Swali kwa Ayubu Rioba: Siku hizi sera ya Taifa inaruhusu taasisi za kidini kunufaika na fedha za walipa kodi kupitia TBC?

Ryoba alimsapoti Mwendazake kwenye uovu wake, toka siku hiyo namuona kama shetani tu.
Hata rais wetu Mama Samia alisapoti na ndio maana aliendelea kuwepo serikalini kama makamo hakujiondoa.
 
Navyozidi kukusoma naona unaongeza vitu vinavyoujaza vizuri uzi wako, suala la kila dini iwe na TV station yake linawezekana, mfano Catholic wana Radio Maria, na Waislam wana TV Iman kama sijasokea.

Unachojaribu kusema hapa ni kwamba inapotokea waumini wa hizo dini/dhehebu wakataka kusikiliza/tazama mafundisho ya dini yao wanatakiwa ku- tune specific tv station/radio yao.

Lakini sio hayo mafundisho kuyapeleka kwenye public TV station na kuwalazimisha hata wasiotaka kuyatazama (regardless wanalipa kodi coz bado wapo wanaolipa kodi na hawaoneshwi eg. ATR) hapa nimekuelewa una hoja ya msingi, wanatakiwa wote wapigwe chini.
 
Hili unalolitaja ni mfano mwingine wenye kuonyesha jinsi mazoea yetu yanavyokiuka Katiba ya nchi hata katika matukio ambako mtu aliyeahidi kulinda katiba hiyo yupo pale.

Uhalali wa kazi za serikali hautokani na sala za dini yoyote.

Uhalali wa kazi za Bunge hautokani na sala za dini yoyote.

Uhalali wa kapo cha uaminifu kabla mteule hajaanza kazi katika ofisi ya umma hautokani na msahafu wa dini yoyote.

Katiba ya nchi ndio msahafu pekee inaotosha.
 
OK sawa.
vipindi vya dini vimeanza kurusha Leo? Au Kwakua Leo kilirushwa kipindi cha Wasiotumia lugha ya kiswahili
 
OK sawa.
vipindi vya dini vimeanza kurusha Leo? Au Kwakua Leo kilirushwa kipindi cha Wasiotumia lugha ya kiswahili
Rejea jawabu hili hapa:

 
Sijajua unamtukana mtoa mada au wakatoliki! Likini mbona unatukana!

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Chuki itakuua mb*wa wewe
 
Kwa mtazamo wangu tatizo hapo ni chuki ya dini fulani. Huwezi kumlazimisha mtu atumie lugha fulani katika imani yake.
Wengine imani zao haziruhusu tarumbeta lakini zinapigwa mara nyingi hasa brass band. Hapo inakuaje
Wengine imani zao haziruhisu misalaba,wengine wanaingia nayo TBC

Tofauti katika imani zetu ninyingi mno,hatuziangalii hizo tunaagalia mamboyatakayo tufikisha kwenye kufikia malengo ya nchi
Tusizipalilie tofauti zetu
 
Kwanini haudai Siku za Weekend Iwe Jumatatu na Jumanne?.
Maana J'mosi na J'pili ni Siku za Dini Fulani au hili haliihitaji tochi au sababu upo ndani ya Sikh hizi za ibada
 
Mi Mkatoliki ila nimependa Uislam kwa ajili ya Rais wetu Mpya Samia Suluhu anachofanya
 
Kwanini hikuhoji hayo wakati wa JPM na hata tulipokuwa na vipindi maalum kwa ajili ya msiba wa mzee MOI?
 
Waliamua kuwepo utamaduni wa kuapq ukiwa umeshika kitabu cha dini sio wajinga.

Walioamua Mungu ahusishwe katika kiapo cha kisiasa walijua wanafanya nyinyi.

Huwezi kumkwepa Mungu ukafanikiwa.
 
Bila kupepesa macho mleta mada ana element za kidini.
Hili suala la dini kila siku limekuwa likikemewa, maana ukibagua dini A utamaliza.

Ukishamaliza unabaki wewe na dini B, utaanza kusema huyu dhehebu fulani.
Ubaguzi wa aina yoyote/dini haukubaliki. Maana dhambi yake huwa ni daima
 
Unapaswa kuhoji vingi aisee, kiapo, Sala ya kikatoriki ya kufungua bunge, wimbo wa Taifa n. k japo sikuelewa ulipohusisha lugha ya kiarabu na kutoeleweka kwa wakristo na wengine wasio kuwa waislam, bahati mbaya sana hukuyasema haya zilipotumika billion za pesa kwenye mazishi ya kikristo ya baba wa Taifa, mazishi ya kikristo ya Benjamin mkapa na hata yale ya juzi ya JPM ambapo television zote zilipambwa na maombolezo ya kikristo na wakalipwa wasanii kuimba kwaya za kikristo kwa mamilioni
 
Tuliza mshono wewe..jibu hoja?acha mihemuko mtoto wa muamedi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimsingi hivyo vipindi vya dini vitolewe kwenye taasisi zote za umma..sio TBC tu hata mashuleni..kuleta inshu za udini kwenye taasisi za umma ni kugawa taifa..kwanza taasisi za dini hazilipi kodi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…