Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenda kwa mganga ni sahihi, kwemda kwa mchawi ndiyo hairuhusiwi. Kiswahili hata daktari anaitwa mganga.
Huwa napenda sna kusoma mchango wako, kuhusu haya mambo upo vzuri mno.kwa mganga hawashangai kwasababu ni sawa na ule usemi usemao "rudi nyumbani kumenoga!" ama ule usemao "kurudisha mpira kwa kipa!"
Dini ni tamaduni ambazo zimechanganyika na imani, Africa uislamu na ukristo ni tamaduni na imani za kurithi si chimbuko asili la Africa na ndio maana wengi wao huzirudia pale wanapopatwa na shida ambazo sehemu nyengine hazikutatuliwa!.
Na moja kati ya sifa ya imani na tamaduni ni huwa zina jilinda ili kutoingiliana na tamaduni nyengine na ziweze kuishi tena kesho ijayo, ndio maana ukienda kwa wakristo watakuambia uganga ni mmbaya, waislamu watakuambia pia ukristo ni mmbaya, sawasawa na uganga pia haupatani na hizo imani mbili pia!.
Binafsi sina hakika kama uganga, ukristo na uislamu unaweza kutatua shida zetu!, zaidi zaidi yakuigawa jamii tu!, ulimwengu wakiroho nafikiri ni wakufikirika tu.. kama imani hizo zingekuwa zinatatua mambo kama tunavyoaminishwa basi kuna vingi sana visingekuwa kama tunavyoviona,kuvielewa na kuenenda.
ahsante mkuuHuwa napenda sna kusoma mchango wako, kuhusu haya mambo upo vzuri mno.
Mganga , sangoma, mchawi ni wale wale!Kwenda kwa mganga ni sahihi, kwemda kwa mchawi ndiyo hairuhusiwi. Kiswahili hata daktari anaitwa mganga.
Mimi ni Muislam na najivunia Uislam wangu.
Sio tu wewe kujivunia uislam, Dunia nzima inajivunia uislam maana isingekuwa uislam dunia nzima wangekuwa makafir na ghadhahu ya Mungu ingewashukiaKwenda kwa mganga ni sahihi, kwemda kwa mchawi ndiyo hairuhusiwi. Kiswahili hata daktari anaitwa mganga.
Mimi ni Muislam na najivunia Uislam wangu.
Mganga na hao wengine sio sawa mzeeMganga , sangoma, mchawi ni wale wale!
Kwamba kuna waislamu safi tena wacha Mungu, hilo halina ubishi.
Tunaishi nao mitaani.
Ni kama kusema peni na penseli, zote zinaandika!Mganga na hao wengine sio sawa mzee
Haya ni matokeo ya kugombania waumini pamoja na baadhi ya misingi ya baadhi ya imani hizo
Waganga nao wanamuomba MunguKanisani haifai kwa mganga inategemea unaenda kufanya kipi hasa
Sawa zinaandika ila sio sawaNi kama kusema peni na penseli, zote zinaandika!
Hata asiekua mganga pia anamuomba munguWaganga nao wanamuomba MunguView attachment 3150212View attachment 3150213