Uchaguzi 2020 Swali kwa Rais Magufuli: Hofu ya nini juu ya Vyombo vya Habari?

kambale hataki kutoka majini ila amenasa kwenye ndoano sasa mfurukuto wake ni shida, vyombo vya habari lazima vipate kibano, askari watatumwa kufanya hata yale ambayo hawakufunzwa depo, watumishi woote watafikiwa kwa kukiri hadharani kwamba wanamkubali nani kati ya hao, wakuu wa wilaya, mikoa, madasi, ma
rpc, rsco, rco, watakimbizwa mitaani kukagua kama kuna bendera za chama fulani yoote haya tutatayaona kipindi hiki na mwisho wa siku KAMBALE LITATOKA NJE YA BWAWA NA KUPIGWA NA JUA LA UTOSI
 

We mjinga pumbavu kabisa. Unatetea ujinga kwa kuwa kuna alternative? Kwa hiyo utaridhia mkeo apigwe miti na njemba nje kwa kuwa una option ya kulala na malaya wa kununua?
Akili za mende
 
safi sana....nawachukia sana BBC kila siku wanatuongelea negative tu.
 
Watahangaika sana kama mtetea anaetaka kutaga.......................... halali hali wala hapumui haamini anachokiona bado. Yeye anadhani ni kila mtu mwoga wa kufa aangalie watu kibao wako wapi?
 
Miaka 5 unaongea wewe tu, wananchi washakuchoka wanataka kuwasikia na wengine wanasema nini - hujijui?

Bora iwe mitano angee la msingi zaidi zaidi anaongea vepa full... na kitu kile kile na kuona yeye ni mtakatifu
 

Imekuwa kila tatizo, jambo, changomoto, nk wakulaumiwa ni Magufuli. Kuna siku jina lake halitajwi? Hakika amewagusa watu wengi.

Hili la vyombo vya habari na uhuru wake, tatizo ni la wamiliki na wana habari wenyewe. Hakuna ubishi yanayo habarishwa mengi ni ya udaku kuliko habari yenyewe. Kwa sababu ya ushindani wa kibiashara, walengwa wa habari wengi wao hupenda kusikia mabaya.
 
ULIWAHI KUSIKIA JPM ANAONGEA NA VYOMBO VYA HABARI VYA KIMATAIFA , ? HAJUI KWAMBA UTAITANGAZA NCHI YAKO KWA KUONGEA NA WANAHABARI
 
Kichaa kapewa rungu.
Mmemtukana Lisu kua anamtukana jiwe kua ni dikteta uchwara sasa mtashaaaa
 
Tuko katika vita vya uchumi na mabeberu.
Whistler blowers wa mabeberu walitumia mwanya huo kutuchafua kimataifa.
Kuregurate mifumo ya habari ni muhimu sana kipindi hiki ndio maana kuna baadhi ya nchi ufunga mipaka yake yote.
Siasa za uchaguzi ni siasa za ndani kwa ndani, haiwezekani mambo ya ndani upeleke nje.
Nje kinaenda chakula kilichoiva ndani kwanza.
 
Maskini!!
Huna hata like moja, comment ya mda Sana hii. WalioComment after wewe wana like hadi 180. Very sad.
 
Mbona radio zinazotangaza kwa kiswahili huko japan zinabalance story?
Sahv Kuanzia asubuhi mpk jioni redio zinacheza bongo fleva tu, online tv tu nasikiliza Habari za udaku tu gigy sjui kumwambia nn nandy
Juma lokole, mwijaku, shilole ndy wanatamba huko

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
namber one rule in mass media is (GIVE THE PEOPLE WHAT THEY WANT)
 
Huna point hapo, we bumbu tu
We mjinga pumbavu kabisa. Unatetea ujinga kwa kuwa kuna alternative? Kwa hiyo utaridhia mkeo apigwe miti na njemba nje kwa kuwa una option ya kulala na malaya wa kununua?
Akili za mende
 
Maskini!!
Huna hata like moja, comment ya mda Sana hii. WalioComment after wewe wana like hadi 180. Very sad.
Huwa sitoi comment ili wai'like' the likes of you...I just speak my mind...love it or hate it I don't care! Machoko ndio wenye Tabia ya kutafuta likes😡!
 
ikifikia hatua unatunga sheria/kanuni kwa ajili ya kumdhibiti/kumlinda mtu mmoja ni hatari sana. hivi kweli imefika hatua tunatunga kanuni kwa ajili ya kumzuia Lissu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…