Swali kwa Malegendary, hivi unapotaka kuoa mke wa pili, mke mkubwa unamuweka sawa vipi?

Swali kwa Malegendary, hivi unapotaka kuoa mke wa pili, mke mkubwa unamuweka sawa vipi?

Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?

Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.

Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin


Imani inaruhusu? Amejikita na kuheshimu Imani ? Kama wewe ni Mkristo huwezi wela Hilo Jambo Wazi, fuga tu mchepuko
 
Hakuna raha kama ya kuwa na mke zaidi ya mmoja, kwa kweli mimi nimmejengea nyumba mbali na kwangu , yaani ukijisikia unaenda huko unapetiwaaaaaaaa hadi raha, ah ukristo umetuzingua kutunyima fursa ya kuwa na mke zaidi ya mmoja, ila hakikisha una pesa ukitaka mke zaidi ya mmoja au oa wanawake wanaojimudu mfano nurse, mwalimu, Dr, mtendaji , askari, na watumishi wote halmshauri au mfanyabiashara mdogo
 
Hili ni swali kwa Malegendary na kwa wanawake smart kichwani, hivi imefika hatua mwanaume unaona dhahiri kwa sababu zako binafsi na za msingi mke wako apate msaidizi, ni mistari gani ambayo mwanamke anaimbishwa mpaka anatowa kibali?

Tafadhali hii siyo thread ya mahubiri, tujikite kwenye mada.

Cc: Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli Asprin
Mpeleke moto kisawasawa kila mda mpige pumb* usimpe pumziko... Ye mwenyew atakwambia uongeze mke wa pili.
 
Zidisha mapenzi, zidisha mahaba, mpe pesa, usimfatile, usimkere, mpeleke shopping......siku muweke kikao mwambie, akianza kujiliza mkabidhi funguo ya X5......huku unamwambia ajitafakari kati ya gari nawewe kuoa atachagua Nini.....hapo unafanya muamala wa mil 5 simbanking kwendea kwenye ac yake.
Akikataa njoo nikuelekeze njia nyingine.
 
Nafanya research hapa mkuu, wanawake wa siku hizi wanafanyakazi wanalalamika kuchoka.

Sasa wanaume umri unapozidi na nyege ndio zinazidi, alfajiri mwanamke kashaamka anajiandaa kwenda kazini.

Sasa hapa research lazima ifanyike solution ni kuwa na mke zaidi ya mmoja? Atleast hawa watashindana kumuhudumia mwanaume.

Hii haiwahusu wanaume wanaojitafuta au wanaoungaunga, kuna watu wameshajipata ila wanawake wanazinguwa mwanaume anapewa uchi kwa mgao, solution ni nini?
Mi mke wangu hawezi kuthubutu kufanya hivyo yaani anipe uchi kwa mgao, hapana ases vipo vya kuninyima lakini sio uchi
 
Hakuna raha kama ya kuwa na mke zaidi ya mmoja, kwa kweli mimi nimmejengea nyumba mbali na kwangu , yaani ukijisikia unaenda huko unapetiwaaaaaaaa hadi raha, ah ukristo umetuzingua kutunyima fursa ya kuwa na mke zaidi ya mmoja, ila hakikisha una pesa ukitaka mke zaidi ya mmoja au oa wanawake wanaojimudu mfano nurse, mwalimu, Dr, mtendaji , askari, na watumishi wote halmshauri au mfanyabiashara mdogo
Yani unatakiwa uwe na target kama za Maulid Kitenge, yule ni kidume haswaa.
 
Suala la kuongeza mke ni maamuzi ya mwanaume na wanawake wanalifahamu hilo.
Tatazo wanaume wengi huwa tunafeli kwenye kuwaandaa kisaikolojia wake zetu juu ya suala hilo.

Sasa wewe miaka yoote umeishi na mkeo halafu wala hujawahi kuupata ujasiri wa kulizungumzia suala hilo, unadhani ujasiri huo utaupata wapi utakapotaka kuoa!?
 
Back
Top Bottom