haki. Tusiilaumu Tume kwa chochote kinachotokea kwa sababu Tume inatekeleza sheria zilizopo, kama ni sheria kandamizi, ni kosa la sheria na aliyezitunga na sio kosa la mtekelezaji.
3. The political game playing field is not level, we need to create a level playing field ili kupata ushindani wa haki. Hili nalo ni tatizo la kikanuni, mfano uchaguzi wa 2020, kuna mgombea mmoja anaingia kwenye kinyanganyiro na vingora, msafara, media, na wasaidizi kibao, huku budget yake is fully footed by state, ashindane na makapuku!, unategemea nini?. Tangu tumeanza uchaguzi wa vyama vingi, kuna chama dola kinashindana na vyama makapuku!.
4. Now it's high time vyama vya siasa, vianze kutake responsibilities kwa matokeo ya utendaji wa vyama vyetu kwenye chaguzi mbalimbali, kwa kukubali kushiriki uchaguzi katika mazingira haya, na tukishindwa kihalali kwenye sanduku la kura, katika uchaguzi huru na wa haki, tukubali matokeo, na sio kutafuta visingizio.
5. Lazima tufike mahali, kwa pale ambapo uchaguzi ulikuwa huru na wa haki licha ya kasoro za hapa na pale, ambazo hazitaathiri, matokeo ya jumla ya uchaguzi huo, tujifunze kukubali matokeo na kushindwa kihalali, asiyekubali kushindwa sio mshindani. Kisha turudi nyuma kujitathmini where did we go wrong. Tulipaswa kufanya nini ili kupata ushindi katika mazingira kama haya.
Conclusion.
The bitter reality kwa wapenda demokrasia wa kweli wa mfumo wa vyama vingi nchini, mimi nikiwemo, tumeshuhudia hali hii ndio uwezo wa ushindani kwa vyama vyetu vya upinzani nchini Tanzania ndio umefikia hapa baada ya miaka 26 ya vyama vingi, naweza kusema kuwa this is the peak ya upinzani Tanzania, upinzani Tanzania, ndio imefika mwisho wake sasa!. Sasa tuanze kujiuliza, jee kama hali ni hii sana, je hali itakuwaje kwa uchaguzi wa 2020?. Kama wapinzani hawatabadili mbinu na strategies, za namna ya kushindana na CCM kwenye ushindani usio sawa kupitia sanduku la kura, then, uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kuna hatari kubwa kwa CCM, kuyarejesha majimbo yote ya uchaguzi yaliyokuwa yanashikiliwa na upinzani, hivyo kuirudisha Tanzania kuwa ni nchi rasmi ya chama kimoja cha siasa, something which is not healthy at all to true modern democracy!.


Hongereni sana CCM kwa ushindi mtamu.
Poleni sana Chadema/Ukawa kwa kupoteza majimbo, wabunge na madiwani.


Tanzania kama taifa, tujipe pole kwa gharama kubwa za chaguzi hizi, ila tuombe sana Mungu alisaidie taifa letu kama gharama hizi za uchaguzi wa kinachoitwa demokrasia ya uchaguzi huru na wa haki, zinajumuisha, machozi, jasho na damu za Watanzania, kwa kugharimiwa na damu na roho za Watanzania, hakuna namna nyingine yoyote ya fidia kwa damu za watu na roho za watu, zaidi vya karma!'

Nawatakia Furahi Day ya Ijumaa Njema.

Wasalaam.

Paskali

Rejea za kuhusu Kususa.
Baada ya uchaguzi wa 2010, Chadema ilisusia matokeo na kujidai kuwa hawamtambui JK, ila bunge tuu lilipoanza, niliibua mjadala huu
Chadema Yakubali Yaishe! Yamtambua Rais!, Yampongeza Rais!.


Matokeo ya Chadema Kususia Hotuba ya JK na Kuapishwa kwa Pinda

Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?.

Uchaguzi wa 2015 Ukawa wakadai Lowassa ndie mshindi, hivyo wakajifanya kususa, na kutomtambua Magufuli, mimi niliwapa ushauri ufuatao
Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali ya Magufuli ni Serikali Haramu. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!.


Ushauri wa Bure kwa Lowassa: Hata kama ni kweli uliibiwa kura; Kaa kimya, Mungu ndiye akupiganie!

CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima! Vinginevyo, huo ndio mwisho wake - JamiiForums

Hatimaye CUF 'Wameridhia' Rasmi, Kushiriki Uchaguzi Wa Marudio Zanzibar!. - JamiiForums

Japo umegharimiwa kwa machozi, jasho na damu, ulikuwa huru na wa haki!. Hongera CCM, CHADEMA poleni!. Mungu saidia Tz - JamiiForums

Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM! - JamiiForums
Kipindi cha kutafuta UDC ila sasa umekua ila ukweli kama auna nyenzo ya kumfanya anayekuonea aache kukuonea na kila siku anakwambia tupo sawa ni bora kuacha kushirikiana naye.Kwahi hakuna hoja kuwa kususa kuzira ni tabia za kike.
 
Back
Top Bottom