Swali kwa Malegendary, hivi unapotaka kuoa mke wa pili, mke mkubwa unamuweka sawa vipi?

Swali kwa Malegendary, hivi unapotaka kuoa mke wa pili, mke mkubwa unamuweka sawa vipi?

Tulia na mkeo, unajitaftia matatizo tu. Utafalakanisha Familia yako, Vipi mkuu maokoto yameongezeka nini unakosa pakuyaweka. Mke wa pili huwa anakuja kufilisi, Hebu rudi utafakari sana kwa nini unataka kuoa mke wa pili? Mkeo anamapangufu ngani hadi umletee mke wa pili? Kama ameelemewa na majukumu mtafutie house Girl. Utapigwa na kitu kizito shauri yako.
Ushauri wa kijana laini
 
Nafanya research hapa mkuu, wanawake wa siku hizi wanafanyakazi wanalalamika kuchoka.

Sasa wanaume umri unapozidi na nyege ndio zinazidi, alfajiri mwanamke kashaamka anajiandaa kwenda kazini.

Sasa hapa research lazima ifanyike solution ni kuwa na mke zaidi ya mmoja? Atleast hawa watashindana kumuhudumia mwanaume.

Hii haiwahusu wanaume wanaojitafuta au wanaoungaunga, kuna watu wameshajipata ila wanawake wanazinguwa mwanaume anapewa uchi kwa mgao, solution ni nini?
Ni kusanue wanawake wote dunia hii akili zao ni moja na mwalimu wao ni ccm alifia tawi la lumumba.
ijalishi ni mzungu,muwafrika,kabila,dini au elimu.
kila mwanamke anataka kuwa peke yake sio kushare na hawa kusema sijui dini zao ndio zinaruhusu azijawai kukaa sawa tena huko mbeleni kwenye familia yani utaacha chuki kati ya pande mbili au nazengine mfano umeoa mke wa kwanza upande wa mke huyo watoto wanakuwa wenye mafanikio au ni jinsia moja alafu upande mwingine ukawa tofauti hapo kazi unayo.

wanawake wengi kupendana ni ngumu na ukiwa maskini utakoma au tajiri ukifanya hivo umekaribisha wao kukuona wanapita au uegemee upande mmoja.

kifo kitakuita
 
Mwanaume ukiwa strong na mwenye msimamo mwanamke atakuheshimu, akikuheshimu atakupenda,ataheshimu mawazo yako. na utakua mtu wa mwisho katika maamuzi(neno lako ndio sheria ya familia)

Sasa basi ikifika wakati wa kuongeza mke wa pili, hutakiwi kwenda kumuomba ruksa, bali ni kumpa taarifa tu.

Sasa maamuzi itakua juu yake akubali, akatae mke wa pili anaolewa.

Inakua ni kama enzi za uchaguzi kupindi cha mzee Nyerere, kwenye karatasi la kupigia kura kunakua na picha na kivuli cha picha, kwa hiyo mchaguaji unakua wewe tu, ukichagua picha umemchagua Nyerere na hata kama ukisema ujitie kidole ukachagua kivuli, bado pia utakua umemchagua Nyerere.
 
Mwanaume ukiwa strong na mwenye msimamo mwanamke atakuheshimu, akikuheshimu atakupenda,ataheshimu mawazo yako. na utakua mtu wa mwisho katika maamuzi(neno lako ndio sheria ya familia)

Sasa basi ikifika wakati wa kuongeza mke wa pili, hutakiwi kwenda kumuomba ruksa, bali ni kumpa taarifa tu.
Keyboard warrior
 
They do not need the first wife's permission to marry but what they cannot do is lie to their wife or hide
the second wife, this is
haram and going against the wife's rights in Islam.

A husband is not allowed to lie to his wife therefore keeping a second wife is haram as it would involve lieing to her and deception.
 
Mwanaume ukiwa strong na mwenye msimamo mwanamke atakuheshimu, akikuheshimu atakupenda,ataheshimu mawazo yako. na utakua mtu wa mwisho katika maamuzi(neno lako ndio sheria ya familia)

Sasa basi ikifika wakati wa kuongeza mke wa pili, hutakiwi kwenda kumuomba ruksa, bali ni kumpa taarifa tu.

Ushawahi kujiuliza kwa nini wamama wa kambo walikuwa ni wakatili sana kwa watoto wa waume zao Ila wanaweza kuwa malaika kwa watoto wa mtaani?...

Jibu ni roho mbaya binafsi lakini kubwa zaidi ni roho ya kisasi kwa mume wake.

Kiuhalisia mkuu kama wewe unavyohisi haiwezekani kusaidiwa na wanawake ni hivyo hivyo Ila mila na dini ziliwanyamazisha. Ila kwa hawa independent ladies, labda awe ana misingi kweli kweli la sivyo. Hiyo siku unatambulisha mwanamke mpya, weka akilini kuwa mkeo hatokuangalia kwa picha ileile katika macho yake na huwezi jua "atafanya nini kupoza maumivu yake"
 
Ushawahi kujiuliza kwa nini wamama wa kambo walikuwa ni wakatili sana kwa watoto wa waume zao Ila wanaweza kuwa malaika kwa watoto wa mtaani?...

Jibu ni roho mbaya binafsi lakini kubwa zaidi ni roho ya kisasi kwa mume wake.

Kiuhalisia mkuu kama wewe unavyohisi haiwezekani kusaidiwa na wanawake ni hivyo hivyo Ila mila na dini ziliwanyamazisha. Ila kwa hawa independent ladies, labda awe ana misingi kweli kweli la sivyo. Hiyo siku unatambulisha mwanamke mpya, weka akilini kuwa mkeo hatokuangalia kwa picha ileile katika macho yake na huwezi jua "atafanya nini kupoza maumivu yake"
"Atafanya nini kupoza maumivu yake" Imekaa kiutu uzima sana
 
Back
Top Bottom