Swali kwa Jaji Mkuu: Je, ni haki kwa kina Rostam Aziz kutozwa faini badala ya kifungo lakini kina Mbarikiwa kupewa kifungo badala ya faini?

Unaheshimu mamlaka ipi? Kwanini hakushtakiwa kwa kutoheshimu mamlaka?
 
Hili la kumfunga Mbarikiwa linaongeza mzozo zaidi badala ya kupunguza kero kwa watawala.Naona makelele yanapigwa zaidi baada ya hili tukio kutokea.Mwisho wa siku naona kuna kukata rufaa na serikali kumuachilia Mbarikiwa kwa mtindo huo🤔
 
Let's make a deal, scratch my back I will scratch yours, give me channel 10 I'll give you your young brother, fine.
 
Baada ya kifo cha mwanae alifuata sheria kupata haki yake?

Kilichotokea ni kumdhoofisha kwa kutumia mbinu ya INDIVIDUAL PROPHYLAXIS. Mbarikiwa ameeleza sana kilichotokea kwa kutumia lugha ya walei. Lakini wenye akili tukajua kinachoendelea. Kama huelewi kanuni hii hutaelewa. Lakini, kubwa ni kwamba, chini ya mbinu huu, raia wa kawaida kama Mbarikiwa hawezi kupambana na operations zinazoratibuwa na eagle's house.
 
Mama Amon kama hujaolewa naomba nafasi ndani ya moyo wako ili unifundishe hiyo INDIVIDUAL PROPHYLAXIS tukiwa wawili chumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…