Swali kwa Jaji Mkuu: Je, ni haki kwa kina Rostam Aziz kutozwa faini badala ya kifungo lakini kina Mbarikiwa kupewa kifungo badala ya faini?

Undumilakuwili huu unazitia doa mahakama za Tanzania, ambazo utendaji kazi wake unasimamiwa na Jaji Mkuu. Hivyo, tunatoa wito kwako Mheshimwa Jaji Mkuu: tunaomba ulinde heshima ya Mhimili muhimu unaoitwa Mahakama kwa kufuta undumilakuwili huu.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo wewe sasa unampangia hakimu namna ya kuhukumu?
Sio kupangiwa haki ipo kwenye mizani! Lipi kosa kubwa hapa:-
Kupatikana na hatia ya ujangili adhabu= Faini.

Kupatikana na hatia ya kuanzisha kanisa kabla hujapata kibari adhabu = kifungo miaka 3 bila kufikiria kumpa adhabu ya faini
Kwa heshima na taadhima niseme tu kuwa yatupasa kuliombea Taifa.
 
Hizo picha ulizoweka ni uongo mtupu, defamation.


Nenda kaisome sheria ya "plea bargain", kama wewe a mchungaji wako mmeshindwa na hamkujuwa kuitumia, wenzenu walijuwa kuitumia.

Ndugu yako wewe akifanya kosa uhukumiwe wewe au sivyo?
 
He! Ongeza nyama kidogo
Mwishoni mwa miaka ya 80 padri Mzungu wa Mtwara alihukumiwa kwenda jela kifungo cha siku 1 baada ya kupatikana na hatia.

Siku chache zilizofata mbunge wa Songea mjini nae akala miaka 8 kwa kosa hilohilo ka kukutwa na meno ya tembo.

Kwa hiyo usishangae binadamu wote hatuko sawa na hivyo hakuna usawa
 
AWAMU ya Tano watu walisema Kuwa Magufuri alikua dictator ambaye alikua hataki akosolewe, akapita imekuja hii AWAMU hii Sasa ndo tumeshuhudia mambo mengi ya ajabu mno kama Taifa tunaenda Wrong direction, huwez funga uhuru wa watu wakati huo katiba inawaruhusu, Je! Hiyo katiba ipo kwa ajili ya masikini tu syo wanasiasa!! Na matajiri. Hivyo kwa sheria zipo kwa ajili ya masikini.

Zumaridi amepatikana na makosa ya Biashara za Binadamu Huku akichukua watoto wadogo akiwafanya mazombie!! Lakin mtu huyo baada ya mda mfupi kachiwa, Na wakina Mwamposa wanaendesha makongomano yanayo ua watu mbona hakuna sheria Inayo chukuliwa. Je! Huyo Mbarikiwa kosa lake ni lipi kudai haki yake.

Mh Sa100 haya ni ya mda kumbuka ww upo kwa ajili ya kulinda katiba pamoja na kuliongoza Taifa katka njia sahihi na siyo kuwafunika makombe wasiongee huyo siyo Uongozi Bora na siyo Democracy hiyo tunayo sema tunayo, ni Bora isiwepo tu tujue Kuwa no udikiteta hamna uchaguzi huru tunasema tuna demoracy gani hiyo??🚮🚮
 
Hizo picha ulizoweka ni uongo mtupu, defamation.


Nenda kaisome sheria ya "olea bargain", kama wewe a mchungaji wako mmeshindwa na hamkujuwa kuitumia, wenzenu walijuwa kuitumia.

Ndugu yako wewe akifanya kosa uhukumiwe wewe au sivyo?
Ndio picha zilizorushwa wakati Polisi wakitangaza kukamatwa kwake......nenda kwenye sources zote video siku ya kukamatwa.
Au polisi walituuza?
 
Kesi yeyeto ni interest na biashara pia inategemea umeingia kwa mguu gani, ukiingia 18 zao hata kama una pesa lazima wakushikishe ukuta kwanza uwe na adabu
 
Zumarid ni Pro ccm.

You are safe when you are pro ccm. Do whatever no one touch you.
Hii nchi Bora lijulikane Moja tu hatuna katiba, hatuna Democracy n Bora lijulikane Moja tu, nchi imekua ya kifalme aisee... Ujinga mtupu 🚮🚮 Yani katiba na sheria ipo kwa wale ambao siyo CCM na ambao ni masikini? Anyway ngoja tuendelee kuishi tu no way out
 
Wewe umesomea sheria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…