Swali kwa Jaji Mkuu: Je, ni haki kwa kina Rostam Aziz kutozwa faini badala ya kifungo lakini kina Mbarikiwa kupewa kifungo badala ya faini?


Good analysis
 

Sasa Kama ni mwehu wamemfunga wa Nini. Unajua sheria inasemaje kuhusu mwehu kutiwa hatiani?.
 
Mama Amon umetisha sana. Hongera sana kwa hili bandiko lako.
 
Duniani mambo hayako hivyo.....huyo utaona anapanda na vyeo kwa ujasiri wake.

Anapiga hela za kutosha na utamwona akikwe mapipa hapa na pale kula bata ulaya na marekani.

Dunia hii mambo yanavyokwenda ni kunyume nyume.

Kukwea pipa na kupanda vyeo hakumuondolei hatua ya kuumiza maskini kisa Hana pesa.
 
Jinai haizeekei wala kufa. Haijalishi ka operate kwa miaka 3 bila kukamatwa lakini la msingi ni kwamba hana kibali. Na watoa kibali wamempima wameona hastahili kuwa registered
 

Marais wetu sijui Wana shida gani, wanafanya fyongo Sana. Wakiandika kitabu wanaanza kuomba msamaha, sijui niliiba pesa ili CCM ishinde nk.
 
Jinai haizeekei wala kufa. Haijalishi ka operate kwa miaka 3 bila kukamatwa lakini la msingi ni kwamba hana kibali. Na watoa kibali wamempima wameona hastahili kuwa registered

Hakuna kitu Kama hicho. Kama Zumaridi anayejiita Mungu ana kibali nani atakosa. Ni kukomoana kwa serikali ya CCM maana sio chawa.
 
Siyo kila mwehu anatibiwa hospitali. Huyo pimbi anastahili Mahabusu ndiyo atapata tiba yake

Kuna utaratibu wa kumpima mtuhumiwa Kama ni mwehu. Na ripoti ya daktari inaletwa mahakamani. So, akifungwa jela huyo sio mwehu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…