ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
Kuongeza mke wa pili, kwa njia ya demokrasia ngumu. Lianzishe tu, mbeleni huwa yana jiset mambo yenyewe automatic..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?
Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.
Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin
[emoji23][emoji23]Unampa kadi ya harusi na unamsisitiza kua asikose kuhudhuria sherehe.
Mpeleke moto kisawasawa kila mda mpige pumb* usimpe pumziko... Ye mwenyew atakwambia uongeze mke wa pili.Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?
Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.
Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin
Mi mke wangu hawezi kuthubutu kufanya hivyo yaani anipe uchi kwa mgao, hapana ases vipo vya kuninyima lakini sio uchiNafanya research hapa mkuu, wanawake wa siku hizi wanafanyakazi wanalalamika kuchoka.
Sasa wanaume umri unapozidi na nyege ndio zinazidi, alfajiri mwanamke kashaamka anajiandaa kwenda kazini.
Sasa hapa research lazima ifanyike solution ni kuwa na mke zaidi ya mmoja? Atleast hawa watashindana kumuhudumia mwanaume.
Hii haiwahusu wanaume wanaojitafuta au wanaoungaunga, kuna watu wameshajipata ila wanawake wanazinguwa mwanaume anapewa uchi kwa mgao, solution ni nini?
Usiongee ukamaliza🤣🤣🤣🤣Mi mke wangu hawezi kuthubutu kufanya hivyo yaani anipe uchi kwa mgao, hapana ases vipo vya kuninyima lakini sio uchi
Wewe jamaa ulipataje kua Platinum member? kwa comment za aina hii tu au kuna kingine?
Platinum member unachangia kamzigo kidogo JF wanakupa hiyo Platinum.Wewe jamaa ulipataje kua Platinum member? kwa comment za aina hii tu au kuna kingine?
Nilisha waquote Moderator hapa wanipe njia ya kulipia ila hawajawahi kunijibu,Platinum member unachangia kamzigo kidogo JF wanakupa hiyo Platinum.
Mjinga yeyote akipenda kuwa Platinum member milango iko wazi, mkono mtupu haulambwi.
Maxence Melo mpe lipa namba kijana huyu anataka kuvimba na Platinum member title.Nilisha waquote Moderator hapa wanipe njia ya kulipia ila hawajawahi kunijibu,
Huenda watakua wamesha shiba hela.
Umeona eeheee!!U
Usiongee ukamaliza🤣🤣🤣🤣
Yani unatakiwa uwe na target kama za Maulid Kitenge, yule ni kidume haswaa.Hakuna raha kama ya kuwa na mke zaidi ya mmoja, kwa kweli mimi nimmejengea nyumba mbali na kwangu , yaani ukijisikia unaenda huko unapetiwaaaaaaaa hadi raha, ah ukristo umetuzingua kutunyima fursa ya kuwa na mke zaidi ya mmoja, ila hakikisha una pesa ukitaka mke zaidi ya mmoja au oa wanawake wanaojimudu mfano nurse, mwalimu, Dr, mtendaji , askari, na watumishi wote halmshauri au mfanyabiashara mdogo
Mdakuzi Tujaalie maoni yako tafadhali.Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?
Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.
Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin
Wape mwongozo lo!
Anipe muongozo wa kulipa kwa sisi watu wa box huku.Maxence Melo mpe lipa namba kijana huyu anataka kuvimba na Platinum member title.
Kuna Nala, kuna world remit kuna sendwave zote hizo zinatuma kwenye mitandao ya simu bongo.Anipe muongozo wa kulipa kwa sisi watu wa box huku.
Zamani nakumbuka kulikua na Gold pia.